Mamndenyi leo umekunywa ile kitu nini?itakuwa bikira ya ndimu.
Nisije Nikajipa Moyo Na Ukarimu Wangu Kujifanya Nasubir Yeye
Lakini Mwisho Wa Siku Naambulia Kukunja Jamvi La Wenyeji!
Nina Gf Wangu(anajitegemea) Ambaye Kiukwel Ninampenda Sana Na Ndio Maana Hata Aliponizuia Kuwa Nisimwage Wino Mpaka 2we Ktk Ndoa kwa Kuwa Yeye Ni Bikra Na Hakuna Anayeistahl Mpaka Yule Atakayemuoa(mimi),
Mzee Nikanywea Na Ku2lia
Ila Maisha Ya Mahusiano Haya Kiukwel Naish Kimashakamashaka Hasa Ukizangatia Nampenda Halafu Mwisho Wa Siku Nikapigwa Pilipili Ya Macho
Na Hyo Bikra Yake kama Mwana jf Fulan Hv.
Huyu Gf Mimi Ni Mwanaume Wa Pili Anadai Wa Kwanza Alianza Nae Mahusiano Toka Shule Na Wakadumu Kwa Miaka Miwil Kisha Wakaachana
Ingawa Anadai Nae Hawakuduu Nae.
Wajamen Naomba Msaada Namna Ya Kumjua Mwanamke Bikra... kwani Nimechoka Mwenzenu Na Hizi Propaganda Zake
Suala La Pili Ni Kwamba Huyu Gf Wangu Kila Wiki Anavaa Nguo Mpya Vlievile Hata Kichwan Yaan Ni Bandika Bandua Fashen Za Nywele After 2 Wiks
(najua Mshahara Wake Haukiz Mambo Yote Haya)
USHAUR WAJAMEN PLZ MWENZENU NIMEFUNGWA!!
Hapa ndo nnapokumbuka kale kawimbo ka banana "subira yangu,ndio iliyoniponza..ngojangoja naonekana zoba...."zoba yoyoyo,zoba mamaama!!
we jifanye kama huna time naye, jaribu kuwa busy na mambo mengine na ikiwezekana tafuta binti mwingine. Hakuna cha bikira hapa watu wanamega tu, mie kuna binti mmoja alinidanganyaga ni bikira lkn baadaye wakati kila nikitaka kuduu anakataa nikagundua anaogopa aibu kwani wala hakuwa bikira. Hawa mabinti wanaanza mapenzi mapema yahani 13yrs tayari ukikuta binti kwenye 20's ni bikira jiulize mara 2 labda anakasoro.