Oyiiii nimewai mfundisha mtu kazi
TANESCO ten alikuwa hajui hata kushika mouth ya computer nimemuelekeza kila kitu jamaa alikuwa msoma mita mm shule nimekwenda na Kaz nafanya vzr San wale vijana nilowaelekeza bila kinyonga huku boss akiniahid kuwa atafanya mpango nibaki pale kipindi kile hakukuwa na mambo ya interview za tume
Siku Moja wale vijana wamesha juwa Kaz kila kitu nashanga wakaletewa cheque namba kutoka makao makuu taayari wameajiriwa kipind hcho feliscni mramba ndio director mkuu wa tanesco yetu ..jmn baada ya muda nikaambiwa niondoke kwani Kaz ninayo fanya hapo wamepatikana watu wakufanya nilihudhunishwa sana Kisha nikarudi kijij kupambana na msoto na msongo wa mawazo
Nalaani hicho kitendo mkp leo na siajwai kanyaga tanesco mpk dakika hii nikiwa na shida namtuma mtu
Ila mungu akanipigani kipata kibarua sehemu fln ila Ni baada ya msoto mrefu mno
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app