Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Zaidi ya nusu katika hiyo Kodi imetokana na manunuzi ya vifaa katika ujenzi wa SGR na bwawa la Nyerere pamoja na malipo kwa makandrasi.
 
Jibu hoja wewe mkwepa Kodi...katika mapato yaliyokusanywa mapato ya tozo za miamala na Kodi za nyumba kupitia luku ni sh. Ngapi na mapato mengine sh. Ngapi? Hapana shaka figures za mapato mengine zitakuwa ni aibu kubwa....wakwepaji Kodi wanaongezeka sasa..


Ninavyoandika message nipo gizani...umeme umekatika for three hours..enzi za unayemwita mwendazake ilikuwa ni nadra umeme kukatika....nadhani nyie wakwepa mnajiandaa kuleta majenereta...bidhaa zinapanda inflation ni juu...
Unabisha??
Nikukumbushe tu hata Mwendazake takwimu za mapato zilijumuisha na vyanzo vya local Government ambavyo enzi za JK ziliachiwa Halmashauri.
So ukisema tuweke pembeni makusanyo ya tozo basi pia na ww toa mapato ambayo Mwendazake alizinyang'anya Halmashauri.

After all tozo kwa mwezi haifiki 100b
 
Nikukumbushe tu hata Mwendazake takwimu za mapato zilijumuisha na vyanzo vya local Government ambavyo enzi za JK ziliachiwa Halmashauri.
So ukisema tuweke pembeni makusanyo ya tozo basi pia na ww toa mapato ambayo Mwendazake alizinyang'anya Halmashauri.

After all tozo kwa mwezi haifiki 100b
😍😍😍
 
Mmm hizo Tozo Mbona tumekamuliwa sana.sema awamu hii inakusanya kodi kwa walala hoi,ambao hawana pa kusemea.
Serikali yakusanya kodi Sh1.9 trilioni Septemba
SATURDAY OCTOBER 02 2021


Summary

Serikali imesema imekusanya kodi ya Sh1.9 trilioni kwa kipindi cha Septemba mwaka huu ikiwa ni sawa na asilimia 93.

Morogoro. Serikali imesema imekusanya kodi ya Sh1.9 trilioni kwa kipindi cha Septemba mwaka huu ikiwa ni sawa na asilimia 93.

Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumamosi, Oktoba 2, 2021 Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema makusanyo hayo ni makubwa kulinganisha na kipindi kama hicho mwaka 2020.

“Tuliweka malengo ya kukusanya Sh2.1trilioni, ukusanyaji huu ni mkubwa ukilinganisha na mwaka jana kipindi kama hiki tulikusanya Sh1.7 trilioni ambazo ni sawa na asilimia 80 ya malengo tuliyojiwekea ya kukusanya Sh2.2 trilioni” amesema Msigwa.
 
Niko nje ya mada wakuuu. Mbona vitu, bidhaa na huduma zimepanda bei au pesa (noti) zimechapishwa kimya kimya
 
Bila hizo namba za mkusanyiko wa kodi CCM itakuwa katika hali ngumu mbleleni. Zimetoka wapi? ndio ningeuliza, ni asilimia ngapi za waliowekeza? kwani tatizo sio mwananchi anayelipa kodi kuchwa bali ni matumizi ya hiyo pesa na serikali ya CCM inapoenda.Je hayo matumizi yanatajwa?

Hongera kwa watumishi wote waliofanikisha hili na wananchi wote kwa ujumla.
 
Pikeni data muwezavyo sisi tunaangalia miradi tu,ikikwama ndo uongo wenu utakuwa wazi.
Maana tunatarajia afanye miradi mikubwa zaidi mipya kwa makusanyo ya tozo kila Kona.
 
Kenge wewe hujui kitu unatapa tapa tuu,weka hicho ulichoita concepts
Kama Mimi ni kenge wewe ni pig..you are a hog..ni nguruwe...mnyama mlafi..
Kwa kuleta Mambo hayo ya mafuta bill Shaka una business ya mafuta...na mwizi, mkwepa Kodi ..stupid guy...huna utu kabisa...kufurahia kifo Cha binadamu mwenzio Tena basi kiongozi wa nchi ncio ushenzi wenyewe tunaouzungumzia. Kama hujui maana ya concept ya ushenzi, upumbavu na ujinga ndiyo hivyo Tena...nazungumzia maneno hayo Kama concepts wewe Mambo ya mafuta..stupid guy...
 
Nikukumbushe tu hata Mwendazake takwimu za mapato zilijumuisha na vyanzo vya local Government ambavyo enzi za JK ziliachiwa Halmashauri.
So ukisema tuweke pembeni makusanyo ya tozo basi pia na ww toa mapato ambayo Mwendazake alizinyang'anya Halmashauri.

After all tozo kwa mwezi haifiki 100b
Ni Nani amesema mapato hayo yawekwe pembeni ...nasema fafanua mapato hayo yanahusisha Mambo gani..umeelewa dogo?
 
Hueleweki kitu we mburula tozo hazihusiki hapa..

Ukute hujawahi fanya hata muamala ukaangalia mchanganuo wake ndio maana unaongea pumba.Tozo haziendi TRA.
Samia anaupiga mwingi hadi jamaa wamekosa cha kuongea now, wanatunga uongo tu! Mama siyo fisadi, mwizi! Hapendi machawa, kawaachia wasaidizi wake waoneshe vipaji vyao, anayezingua anamtoa! Siyo yule ambaye aliacha wasaidizi wake wawe majambazi na hakuwawajibisha kisa kabila/kanda
 
Mbona mnadanganya sana watu.?Yaan mapato ya TRA yamepanda katika ukusanyaji ,baada tu ya serikali kupokea mkopo wa Covid?Huyu mama hana huo ubavu ,kama wafanyabiashara hawatoi EFD.Halafu ,kwann kujilinganisha na Magufuli?Mbona Magu alimpenda huyu mama.Na hakumyima furusa za umakamu,safari.Leo mama anataka aonekane ni said ya geneous JPM?Sisi sio wajinga.
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & Weledi zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
Hongera mama Samua.
Kumbe kuongoza nchi bila dhuluma inawezekana.
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & Weledi zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
HAKUNA MPAKA SASA ALIYEVUNJA REKODI HII YA JPM
Screenshot_20211005-003840.jpg
images%20(7).jpg
 
Back
Top Bottom