Bila Cheti afya ya akili ndoa isifungwe!

Bila Cheti afya ya akili ndoa isifungwe!

Cheti cha afya ya akili Sio sawa na cheti cha form 4 kwamba Kwa kuwa ulipataga Division one mwaka 96 basi hata mwaka 2090 kitasomeka the same.

Afya ya akili Leo unaweza kuwa sober ukapata tatizo kesho
 
Kweli aisee.
Kwa mfano, Kuna watu wana ma personality disorders huko kama Narcisism, wanakuua aspects zote za maisha smoothly, na hamna mtu atajua wala hata kunusaa mpaka unaingia kaburini.
 
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.

Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.

Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.

Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.

Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.


Jeju Tz
Hili lina kaukweli naanza kukuelewa
 
Kabla ya ndoa kufungwa,watarajiwa hulazimika kufanya vipimo vya afya zao hususan ukimwi.Hii imekuwa ni kanuni na imezoeleka hivyo.

Kutokana na yanaondelea huko ndoani watu kufanyiani mambo ya ajabu,kujeruhiana,kudhalilishana na hata wengine kutoana uhai.

Nashauri mamlaka husika ziweke sheria kuwe na ulazima sasa wa wanandoa watarajiwa kupima afya zao za akili kabla ya kuoana na kuanza kuishi pamoja.

Na itakapothibitika mmoja kati yao ana magonjwa ya akili,basi ndoa isifungwe ili kuepusha kadhia nilizoanisha hapo juu.

Ndoa ni jambo jema hivyo watu wanatakiwa waishi kwa upepo na amani. Ukichunguza vizuri utagundua kuna watu hawakupaswa kuoa ama kuolewa kwa namna akili zao zilivyo.


Jeju Tz
Uko sahihi kabisa. Ni maumivu na majeraha mengi yenye kuumiza moyo
 
Back
Top Bottom