Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Huu mkuki una ncha kali sana na umerushwa kunako Giza tororo Sana, Waje tusikilizie kelele kwa utakao mpata. Hahaha
 
yan unalolisema wewe ni wenye exception labda waliosoma coz za afya miaka 5 au unagundua kwenye elim yake aliunganisha hakua akipumzika hapo may be( masters au na phd kabsa)

lkn sio mtu kamaliza chuo 23 kaajiriwa keshapiga sana kaz au wengne hata aliishia tu form four ndo nije niuvagae akiwa na miaka 30+ BIG NO huo utakua ni utahira
Sasa Mkuu kama kwa kipindi chote hicho hakupata wa kumuoa afanyeje sasa zaidi ya kuwa na imani ipo siku itatokea mbali na umri kusonga.

Au Mkuu una maoni gani na wenye hiyo age hivyo wajikatie tamaa kabisa ya kutokuolewa ama? Hebu tusaidiane kwa hili.
 
Ndio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.

Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
Gudume mwenyewe ana bonge la kijiMbamia katueleza majuzi. Itakuwa hataki wanawake wanaojielewa, anataka alompita sana umri ili ampelekeshe kama mzazi Wake. Ova!
 
Ndiyo muda mwingine mnadanganywa mtu miaka 34 anakuambia ana 26 na wadada wa siku hizi wanazingatia mlo..gym kwa sana kutengeneza body utomjua kama age imeenda.

Kufika miaka 30 bila kuolewa sio dhambi wala haimaniishi kama katumika sana....
 
Gudume mwenyewe ana bonge la kijiMbamia katueleza majuzi. Itakuwa hataki wanawake wanaojielewa, anataka alompita sana umri ili ampelekeshe kama mzazi Wake. Ova!
Hahahahaa. Ili nali neno Mkuu.

Anataka vitoto visivyojua Mipini wala vibamia. Hahahahaaa.
 
Mbona hta wewe umetumika sana?40years??labda uwe tajiri ila vinginevyo wewe hufai. Swali. Je kwanini wewe umekaa mda mrefu hivyo hujaoa??wewe co muoaji......
Sema wewe mkuu. Ametumika mno kuliko huyo dada.
 
GuJike gunakuhusu wewe, maana sasa umezidi kila siku wewe na wanawakeeee, wanawakeee, Tafuta GuJike kelele zipungue.
 
Ndiyo muda mwingine mnadanganywa mtu miaka 34 anakuambia ana 26 na wadada wa siku hizi wanazingatia mlo..gym kwa sana kutengeneza body utomjua kama age imeenda.

Kufika miaka 30 bila kuolewa sio dhambi wala haimaniishi kama katumika sana....
Hahahaaa. Umesema kweli ujue na hii inafanya baadhi ya wanawake hawakui yaani miaka yao inacheza hapo hapo ilimradi wapate kitu fulani kwa sababu ya imani zao potofu.Na mwisho wa siku hawakawii kusema mara ooh ngozi ngumu mara hivi kumbe wameyataka wenyewe.

Mi najionea hata mwanamke akiwa na miaka 35 na kuendelea kama sifa za kuolewa anazo sioni kama kuna shida akipata mwenza.
 
Hahahaaa. Umesema kweli ujue na hii inafanya baadhi ya wanawake wasikue ilimradi wapate kitu fulani kwa sababu ya imani zao potofu.Na mwisho wa siku hawakawii kusema mara ooh ngozi ngumu mara hivi kumbe wameyataka wenyewe.

Mi najionea hata mwanamke akiwa na miaka 35 na kuendelea kama sifa za kuolewa anazo sioni kama kuna shida akipata mwenza.
Wewe ujaona siku hizi kila mdada mjini yupo busy na diet na mazoezi...

Yaani mimi huwa nacheka mdada unamjua huyu umri ni mkubwa ila anakuambia nina 26 unabaki unacheka yote haya yanatokana na hawa wanaowanyanyapaa!!

Kwanza mdada mkubwa ndiyo mzuri anajua nini maana ya maisha.....atakaa kwenye ndoa vizuri sababu kachelewa kuipata....
 
Wewe ujaona siku hizi kila mdada mjini yupo busy na diet na mazoezi...

Yaani mimi huwa nacheka mdada unamjua huyu umri ni mkubwa ila anakuambia nina 26 unabaki unacheka yote haya yanatokana na hawa wanaowanyanyapaa!!

Kwanza mdada mkubwa ndiyo mzuri anajua nini maana ya maisha.....atakaa kwenye ndoa vizuri sababu kachelewa kuipata....
Hahahaaa. Bora uwafungue macho na msikio ili wapate kujua ndoa haina mwenyewe wala umri fulani yeyote anaweza olewa cha muhimu anakidhi vigezo vya kuwa mke mwema.

Ila hapo pa mazoezi na diet pamechachamaa aisee my dear na yote hayo sababu kuu ni hao wanaume wenye mawazo kama ya kina GuDume. Hahahahaaa.
 
Huyu dada atakuwa na matatizo ya akili si bure leo kwa mara nyingine ananambia eti ye kaangalia wote anaona mimi ndo tunaweza oana umri wake miaka 33 choka mbaya wewe miaka 34 uje uolewe na mimi kweli una akili? mimi nina over 40 ndiyo lakini siwezI oa mwanamke ambaye amekuwa so used kiasi hicho.

Mwanaume lazima ujiulize huyu dada wakati wenzie wote wanaolewa yeye alikuwa anafanya nini?kama chuo alishamaliza zamani sana na akawa anafanya kazi yeye alitaka ale na aliwe bata leo anaona imeshakuwa jioni ndo aje aniangushie gari mimi.

Vijana nawaasa msije mkajiingiza kwnye matatizo haya kwa kuona mdada ni mrembo na ana pesa eti ndo aje amalizie siku zake kwako muda si mrefu anaingia menopause huyu dada then ndo tuzae mimi na yeye akiwa na miaka 32 nilidhani ananitania ile leo nimemcheck usoni kwa umakini anaonekana yupo serious kabisa.

USIOE MDADA AMBAYE UMRI UMEENDA. UJUE WENGI WALIMWONA HAFAI HUKO NYUMA...usidanganyike ukiona hivyo ujue hakufaa toka zaman. wanawake wenye kufaa huolewa wakiwa na miaka 20-28 usibishe. wa 30+ basi ujue alishaachika au watu walikuwa wanajigongea wanaondoka. na unaweza kuta ana mtoto au alishatoa sana mimba.

Nimeacha hata kula chakula ambacho sometime huwa ananiletea toka kwake kwa ajili ya lunch maana nisije kuta naanza kumpenda bure hasa kwa kuwa nimemwambia kuwa ni ngumu sana mimi kuoana na yeye hata mengi na umri wake ule ametafuta kabinti mimi ndo nikatafute mzee mwenzangu? no way. au ndo waswahili wanasema "GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO? sitaki nataka mtoto wa miaka kuanzia 24 mpaka 28 hayo mauzee yenu kaeni nayo wanawake wenyewe wa siku hizi mnaanza mapenzi mapema kama yule mwingine anasema alianza akiwa na miaka 16 .

Imagine mtu ana uzoefu wa miaka 16 katika game wakati mimi uzoefu wangu ni miaka 10 tu
Mkuu huyo dada ndo CV yake au? Huenda ni bikira kakutunzia wewe.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimeishia kusoma uliposema UKIONA MDADA HAJAOLEWA NA UMRI UMEENDA, NI KWA KUWA WENGI WALIMUONA HAFAI. Mchango wangu, hao wengi walimuona hafai ili mwisho kwa kuwa anakufaa wewe, wewe ndiye umuoe. Wangemuona anafaa, usingempata.
 
wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....
 
Back
Top Bottom