Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Mpinzani wa Samia atoke wapi?

Samia ni levels nyingine kabisa,
Inawezekana kabisa but there should be a level playing field; na hiyo ikiwepo inaweza kumfanya akawa great maana atapata wabunge wa kumsaidia
 
Kwa spidi hii muda si mrefu tutafikia kukusanya trilion 2.5 kwa mwezi. Mipango ya kiuchumi ya serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia inatoa fursa mzuri kwa wajasiria Mali wakubwa kwa wadogo,wakulima n.k
TRA wanazembea Sana , makusanyo yalikuwa yanavuka kabisa watu hawadai risiti na wafanyabiashara hawatoi risiti..

Tuwe wazalendo tudai risiti badala ya kunufaisha muuzaji afu tunaidai serikali huduma na maendeleo.
 
Hivi unaongea nini Wewe? Unaelewa ulichoandika? Value of money na exchange rates vinahusianaje na ongezeko la makusanyo?
 
Nafurahia kodi hizo kwa sababu SOTE KWA PAMOJA TUNAZILIPA
Lakini kuna wale ambao hawawezi kusukuma kodi kwa watu wengine, hao wanaumia sana. Chukulia mkulima wa kawaida (peasant), bei ya mazao anapangiwa na wanunuzi lakini bidhaa anazonunua nazo anapangiwa bei na wauzaji. Hana namna ya kusukuma ongezeko la kodi kwa mtu mwingine.
 
Ukija huku mtaani ukatueleza upuuzi wako huu juu ya huyo mama yako tutakupiga mawe.

Sabuni zimepanda Bei
Mafuta ya kula yamepanda Bei
Vifurushi vimependa
Nyama imepanda Bei
Pembe jeo imepanda Bei
Tozo
Makato rukuki
Na kila aina ya dhuruma kwa mgongo wa neno Kodi na uzalendo.

Nasema hivi huu upuuzi wako naomba uishie huku huku usiulete mtaani, utapigwa mawe nawakwambia.
 
Sasa kupanda bei kunahusianaje na makusanyo? Jibu rahisi ni kwamba kupanda bei kwa vitu ni alama ya kukua kwa uchumi kwamba demand ipo na wafanyabiashara watapata faida..

Ukiona bei ziko stagnant ujue uchumi uko dormant,alafu huu ni uchumi wa kati kwa hiyo gharama za maisha huwa zinaenda juu.

Hata hivyo mafuta yamepanda.sana soko la Dunia ,hukuona majuzi yameadimika Uingereza? πŸ‘‡

 
Kampeni za kitoto sana.
Mnawakamua walalahoi tozo mnasema makusanyo kodi.
Tume zilizopewa kazi zimeleta majibu!??
Je hizo za mabeberu ndio mnaweka mifukoni?!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Tozo na Kodi wapi na wapi wewe kiazi mnatata?

Hapo kwenye excise duty ndio kodi za TRA hizo zingine zinakwenda taasisi husika,Ona huu mchanganuo hapa chini πŸ‘‡

 
tusileteane usanii mwezi sept ni mwezi wa kulipa makadilio ya kodi robo ya tatu, tuone oktoba watakusanya ngapi
 
Kupanda bei unaona ni sababu za kumpiga mawe huyo jamaa?. Vitu vinapanda bei USA kwenye uchumi namba moja duniani wewe unashangaa Tanzania!!?.

Inflation huwezi kuikwepa mkuu ni sehemu ya maendeleo. Unataka uendelee kupanda basi tshs 150 kwa miaka 20 pasipo kupanda hata mara moja?. Huo ubunifu utaupata wapi na lini kama vitu havipandi bei?.
 
Cha mwisho serikali hii imekuwa na kasumba kubwa ya kupika data.

Mfano; Garson msigwa alisema walio pata chanjo ni zaidi ya laki nne, siku tatu baadae taarifa kutoka wizara ya afya ikasema waliopata chanjo ni 382000.

Garson msigwa alisema ujenzi wa reli ya SGR umefikia zaidi ya 90% miezi miwili mbeleni akasema, ujenzi wa SGR umefikia 80+%.

Huyu huyu Gerson msigwa juzi juzi hapa anakuja na taarifa ya ujenzi wa njia nane kimara bado unaendelea na uko 94%. Wakati sie wakazi na wapita njia wa hizo barabara tunaona ujenzi umesimama Wala hakuna magari na wafanya kazi wanao fanya kazi.

Leo hii mnakuja tena na upuuzi wa kukusanya 1.9T, alafu likitokea suala la kuhitaji pesa chief HANGAYA anasema hatuna pesa uchumi umeshuka na mapato yameshuka Kwasababu ya korona.

Msitufanye watanzania wajinga na takwimu zenu hizo za kugushi zisizo aksi uhalisia..

Mnatia hasira sana nyie watu.
 
mtoa mada huna akili huoni izo tozo kwa jembe jpm zilikuwepo kuwa na akili angalau za kufikria
Ulikatazwa kutoza tozo? Mjinga kama wewe hujui chochote Kuhusu kodi na tozo..

Ili upate elimu katume pesa leo au katoe alafu angalia mchanganuo utaona sehemu ya VAT na tozo za serikali.Tozo zinaenda taasisi husika na wala sio TRA..

Kwa msaada zaidi hapo pameandikwa Excise duty na costom processing fee ndio TRA wanakusanya nyingine zote zinaenda taasisi husika.

Jielimishe kabla ya kuropoka we msukule wa Mwendazake πŸ‘‡

 
mjnga mama yako mzazi
 
Data zilikuwa zonapikwa na Mwendazake zake sio mama..

Takwimu za makusanyo umepewa ,wapike Ili wavumbue nini?

Mara nyingi makosa huwa yapo kutokana na uzembe wa coordination wa taasisi za.serikali..Unaweza Kuta Kadogosa kampa progress report ya mradi tofauti na ya mkandarasi au consultant .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…