Mara gani huo unaouzungumzia. Mbona Sisi tunamkubaliWe jamaa umefungua account hii kwa ajili ya kusifia tu awamu hii! Ila mwambie huyo bibi Tozo kwamba hakubaliki kabisaaaaa mitaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara gani huo unaouzungumzia. Mbona Sisi tunamkubaliWe jamaa umefungua account hii kwa ajili ya kusifia tu awamu hii! Ila mwambie huyo bibi Tozo kwamba hakubaliki kabisaaaaa mitaani
Anataka ule ujinga wa miaka 5 iliyopita uendelee, jambo dogo tu linatangazwa kama ndiyo mwisho wa dunia!! Mambo aliyoyafanya huyu mother kwa hii miezi 6 ingekuwa awamu pendwa mtaani kusingekalika kwa maandamano ya kupongeza
KUWA NA AMANI NCHI IKO VIZURI SANAMbona hawaweki kiasi wanachokusanya kila mwezi? Hakuna kuweka makande.
Mkuu ni mtaa wa Ufipa?We jamaa umefungua account hii kwa ajili ya kusifia tu awamu hii! Ila mwambie huyo bibi Tozo kwamba hakubaliki kabisaaaaa mitaani
Tozo sio kodi, kodi ni ile wanayolipa wafanyabiashara na wafanyakazi tu.🤣🤣mtoa mada huna akili huoni izo tozo kwa jembe jpm zilikuwepo kuwa na akili angalau za kufikria
Una uhakika?KUWA NA AMANI NCHI IKO VIZURI SANA
Kazi iendelee mkuu.Hakika tutafika huko,
Mungu akiwa upande wetu kila kitu kitakwenda sawasawa,
This is a blessed gvnment
Mkuu nakusalimia kwa jina la JMT
Top leader ,mtoa mada huna akili huoni izo tozo kwa jembe jpm zilikuwepo kuwa na akili angalau za kufikria
Mkuu Salama?Kazi iendelee mkuu.
Kesho nitawajibu hii kitu,Una uhakika?
Inakuwaje Rais wetu anashirikiana na Matapeli
Blair's company paid just £315,000 tax on income of more than £12m | The Independent | The Independent When you have already spent half a million pounds on rent, £300,000 on furniture and £2.3m paying your staff, an extra £8m on unexplained “administrative expenses” might seem to be stretching...www.jamiiforums.com
Asante mkuu kwa hii shule,Tozo sio kodi, kodi ni ile wanayolipa wafanyabiashara na wafanyakazi tu.🤣🤣
We jamaa umefungua account hii kwa ajili ya kusifia tu awamu hii! Ila mwambie huyo bibi Tozo kwamba hakubaliki kabisaaaaa mitaani
Nchi ngumu sana hii,makufuli kakusanya nyingi bila tozo za miamala wa umeme
Kiukweli huyu mama ni mpango wa Mungu, nchi ilitawaliwa na ibilisi, ilijaa hofu, unyang'anyi ulitawala, uuaji, mateso, vifungo udini,ukabila, manyanyaso, ubabe,udikteta, uhayawani,ushetani.Huyu Mama ni Mpango wa Mungu,
Nimnyenyekevu na mpole sana,
Hana majigambo kabisa,
Mungu akulinde Rais wetu
Watanzania tunakupenda sana,
Bora tozo ya umeme na miamala kuliko unyang'anyi uliolenga wivu na fitna kwa watu wachache.Miamala na tozo za ktk umeme, hata mie ningekusanya hizo, tena zaidi maana ningeziba magepu ya ufisadi na upigaji...
Srma haikusaidia kuwashawishi NEC kumtangazaNi kama vile kipindi kile tulivyoanza kumtengenezea mazingira Lisu mara oh atahutubia umoja wa ulaya, mara atahutubia un mara atafungua case katika mahakama ya kimataifa dhidi ya Magufuli nk. Lkn cha kushangaza uchaguzi mkuu wa 2020 ulipofika Lisu mwenyewe aliangukia pua. Yani propaganda zetu zote na uongo tuliotengeneza havikusaidia kuwashawishi wananchi wampigie kura. Hii ndo Tanzania ndugu.
Kampeni za kitoto sana.
Hata aliyetangulia alikuwa anaimba mniombee! Kazi hii ni ngumu! Huku akipita mtaa anagawa pesaWewe hujaelewa nini hapo?
Mpinzani wa Samia atoke wapi?
Samia ni levels nyingine kabisa,