Tupe referenceKuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe
Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.
Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.
Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,
Mungu apishilie mbali.
Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Haya maneno sio mazuri, kwenye maisha kuna kitu inaitwa karmajikite kwEnye hoja maksiriko yako mPelekee kocha wa rangers aliyegombana na newcastle kwa kuwapelekea mgonjwa wa hepatsis c akamrudisha alipotoka nao kwa hasira wakamuweka newcastle B baadye akaenda zake ligi ya ndondo non league club iitwayo solihul moors na kufanya kazi kiwandani ili kujikimu
Hahah Hivi Yule Aliyekuwa Mchezaji Wenu Kipenz Emmanuel Okwi Ni Bado Anaishi Kwa Matumaini Huku Akiendelea Kunywa Mbaazi Au Mlifanyaga Namna Mkamtibia [emoji2960]Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe
Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.
Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.
Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,
Mungu apishilie mbali.
Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Punguza povu,soma vizuri kilichoandikwa. Hiyo smartphone unajua tu kuingia hapa JF basi,itumie kuthibitisha kinachosemwa ni kweli au uzushi.Naomba Mungu huo ugonjwa ukurudie ww ndugu Mwandishi,ugonjwa huo ukusumbue mpaka ufe
Mwenye kumuombea mabaya mwenzake,hana budi mabaya hayo kumrudia yeye
vipimo bada ya haya maneno kuanza jana ndugu yangu, kuna video ya kipimo cha kambole? no...sababu hayuko nchini....reference ya magazeti ya Uk mmewekewa bado mnapiga makelele kama vyuraWatu wanafigisu, mti wemye matunda hutupiwa mawe
Video chini Mwamba akipata vipimo
Na unaambukiza hata kwa kugusana kwa jasho.Kuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe
Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.
Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.
Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,
Mungu apishilie mbali.
Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.
Be careful with your mouth" Dunia ni shulejikite kwEnye hoja maksiriko yako mPelekee kocha wa rangers aliyegombana na newcastle kwa kuwapelekea mgonjwa wa hepatsis c akamrudisha alipotoka nao kwa hasira wakamuweka newcastle B baadye akaenda zake ligi ya ndondo non league club iitwayo solihul moors na kufanya kazi kiwandani ili kujikimu
Tatizo mna panic bila sababu, hakuna aliyefurahia hapo, tatizo hamtaki kukubali ugonjwa wa mchezaji wenu.Umuombee mgonjwa, kwani wewe hapo ulipo umzima kwa asilimia ngapi?
Usikute wewe ni maiti tu inayotembea, halafu unapata kabisa ujasiri wa kunyooshea watu wengine kidole.
MbumbumbuTatizo mna panic bila sababu, hakuna aliyefurahia hapo, tatizo hamtaki kukubali ugonjwa wa mchezaji wenu.
Punguza moto, ushahidi umewekewa pale juu jamaa yenu ni mgonjwa.Una hakika hawapimwi? Na kama huyu mchezaji ni mgonjwa kama unavyotaka kupotosha hapa, ilikuwaje acheze kwa dk zote 90 kwenye mechi ya Taifa lake dhidi ya Cameroun mwezi uliopita?
Na kama hufahamu, hiyo mechi ilichezwa uwanja wa Mkapa! Mimi nadhani ifikie wakati mpunguze sasa haya mambo yenu ya kipuuzi dhidi ya watu wasio wahusu kwa lolote.
Siba guvu moyakwa hiyo Lowasa anachezea timu gani
amekejeli wapi? Ni aibu timu kusajili wagonjwa.Jana huu upumbavu wenu umefutwa, Leo umeleta tena. Mkipigwa Ban mnarudi kwa ID mpya wapuuzi wakubwa nyie. Ulipo unaishi kwa vidonge v3 kila siku maisha yako yote halafu unakujeli mwenzio?
Liko wazi hilo ila sasa huku kwetu kwenye chandimu hatujui kuchukua taadhari ila tunajua kutafuta chanzo wakati yakishatukuta
Ushabiki wa kipumbavu sana, ugonjwa aliokKuumwa ni ibada na usimuombee mtu ugonjwa ila ukweli usemwe
Ulaya wachezaji wote kabla ya usajili hupimwa afya ila huku tumeona watani wanashusha tu vifaa, hatujaona wala kusikia wakipimwa afya.
Mpira sio mchezo wa draft au karata, mpira ni vita unatumia energy nyingi sana uwanjani.
Sasa huyu mwamba toka urundi ni mgonjwa wa hepatitis C ugonjwa hatari kuliko ukimwi, hauponi na hauna dawa hivi viwanja vyetu havina hata ambulance,
Mungu apishilie mbali.
Taarifa za ugonjwa wake zimejaa mitandao kadhaa ya England unaweza kujiridhisha kugoogle kabla ya kutoa povu.