Bila Cheti afya ya akili ndoa isifungwe!

Bila Cheti afya ya akili ndoa isifungwe!

JEJUTz

Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
75
Reaction score
197
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.

Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.

Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.

Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.

Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.


Jeju Tz
 
Afya ya akili ni ugonjwa mtu anazaliwa nao au unatokea mtu anaweza kuugua muda wowote?

Kama anazaliwa nao hapo sawa bila Cheti kusiwe na ndoa ila kama mtu anaweza kuugua wakati wowote basi Haina maana maana akiugua mbeleni na ndoa imefungwa hatuwezi kusema alifunga ndoa akiwa na tatizo Hilo.

MAONI yangu kwenye hoja yako ni kuwepo kwa kampeni ya kuelimisha jamii juu ya mahusiano.
 
Afya ya akili ni ugonjwa mtu anazaliwa nao au unatokea mtu anaweza kuugua muda wowote?

Kama anazaliwa nao hapo sawa bila Cheti kusiwe na ndoa ila kama mtu anaweza kuugua wakati wowote basi Haina maana maana akiugua mbeleni na ndoa imefungwa hatuwezi kusema alifunga ndoa akiwa na tatizo Hilo.

MAONI yangu kwenye hoja yako ni kuwepo kwa kampeni ya kuelimisha jamii juu ya mahusiano.
 
Afya ya akili ni ugonjwa mtu anazaliwa nao au unatokea mtu anaweza kuugua muda wowote?

Kama anazaliwa nao hapo sawa bila Cheti kusiwe na ndoa ila kama mtu anaweza kuugua wakati wowote basi Haina maana maana akiugua mbeleni na ndoa imefungwa hatuwezi kusema alifunga ndoa akiwa na tatizo Hilo.

MAONI yangu kwenye hoja yako ni kuwepo kwa kampeni ya kuelimisha jamii juu ya mahusiano.
Na kuwasisitiza kufanya couple therapy angalau kila mwezi mmoja au miwili
 
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.

Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.

Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.

Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.

Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.


Jeju Tz
Kiuhalisia huwezi mchumbia mtu unayemuona ana ugonjwa wa akili. Hili halihitaji vipimo. Ni mgonjwa qa akili pekee ndio anaweza funga ndoa na mgonjwa akili.

Matatizo ya akili hutokea mkiwa tayari mmefunga na ndoa na huenda siku zimesonga. Labda turudi kwenye misingi ya zamani. Kupata hostoria ya familia. Kabla hujaamua kufanya uchumba chunguza familia ya mhusika wako na ukoo. Kama umempata aliyewahi kujiua basi jua hata uliye naye anaweza kujiua
 
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.

Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.

Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.

Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.

Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.


Jeju Tz
Utaaacha waanze kuviuza mtaaani
 
Back
Top Bottom