Bila connection hupati kazi

Bila connection hupati kazi

Imenikumbusha mbali nliwah fanya kazi asasi moja ya kimataifa muda wa miaka 2 badae mkataba ulivoisha nkaanza kjuishi kwa mkataba wa miezi 6 cha ajabu nafasi niliokuwa naitumikia ikatangazwa nikaomba interview ikaitwa nkahudhuria sikuchaguliwa kaja mtu mpyaaa nkapewa nimtrain muajiriwa mpya ndo ikaww mwisho wangu pale aisseee inauma na inachoma kama pasi
𝐩𝐨𝐥𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐛𝐫𝐨𝐨.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya kazi hazihitaji connection na zipo nyingi tuu ila wajuzi wachache mno au hawapo kabisa... Muhimu shule iwe ya kutosha kichwani na jitahidi mwanao asisomee ajira za halaiki
𝐊𝐚𝐦𝐚 𝐳𝐢𝐩𝐢 𝐡𝐢𝐳𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐮 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐞𝐥𝐞𝐳𝐞𝐚 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oyiiii nimewai mfundisha mtu kazi TANESCO ten alikuwa hajui hata kushika mouth ya computer nimemuelekeza kila kitu jamaa alikuwa msoma mita mm shule nimekwenda na Kaz nafanya vzr San wale vijana nilowaelekeza bila kinyonga huku boss akiniahid kuwa atafanya mpango nibaki pale kipindi kile hakukuwa na mambo ya interview za tume

Siku Moja wale vijana wamesha juwa Kaz kila kitu nashanga wakaletewa cheque namba kutoka makao makuu taayari wameajiriwa kipind hcho feliscni mramba ndio director mkuu wa tanesco yetu ..jmn baada ya muda nikaambiwa niondoke kwani Kaz ninayo fanya hapo wamepatikana watu wakufanya nilihudhunishwa sana Kisha nikarudi kijij kupambana na msoto na msongo wa mawazo

Nalaani hicho kitendo mkp leo na siajwai kanyaga tanesco mpk dakika hii nikiwa na shida namtuma mtu

Ila mungu akanipigani kipata kibarua sehemu fln ila Ni baada ya msoto mrefu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nacheka mkuu sio kama mazuri ila tu ni swala lilivyokaa kihuni. Yani wanakuletea watu uwafundishe kazi kisha walipoweza wewe ukatimuliwa 😂😂😂
 
Me wakati nachapa lapa kusaka ajira nikakutana na kauli mbiu yako toa hela tukupe kazi nikasema mshahara wangu wa kwanza nitatoa asilimia kadhaa Kama ahsante jamaa akachomoa anataka hela fasta pumbavuu saiv nafuga zangu kuku utajiri nje nje[emoji2][emoji2]
Mi nilitake risk ya kuhonga laki 3 yaani 300000 nupate kazi yapi merkezi ela ikaungua kazi sikupata na ndo pesa pekee nilikua nayo aloo sitokaa nisahau Ule msoto morogoro ilikua kidogo niwe maarufu kwa kumpiga mtu tukio kali.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hela ina create strong connections kama pia una good character 🙂🙂.. Maana unaweza kuwa na hela alafu una bad character
Hela ikiwepo kazi unatafuta ya nini sasa? Watu wanatafuta kazi ili wapate kukutana na hizo hela.😂😂😂! Ukiwa kazini ni rahisi kukutana na watu wenye impact kwenye maisha yako tofauti na ukiwa jobless.
 
Mdogo wangu anasota tangu 2018 hadi leo yaani. Namuonea huruma bora angesoma ualimu. Ila ualimu nao siku hizi sio deal tena.
Natamani kuandika vingi lakini sijui nianzaje, anyway kuna connection na bahati ya mtu pia, alhamdullilah nilimaliza chuo mwaka Jana mwezi 8, kufika mwezi wa 10 nikaajiriwa na gavoooo.
 
Oyiiii nimewai mfundisha mtu kazi TANESCO ten alikuwa hajui hata kushika mouth ya computer nimemuelekeza kila kitu jamaa alikuwa msoma mita mm shule nimekwenda na Kaz nafanya vzr San wale vijana nilowaelekeza bila kinyonga huku boss akiniahid kuwa atafanya mpango nibaki pale kipindi kile hakukuwa na mambo ya interview za tume

Siku Moja wale vijana wamesha juwa Kaz kila kitu nashanga wakaletewa cheque namba kutoka makao makuu taayari wameajiriwa kipind hcho feliscni mramba ndio director mkuu wa tanesco yetu ..jmn baada ya muda nikaambiwa niondoke kwani Kaz ninayo fanya hapo wamepatikana watu wakufanya nilihudhunishwa sana Kisha nikarudi kijij kupambana na msoto na msongo wa mawazo

Nalaani hicho kitendo mkp leo na siajwai kanyaga tanesco mpk dakika hii nikiwa na shida namtuma mtu

Ila mungu akanipigani kipata kibarua sehemu fln ila Ni baada ya msoto mrefu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
pole,na ndio Kila mahali ni mapishi tu
 
Wanajamvi nawasalim,

Katika vitu nimejifunza tujitahidi sana kama vijana kufanya kazi kwa bidii huku tukiwaandalia watoto wetu mazingira mazuri ya biashara, kama umemsomesha aje kuajiriwa basi fanya juu chini tengenza connection.

Vijana wengi baada ya kumaliza vyuo na kutofanikiwa kupata ajira permanent huamua kujitolea katika taasisi mbalimbali za serikali wengine kwa juhudi nidham na weledi wanaouonesha kazini hupandishwa hadi vyeo, changamoto kubwa inayowapata hawa watu ni kutokuwa na mzizi wenye connection nini namanisha ni hivi.

Unamkuta huyo mtu ni mtu mwenye cheo katika taasisi kutokana na uimara wake nidham na weledi inatokea serikali kupitia utumishi wanatangazi nafasi za kazi katika hiyo taasisi.

Kijana anaomba nafasi hiyo pamoja na wengine wanaitwa kwenye udahili kijana anajikuta hajapita au kuchaguliwa kwenye udahili anachaguliwa mtu mwingine kabisa anapata ile nafasi kijana anarudi kwenye nafasi yake ya kujitolea na kauongozi alikoteuliwa.

Waajiriwa wapya wanaripoti kazini na anapangiwa kwenye kitengo aliyopo yule kijana anaejitolea ambae hakuchaguliwa kijana anae jitolea anapewa majukumu ya kumfundisha kazi muajiriwa mpya na kumpa uzoefu wa kazi ambayo yeye aliiomba na hakuchaguliwa kwa kuambiwa hana vigezo hajafaulu interview (DUNIA HAIKO FAIR)

Kijana anaejitolea anafundisha kazi muajiriwa mpya na kumsimamia katika kazi.

Huyu kijana anaejitolea maumivu anayoyapata ni sawa na kumwagiwa pilipili na chumvi kwenye kidonda kibichi.

Kama mdau nashauri wazazi tuwatengenezee vinana connection wanafanya vizuri lakini hawapati nafasi.
Ingawa umeileta kwa kugusa juujuu Ila naamini hii ni true story.
Kuna jamaa alikuwa anajitolea kwenye taasisi miaka mitatu, anajua kazi mpaka basi. Ila taasisi hiyohiyo inatangaza kazi, jamaa anaandika barua, inapitishwa na branch manager kwa strong recommendations. Haipiti kwenye interview, anapata mwingine ambaye hajui lolote.
 
Ingawa umeileta kwa kugusa juujuu Ila naamini hii ni true story.
Kuna jamaa alikuwa anajitolea kwenye taasisi miaka mitatu, anajua kazi mpaka basi. Ila taasisi hiyohiyo inatangaza kazi, jamaa anaandika barua, inapitishwa na branch manager kwa strong recommendations. Haipiti kwenye interview, anapata mwingine ambaye hajui lolote.

Interviews zinategemea , kama ni hizi za written na oral bila practical yoyote. Hata uwe na experience gani kufeli kupo pia maana ukikutana na fresher katoka chuo juzi, kichwa bado cha moto na kinge bado kipo mdomoni wakati wewe hukumbuki last time uliongea lini kiingereza 😁😁

Ndio hapo mtu unakibidhiwa kumfundisha kazi 😁
 
Nacheka mkuu sio kama mazuri ila tu ni swala lilivyokaa kihuni. Yani wanakuletea watu uwafundishe kazi kisha walipoweza wewe ukatimuliwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Serious mkuu Ni uhuni wamenifanyia hyo ofc aise sijapendaa upuuzi huo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom