Wanajamvi nawasalim,
Katika vitu nimejifunza tujitahidi sana kama vijana kufanya kazi kwa bidii huku tukiwaandalia watoto wetu mazingira mazuri ya biashara, kama umemsomesha aje kuajiriwa basi fanya juu chini tengenza connection.
Vijana wengi baada ya kumaliza vyuo na kutofanikiwa kupata ajira permanent huamua kujitolea katika taasisi mbalimbali za serikali wengine kwa juhudi nidham na weledi wanaouonesha kazini hupandishwa hadi vyeo, changamoto kubwa inayowapata hawa watu ni kutokuwa na mzizi wenye connection nini namanisha ni hivi.
Unamkuta huyo mtu ni mtu mwenye cheo katika taasisi kutokana na uimara wake nidham na weledi inatokea serikali kupitia utumishi wanatangazi nafasi za kazi katika hiyo taasisi.
Kijana anaomba nafasi hiyo pamoja na wengine wanaitwa kwenye udahili kijana anajikuta hajapita au kuchaguliwa kwenye udahili anachaguliwa mtu mwingine kabisa anapata ile nafasi kijana anarudi kwenye nafasi yake ya kujitolea na kauongozi alikoteuliwa.
Waajiriwa wapya wanaripoti kazini na anapangiwa kwenye kitengo aliyopo yule kijana anaejitolea ambae hakuchaguliwa kijana anae jitolea anapewa majukumu ya kumfundisha kazi muajiriwa mpya na kumpa uzoefu wa kazi ambayo yeye aliiomba na hakuchaguliwa kwa kuambiwa hana vigezo hajafaulu interview (DUNIA HAIKO FAIR)
Kijana anaejitolea anafundisha kazi muajiriwa mpya na kumsimamia katika kazi.
Huyu kijana anaejitolea maumivu anayoyapata ni sawa na kumwagiwa pilipili na chumvi kwenye kidonda kibichi.
Kama mdau nashauri wazazi tuwatengenezee vinana connection wanafanya vizuri lakini hawapati nafasi.
Katika vitu nimejifunza tujitahidi sana kama vijana kufanya kazi kwa bidii huku tukiwaandalia watoto wetu mazingira mazuri ya biashara, kama umemsomesha aje kuajiriwa basi fanya juu chini tengenza connection.
Vijana wengi baada ya kumaliza vyuo na kutofanikiwa kupata ajira permanent huamua kujitolea katika taasisi mbalimbali za serikali wengine kwa juhudi nidham na weledi wanaouonesha kazini hupandishwa hadi vyeo, changamoto kubwa inayowapata hawa watu ni kutokuwa na mzizi wenye connection nini namanisha ni hivi.
Unamkuta huyo mtu ni mtu mwenye cheo katika taasisi kutokana na uimara wake nidham na weledi inatokea serikali kupitia utumishi wanatangazi nafasi za kazi katika hiyo taasisi.
Kijana anaomba nafasi hiyo pamoja na wengine wanaitwa kwenye udahili kijana anajikuta hajapita au kuchaguliwa kwenye udahili anachaguliwa mtu mwingine kabisa anapata ile nafasi kijana anarudi kwenye nafasi yake ya kujitolea na kauongozi alikoteuliwa.
Waajiriwa wapya wanaripoti kazini na anapangiwa kwenye kitengo aliyopo yule kijana anaejitolea ambae hakuchaguliwa kijana anae jitolea anapewa majukumu ya kumfundisha kazi muajiriwa mpya na kumpa uzoefu wa kazi ambayo yeye aliiomba na hakuchaguliwa kwa kuambiwa hana vigezo hajafaulu interview (DUNIA HAIKO FAIR)
Kijana anaejitolea anafundisha kazi muajiriwa mpya na kumsimamia katika kazi.
Huyu kijana anaejitolea maumivu anayoyapata ni sawa na kumwagiwa pilipili na chumvi kwenye kidonda kibichi.
Kama mdau nashauri wazazi tuwatengenezee vinana connection wanafanya vizuri lakini hawapati nafasi.