William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Nakubaliana na wewe. Hata mimi sijaona sababu ya kushtusha isipokuwa ilipodaiwa na watu wa Chadema kuwa baba yake Oscar hakuwa mtanzania. Hivyo, kiukweli kabisa siamini kama Oscar kama Oscar ana kosa lolote la yeye kutokuwa raia isipokuwa aidha kwa kutokujua au kwa wazazi kutozingatia kuwa mtoto wao alitakiwa aukane uraia wa wazazi wake alipofikisha miaka 18.
Hivyo, kama ilivyokuwa kwa Jenerali au wengine Oscar anaweza kujikuta ni majeruhi wa kutozingatia sheria. Yawezekana muda wote huu yeye amekuwa akijitambua na kutenda kama Mtanzania. Hivyo, endapo ataenguliwa kwa kweli itamuumiza sana.
Ndiyo maana swali la msingi haliko kwa Oscar bali kwa wazazi wake. Uraia wa Oscar unategemea uraia wa wazazi wake. Kama wazazi walikuwa ni Watanzania/Watanganyika wakati Oscar anazaliwa basi Oscar ana uraia wa Tanzania na kesi kwishnei! Lakini, kama wazazi wake hawakuwa Watanzania au Watanganyika basi Oscar ana kazi kweli. Ila anachoweza kufanya ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro, kuomba uraia na mwakani kugombea tena.
- Kujitoa? Too early for that, sasa labda tusubiri majbu yake maana that is what demokrasia requires, yaani dual process Chadema wamelalamika Oscar na CCM watajibu, ndipo tutaweza kuona ukeli ulipo maana hii ni JF ukiweza kutudanganya hapa basi wewe huba mfano.
- Binafsi nimeamua kusubiri majibu ya Oscar na CCM, ndio nitaendelea na huu mjadala. CCM najua kwamba walijadili sana hii ishu mpaka suiku wa manane na kuishia kumpitisha, sasa kweli huko kwenye kura za maoni hakuna aliyeshituka? Chadema wamedanganywa na mtu mbaya sana maana kama jamaa ni raia, basi atakuwa mshindi tu bila ubishi, halafu sijui tutaambiwa nini this time!
Later!
Respect.
FMEs!