Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....

Usikariri maisha mkuu,kuna wanawake wako 30+ lakini hawako used kama unavyosema,na wapo under 20 wako hooi taabani yaani "vagalanti" ww mwenyewe ukipewa hata bure hutokubali...cha msingi tulia ujue unataka nini halafu umri pia unaenda 40 something sio namba ndogo ulitakiwa kuwa Mr na watoto juu.......all in all kupanga ni kuchagua.
 
najua nimekugusa.. lakini ndo hivyo mama... mimi sikukutaja ila nimeweka tu jumla kwa wote... kama mwingine anavyosema hawezi oa mtoto wa miaka 18 mimi nasema siwezi oa mwanamke wa miaka 33.wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....
We nawe saa zingne unaongeaga ujinga
 
Huyu dada atakuwa na matatizo ya akili si bure leo kwa mara nyingine ananambia eti ye kaangalia wote anaona mimi ndo tunaweza oana umri wake miaka 33 choka mbaya wewe miaka 34 uje uolewe na mimi kweli una akili? mimi nina over 40 ndiyo lakini siwezI oa mwanamke ambaye amekuwa so used kiasi hicho.

Mwanaume lazima ujiulize huyu dada wakati wenzie wote wanaolewa yeye alikuwa anafanya nini?kama chuo alishamaliza zamani sana na akawa anafanya kazi yeye alitaka ale na aliwe bata leo anaona imeshakuwa jioni ndo aje aniangushie gari mimi.

Vijana nawaasa msije mkajiingiza kwnye matatizo haya kwa kuona mdada ni mrembo na ana pesa eti ndo aje amalizie siku zake kwako muda si mrefu anaingia menopause huyu dada then ndo tuzae mimi na yeye akiwa na miaka 32 nilidhani ananitania ile leo nimemcheck usoni kwa umakini anaonekana yupo serious kabisa.

USIOE MDADA AMBAYE UMRI UMEENDA. UJUE WENGI WALIMWONA HAFAI HUKO NYUMA...usidanganyike ukiona hivyo ujue hakufaa toka zaman. wanawake wenye kufaa huolewa wakiwa na miaka 20-28 usibishe. wa 30+ basi ujue alishaachika au watu walikuwa wanajigongea wanaondoka. na unaweza kuta ana mtoto au alishatoa sana mimba.

Nimeacha hata kula chakula ambacho sometime huwa ananiletea toka kwake kwa ajili ya lunch maana nisije kuta naanza kumpenda bure hasa kwa kuwa nimemwambia kuwa ni ngumu sana mimi kuoana na yeye hata mengi na umri wake ule ametafuta kabinti mimi ndo nikatafute mzee mwenzangu? no way. au ndo waswahili wanasema "GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO? sitaki nataka mtoto wa miaka kuanzia 24 mpaka 28 hayo mauzee yenu kaeni nayo wanawake wenyewe wa siku hizi mnaanza mapenzi mapema kama yule mwingine anasema alianza akiwa na miaka 16 .

Imagine mtu ana uzoefu wa miaka 16 katika game wakati mimi uzoefu wangu ni miaka 10 tu
Mbali na mapenzi huna interest na kitu kingine?
 
yaani wewe ndo umenifanya nicheke sana. mimi si mzee bwana .... we njoo upime mwenyewe utendaji kazi wangu na halaf sisi wanaume tuna advantage siyo kama nyie .wanawake ukishafika 33 hata kuzaa hushawishiw sana... unaweza kuzaa lakini wanashauri uzae ukiwa 20s.. halaf uje upumzike. sassa huyu anataka azae akiwa 34 .... na hata mashine yake itajirudi lini? hapo tu ametumika sana tu. namfaham vizuri maana nipo naye kazini muda sasa. hakujitunza kipindi kile alitegemea aje aaangukie kwangu??????????????????????? aaaah wapi hanipati. tena akiendelea namkimbia na kazi naacha maana hana nia nzuri kwangu..atakuwa tu mchawi huyu dada. akatafute mwanaume wa miaka 50s huko ambaye amaeshachoka na yeye...mimi bado kijana sana.

At 40 unataka uoe chini ya 30 utakuwa unabaka oa mzee mwenzio huyo wote mmetumika nyie unajiona kijana wakati ushakuwa jizee
 
sijaelewa... mimi kuwa na interest kwake? mimi ni kufanya mapenzi tu. sina interest ya kumuoa maana namfaham... nikienda tu ghetto kwake nakuta na condoms zipo kwenye uchago. anasema akienda kunywa sometime huwa anarudi na mtu wa kugagadua. so anakuwa nazo kabisa standby............. mi mwanamke wa aina hiyo wa nini na umri wote huo analiwa kiasi hicho.........

Mbali na mapenzi huna interest na kitu kingine?
 
sijaelewa... mimi kuwa na interest kwake? mimi ni kufanya mapenzi tu. sina interest ya kumuoa maana namfaham... nikienda tu ghetto kwake nakuta na condoms zipo kwenye uchago. anasema akienda kunywa sometime huwa anarudi na mtu wa kugagadua. so anakuwa nazo kabisa standby............. mi mwanamke wa aina hiyo wa nini na umri wote huo analiwa kiasi hicho.........
Kila siku wewe maada zako ni za kingono ngono tu ndo nikauliza hunaga interest ya mambo mengine yasiyo na vinasaba vya mapenzi?
 
wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....
Ishu sio kuchukia mkuu,na wala hakuna anayetaka kubadili misimamo yako,.ndio maana nimekuambia "usikariri maisha" hata ww kwa umri wako umekula ujana weee lakini uliokula nao huwataki unawataka chipukizi,hebu jiulize umekula wangapi?wangapi umepoteza muda wao(pengine)?uliowapa ahadi hewa jee??Leo wana umri wa 30+ huwataki unawataka vinjuka jiulize kwann??..halafu mm nimeongea tuu kwa mtazamo wangu Nina miaka si chini ya 6 nifike 30,so usidhani povu limenitoka kisa umri,NO..ww oa tuu hata wa miaka 12 hujakatazwa mkuu,narudia tena "KUPANGA NI KUCHAGUA"
 
Sasa Mkuu kama kwa kipindi chote hicho hakupata wa kumuoa afanyeje sasa zaidi ya kuwa na imani ipo siku itatokea mbali na umri kusonga.

Au Mkuu una maoni gani na wenye hiyo age hivyo wajikatie tamaa kabisa ya kutokuolewa ama? Hebu tusaidiane kwa hili.
jamaa anamchafua tu bint wa watu...we miaka32 au 35 si bado msichana kabsa...hasa anamaisha yake kwann husimuoe kama na ww wahitaji mke.......jamaaa mi cjamuelewa anachoongea naona upumbavu tu
 
Mbona hta wewe umetumika sana?40years??labda uwe tajiri ila vinginevyo wewe hufai. Swali. Je kwanini wewe umekaa mda mrefu hivyo hujaoa??wewe co muoaji......
Hajatumika sana ametumia sana anayetumika ni anayeingiziwa.
 
jamaa anamchafua tu bint wa watu...we miaka32 au 35 si bado msichana kabsa...hasa anamaisha yake kwann husimuoe kama na ww wahitaji mke.......jamaaa mi cjamuelewa anachoongea naona upumbavu tu
Umeonaeee kwa sababu ye mwenyewe Age go halafu bado anajifanya anamachaguzi yasiyo hata na mashiko.
 
hii ni mada ya ngono???????????? au huwa huelew maana ya neno hilo?
Kila siku wewe maada zako ni za kingono ngono tu ndo nikauliza hunaga interest ya mambo mengine yasiyo na vinasaba vya mapenzi?
 
Mkuu ukimuoa huyo wallahi kwa umri wenu mnazaa wajukuu.
 
huyu hata sidhani kama ana akili za kuweza kuelewa. ikiwa anashindwa kutofautisha H na U kwenye kiswahili anaweza kweli kuelewa hoja nyingine? Husimuoe hapa unamaanisha nini we kilazer? mmemaliza mitihani? na uta feli tena kama mwaka jana maana wewe ni kuwa huna akili na hutaki hata kujitahidi uweze kupata hata akili za kulazimisha. mwaka huu unafail tena . subiri matokeo yatoke. uta resit mpaka makalio yaote sugu.

jamaa anamchafua tu bint wa watu...we miaka32 au 35 si bado msichana kabsa...hasa anamaisha yake kwann husimuoe kama na ww wahitaji mke.......jamaaa mi cjamuelewa anachoongea naona upumbavu tu
 
wewe emmyta mimi kwa miaka 40 bado nadai sana we angalia hata kwenye vitabu vya dini umri wa wanaume na wanawake kuoana. mi bado sana dada usinizeeshe kabisa.

Umeonaeee kwa sababu ye mwenyewe Age go halafu bado anajifanya anamachaguzi yasiyo hata na mashiko.
 
Back
Top Bottom