Bigirimana alifeli vipimo vya afya Ulaya, anaumwa homa ya ini

Acha povu wewe utopwinyo
 
Nani kamnanga ,tuliza kipago bibie
 
Wachezaji wa kampeni na huyi aliletwa baada ya kumkosa Aziz Kii na Gael atapata likizo,mapumziko na safari nyingi za matatizo ya kifamilia.
Gael ni campaign manager wa Said Hersy uchaguzi uliopita.
 
Wewe tukija kukupima hapo ulipo tutakukuta na magonjwa mangapi mwilini mwako? Ni wakati sasa wa kuachana na hii mijadala yenu isyo na kichwa wala miguu.
Kumbe umekubali ni mgonjwaa??? Baas.
Case closed
 
MAKOLO Banaaa...wamejaa Roho mbaya na Uchawi [emoji23]
 
Kiutaratibu haruhusiwi kucheza soka atakuja fia uwanjani ndio maana ulaya kote alinyimwa kibali
 
Kumbe umekubali ni mgonjwaa??? Baas.
Case closed
Kha! Wapi nimekubali ni mgonjwa! Kwani mimi ni daktari wake! Nime generalize tu, Waafrika wengi tunaishi na magonjwa! Hivyo siyo busara kuwanyooshea vidole wengine, na wakati sisi wenyewe ni maiti zinazo tembea.
 
Kha! Wapi nimekubali ni mgonjwa! Kwani mimi ni daktari wake! Nime generalize tu, Waafrika wengi tunaishi na magonjwa! Hivyo siyo busara kuwanyooshea vidole wengine, na wakati sisi wenyewe ni maiti zinazo tembea.
Sisi wengine tumetulia, hatuna heka heka za kwenye pitch, yeye Mstaafu huyu na wakala wa mikate, anavyohaha kumbe ligonjwa, afu linataka mkiki mkiki, atakuja afie uwanjani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kwanini asiwekwe km kocha wa viungo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…