BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

Wana JF kutokana na akili zangu ndogo nimekuwa sana najiuliza huu mchezo jinsi unavyoendeshwa kama maigizo vile,

Kwanza washindi wote huwa lazima simu zao zinapatikana,
Halafu Kwa sababu wanarusha live mtazame kajala Kama huwa anapiga ile simu, kingine kila mshindi huwa sio mshiriki wa mara ya Kwanza Lazima akiulizwa atasema kishacheza mara nyingi, Halafu atasema kuwa alishashinda elfu 50 na laki,
Kama mchezo ni bahati nasibu na inaendeshwa Kwa namba Kwanini hakuna namba mpya hata moja kushinda? Yaani mshiriki wa mara ya Kwanza tu,halafu tazama mtu anaepigiwa Simu itaita mara mbili kapokea, yaani Kama mtu kaambiwa shikilia simu tutakucall,

Jamani mimi bado sijaamini huu mchezo kabisa haujanishawishi, Nina hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me huyu jamaa aliyeshinda Mil 50 nimesoma naye chuo Mbeya ni mshkaji kiufipi pia ni mdogo wa 94 so kanambia hata yy anashangaa kashinda so sidhani kama ni uongo kivile.

Sent using Iphone 7+
 
Mi hawajanishawishi hata kidogo yani. Ni heri football betting everybody has an equal chance to win provided ubashiri ni sahihi.

Hio ya biko sijui tatu mzuka haina tofauti na ile ya kurusha viringi ushinde sabuni au mchezo wa korokoro.

Its very easy ku introduce mbinu ya kitapeli hapo watu mnachanga buku buku zenu kwa siku hata wakiingiza million 5 tu hawana hasara. End of the week anachaguliwa mtu anapewa hela kama geresha kumbe katika ile ishirini yake million mbili tu.
 
Wana JF kutokana na akili zangu ndogo nimekuwa sana najiuliza huu mchezo jinsi unavyoendeshwa kama maigizo vile,

Kwanza washindi wote huwa lazima simu zao zinapatikana,
Halafu Kwa sababu wanarusha live mtazame kajala Kama huwa anapiga ile simu, kingine kila mshindi huwa sio mshiriki wa mara ya Kwanza Lazima akiulizwa atasema kishacheza mara nyingi, Halafu atasema kuwa alishashinda elfu 50 na laki,
Kama mchezo ni bahati nasibu na inaendeshwa Kwa namba Kwanini hakuna namba mpya hata moja kushinda? Yaani mshiriki wa mara ya Kwanza tu,halafu tazama mtu anaepigiwa Simu itaita mara mbili kapokea, yaani Kama mtu kaambiwa shikilia simu tutakucall,

Jamani mimi bado sijaamini huu mchezo kabisa haujanishawishi, Nina hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa upupu / upuuzi wako huu ' uliotukuka ' itakuchukua muda mrefu sana ' Kuuaga ' umasikini wako uliokukithiri hadi katika ' Kope ' zako za macho.
 
Niuage umaskini Kwa kucheza BIKO Upuuzi huu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata lawama zako / malalamiko yako unaonekana bado una safari ndefu mno ya Kuuga ufukara / umasikini. Pole sana Mkuu waache Watu wacheze BIKO na hoja yako kidogo ingekuwa na ' mashiko ' endapo Wewe ndiyo huwa unawapa Pesa za kwenda Kucheza huo mchezo lakini hutoi hata ' Sumni ' iweje ' Kipira ' chako Kikuwashe?
 
Back
Top Bottom