Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Mbona mnadanganya sana watu.?Yaan mapato ya TRA yamepanda katika ukusanyaji ,baada tu ya serikali kupokea mkopo wa Covid?Huyu mama hana huo ubavu ,kama wafanyabiashara hawatoi EFD.Halafu ,kwann kujilinganisha na Magufuli?Mbona Magu alimpenda huyu mama.Na hakumyima furusa za umakamu,safari.Leo mama anataka aonekane ni said ya geneous JPM?Sisi sio wajinga.
Unachanganya mambo mkuu. By the way miaka yote takwimu zimekuwa zikilinganishwa na kipindi sawia hivyo sio kumlinganisha na magu.
 
Samia anaupiga mwingi hadi jamaa wamekosa cha kuongea now, wanatunga uongo tu! Mama siyo fisadi, mwizi! Hapendi machawa, kawaachia wasaidizi wake waoneshe vipaji vyao, anayezingua anamtoa! Siyo yule ambaye aliacha wasaidizi wake wawe majambazi na hakuwawajibisha kisa kabila/kanda
Saizi wanahangaika kutafutiza makosa na mapungufu madogo madogo Ili waanzishe tu thread uchwara 😀😆😆.

Walitamani Sana alivyosema wafanyabiashara wasibughudhiwe serikali ikose pesa ila imekuwa kinyume chake,wanaaibika kila kukicha..

Kwa taarifa yao mwaka ujao Hali ya Uchumi itakuwa tamu zaidi .
 
Mbona mapema sana kuanza kampeni za urais, vipi hamna uhakika na mama enu kwamba atatoboa?
Tozonia zimetufikisha hapo hakuna lolote zaidi ya wabunge kushiriki dhuruma wakakomba mihamala na fedha za nyumba wapangaji wasiohusika wanaliwa kama kawa
 
HAKUNA MPAKA SASA ALIYEVUNJA REKODI HII YA JPMView attachment 1963132View attachment 1963133
Screenshot_20211003-093938.png
Screenshot_20211003-093938.png
Screenshot_20211003-093938.png



1.97 ~ 2 kama unajua hesabu lakini
 
Tozo haziendi TRA zinaenda wapi mbuzi wewe
Mbuzi baba yako..we kwa akili zako fupi makusanyo ya taasisi mbalimbali huwa yanaenda TRA? Inawezekana huelewi maana ya hazina na TRA..

Kila taasisi unayoijua wewe inakusanya mapato yake kwa shughuli yake..

Tozo za simu ziko ninaingia kwenye Mfuko unaitwa consolidated funds au Mfuko mkuu wa Serikali..

Tozo za mafuta zinaenda kwenye account ya Tarura ya BoT,nk

Wewe ni mjinga hakuna unachoelewa tulia ueleweshwe.
 
Saizi wanahangaika kutafutiza makosa na mapungufu madogo madogo Ili waanzishe tu thread uchwara 😀😆😆.

Walitamani Sana alivyosema wafanyabiashara wasibughudhiwe serikali ikose pesa ila imekuwa kinyume chake,wanaaibika kila kukicha..

Kwa taarifa yao mwaka ujao Hali ya Uchumi itakuwa tamu zaidi .


Safi sana mkuu wangu
 
Mbuzi baba yako..we kwa akili zako fupi makusanyo ya taasisi mbalimbali huwa yanaenda TRA? Inawezekana huelewi maana ya hazina na TRA..

Kila taasisi unayoijua wewe inakusanya mapato yake kwa shughuli yake..

Tozo za simu ziko ninaingia kwenye Mfuko unaitwa consolidated funds au Mfuko mkuu wa Serikali..

Tozo za mafuta zinaenda kwenye account ya Tarura ya BoT,nk

Wewe ni mjinga hakuna unachoelewa tulia ueleweshwe.


Unafanya kazi kubwa sana opportunity cost
 
Mbuzi baba yako..we kwa akili zako fupi makusanyo ya taasisi mbalimbali huwa yanaenda TRA? Inawezekana huelewi maana ya hazina na TRA..

Kila taasisi unayoijua wewe inakusanya mapato yake kwa shughuli yake..

Tozo za simu ziko ninaingia kwenye Mfuko unaitwa consolidated funds au Mfuko mkuu wa Serikali..

Tozo za mafuta zinaenda kwenye account ya Tarura ya BoT,nk

Wewe ni mjinga hakuna unachoelewa tulia ueleweshwe.
Wewe buzi kama busi wengine Tu wala huna maana

Lofa mkubwa were

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Una hoja gani, hoja zako nyepesi kama mabua ya mahindi kwenye Moto
Kalagabaho
We nadhani umejaa kamasi kichwani eti..

Angalia huu mchanganuo hapo chini uone mchanganuo wa bei ya mafuta na uone tozo na Kodi zinavyoenda kwenye taasisi mbalimbali labda utaelewa 👇

IMG-20210906-WA0002.jpg
 
Tozonia zimetufikisha hapo hakuna lolote zaidi ya wabunge kushiriki dhuruma wakakomba mihamala na fedha za nyumba wapangaji wasiohusika wanaliwa kama kawa
We ni mjinga mpangaji hahusiki na nini? Technically ukipanga chumba hapo ni kwako kile unachotumia lazima ulipie sasa shuluma iko wapi? Mbona unalazimisha mambo?
 
We nadhani umejaa kamasi kichwani eti..

Angalia huu mchanganuo hapo chini uone mchanganuo wa bei ya mafuta na uone tozo na Kodi zinavyoenda kwenye taasisi mbalimbali labda utaelewa 👇

View attachment 1963887




S
We nadhani umejaa kamasi kichwani eti..

Angalia huu mchanganuo hapo chini uone mchanganuo wa bei ya mafuta na uone tozo na Kodi zinavyoenda kwenye taasisi mbalimbali labda utaelewa 👇

View attachment 1963887



Safi Sana mkuu,
 
We nadhani umejaa kamasi kichwani eti..

Angalia huu mchanganuo hapo chini uone mchanganuo wa bei ya mafuta na uone tozo na Kodi zinavyoenda kwenye taasisi mbalimbali labda utaelewa [emoji116]

View attachment 1963887
Wewe ni mmoja WA wapiga chapuo Tu nadhani ni wale machawa wanaoshadadia tozo nyingi na Kodi ili muweze kuiba na kujishibisha matumbo yenu

Ole wenu
 
Back
Top Bottom