Bila Diamond, Rayvanny hana ubunifu

Bila Diamond, Rayvanny hana ubunifu

Acha upumbavu wewe vanyboy anakuwaje mpinzani WANGU WA kati Mimi NA yeye tuko ktk kada tofauti na kaishia darasa LA pili tunakuwaje wapinzani? MIMI ni msanii? Diamond angewekwa category km ya vany angeichukua BILA utata KWA jinsi anavyokubalika na fanbase aliyonayo cuz KWA east Africa mond hana mpinzani
Hiki ndio nilichokisema

Rwankomezi hivi huyu jamaa nikimtukana au kumdharau kwa kumtema mate nitakuwa nimekosea?
.
Nimeuliza swali ni msanii gani yoyote kutoka Tanzania amewahi kubeba tuzo ya BET including Simba ukimuacha Rayvanny majibu yake ndio hayo
Sasa sijui black coffee kawa raia wa Tanzania lini?
Kamtaja Simba kukosa tuzo, hiyo tuzo ya upcoming artist aliyoikosa diamond Eddy Kenzo aliipata miaka miwili au mitatu baadaye nadhani hii haina maana Kenzo ni mkubwa kuliko diamond na haina maana Diamond angewekwa kwenye category sawa na aliyokuwa vanny angechukua!
.
Wapinzani wa Rayvanny wote ni wakali chuki zinakuua taratibu wewe[/QUOTE]
Wananzengo tumeingiliwa huku anasema nimemlinganisha na Rayvanny anasema nimesema yeye na Rayvanny nani mkali
kurlzawa Rwankomezi tupeleke milembe huyu wallah ana shida kichwani.
.
Chuki zinamuua
 
Hao waimba Hip Hop Za bongo hawana tofauti na wapiga taarebu tu muda wote kujisifia na kuponda wenzao
Alichoandika van na Hao hip-hop wako Umefatilia hawana tofauti
Ujue chochote sipotezi muda kukuelimisha kama kusoma unajua unashindwaje kutofautisha baki na mahaba yako kama sio mapenzi.
 
Kama anabana pua na mshiko unaingia acha abane tu boy
 
2019 huwa husikilizi nyimbo, unapenda purukushani kama zipe za baba lao. Kati ya waimbaji binao penda kusikiliza nyimbo zao mmoja ni rayvany pamoja na marombosso na asley, napenda uandishi wao na kila mmoja ana ladha yake kwenye uandishi. Baba lao na uno ni purukushani tuu za kitoto
Uko sahihi kwa asilimia [emoji817].
Wale wengine hawajui utunzi yaani bila kutukana hawapati Cha kuimba.
 
Ujue chochote sipotezi muda kukuelimisha kama kusoma unajua unashindwaje kutofautisha baki na mahaba yako kama sio mapenzi.
Ungemtaja hata msanii mmoja wa hip-hop ambaye haimbi mipasho Nikuone wewe unaejua vyote
 
Tunajivunia home boy Mbeya Moja. Ila inabidi aje kuoa Mwanamke wa huku huku home. Yule mswahili sio
 
Nyie ongeeni tu,lkn hiki kitu alicho achieve Rayvanny sio kitu kidogo kwa mwaka huu 2019.
80070659_172157490532577_2574541885045948657_n.jpg
 
Labda kwa nyegezi
Mimi sio shabiki wa yeyote kati yao, wala sio shabiki wa aina ya mziki wanaofanya. Ila nadhani humfahamu vizuri Rayvanny

Angalia uandishi wa hao wawili utagundua vany boy ni kichwa. Ni kichwa kizuri tuu. Hata management yao inatambua hilo.
 
Mzee wa nyegezi na tetema na vumbi anapiga zogo tu ..kuimba wamuachiye mumakonde
 
Huyu dogo sijawahi kumwelewa amshukuru sana Diamond ndio anampiga tafu. Kila wimbo kamshirikisha kama hajashirikisha basi ujue ni remix. Namshauri ache kubana pua, sisemi nikiwa na maana kuwa najua kuliko yeye? Hapana mimi ni shabiki nitabaki kuwa shabiki hivyo.
Uongo na rayvanny akitoka ndio utajua kuwa ideas ni yake.
Sisemi diamond hana but ray namkubali sana
Mtu wa kumshukuru Baba Lao ni mbosso.
 
Huyu dogo sijawahi kumwelewa amshukuru sana Diamond ndio anampiga tafu. Kila wimbo kamshirikisha kama hajashirikisha basi ujue ni remix. Namshauri ache kubana pua, sisemi nikiwa na maana kuwa najua kuliko yeye? Hapana mimi ni shabiki nitabaki kuwa shabiki hivyo.
Labda kwa vile wewe ni 2019 si sikushangai sana ulicho andika kimekaa ki2019...bado huyajui mengi
 
Tatizo hana nyota. Bongo waimbaji wazuri wengi tu. Ila inatakiwa use na kitu kingine extra ndio utafika mbali. Mfano marioo nyimbo zake nzuri ila ndio hivyo tu
 
Jinola Hamza unachojua we ni nyegezi tu, ndo maana hata mawazo yako yamekaa upande.... uno unaelewa maana yake? vichwa mgando msipende kuwaquote watu kama uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo... social networks place to enyoy... hahaha, niquote tena nkufurahishe
 
Back
Top Bottom