JEJUTz
Member
- Aug 22, 2024
- 75
- 197
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.
Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.
Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.
Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.
Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.
Jeju Tz
Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.
Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.
Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.
Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.
Jeju Tz