Bila connection hupati kazi

Bila connection hupati kazi

Mdogo wangu anasota tangu 2018 hadi leo yaani. Namuonea huruma bora angesoma ualimu. Ila ualimu nao siku hizi sio deal tena.
Ttzo linakuja alisoma kitu gani au ndo mambo? Ya HR
 
Natamani kuandika vingi lakini sijui nianzaje, anyway kuna connection na bahati ya mtu pia, alhamdullilah nilimaliza chuo mwaka Jana mwezi 8, kufika mwezi wa 10 nikaajiriwa na gavoooo.
Ualimu pia ni sehem ya gavooo
 
Back
Top Bottom