Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

mm hua naamin hadi msichana anafikisha hio age basi wapo waliojarbu waliomdanganya kweli sikatai pia waliokua na nia ya kumuoa yy mwenyewe akaichezea au waliokua na nia ya kumuoa kwa kua alikua anakula ujana basi hakuwapa nafasi

kuna vidada vinajeuri mm nna dada yangu undugu wa mbali mbali yy kaachana na bwana ake kisa mshikaji sio kijana(sharobalo) mchizi ni mfanyakaz na alimpenda kweli hata show ndogo ndogo alikua anasimamia kama simu hivi sema huyo dada sasa analalamika akimuita waende kkoo jamaa anakuja na sendo na suruali ya kitambaa

uzuri mm na jamaa tuna mahusiano mazuri hata baada ya wao kuachana na alikua amepanga future nzuri sana na dogo,,sema kwakua hua mna akili za kushikiwa na rafiki yake wameachana yuko anatoka na vijana wenzake wa chuoni actually siez kumforce kua na jamaa bt mm hua nabaki namsikitikia tu
sasa huyu mtu nae asipo olewa akiwa anasemwa atasema jamii inamuonea
Nimeanza kukuelewa sasa Mkuu ila saa nyingine yanakuwa ya kupita hayo na wanakuwaga na bahati hatari unaweza shangaa hata asifike 30 akawa amempata wa kumuoa.
 
Ilishawahi kunikuta hii[emoji23] [emoji23]
Mwanamke yule alinishangaza japo mzigo nilipiga mara mbili na alikua rafiki yake kaka yangu, walikutana kwenye mambo ya ofisini huko ndo kaka akaja nae home.

Alikua mtumishi serikalini na mimi ndo kwanza nilikua mwaka wa mwisho chuoni, kipindi hicho alikua kanizidi kama miaka 6 kiumri.

Baada ya kua nae nikashangaa anataka tuwe wachumba, nilivyomuacha solemba hatokuja kuamini mpaka leo na alinipa ela sana kumbe ulikua mkakati maalum.
 
Umeona sasa! Ndio sababu Mkuu mie kwenye Post yangu ya kwanza kuchangia kwenye huu uzi nilisema sio kila mwanamke ambaye umri umekwenda basi katumika kiasi cha kwamba hana thamani kabisa ya kuwa mke..

Wanawake walio wengi ambao hawana ndoa wengi wao ni wale ambao hawakupata wapenzi walio sahihi na hiyo mara nyingi ndio huwa ni sababu sasa watu wanapowaona eti wanasema hawafai kuolewa kisa umri umekwenda kitu ambacho huwa najiuliza mara tatu tatu pasi kupata majibu.

Inatakiwa wanaume mbadilishane hizi fikra potofu aiseee la sivyo baadhi yenu watakuwa wanaambulia magarasa kila siku.
Tatizo mdada kama huyo mpaka kufikia umri huo unaweza kukuta ni maringo yake ndio yamemfikisha hapo,yawezekana ameshakutana na watu serious wa kuhitaji kuanzisha maisha na yy lkn akajiona bado muda,kuja kushtuka jua linakaribia kuzama ataacha kuwa kin'gan'ganizi?...
 
man..these issues are so subjective
ujue its not about older or younger woman
Kuna watu wameoa older women na wana furahia ndoa zao
Kuna watu wameoa wanawake wadogo kwao na wanajutia
kiukweli cha msingi hapo ni Personality ya Mtu.
Umetoa sababu kuwa ooh...utalazimishwa kuzaa mfululizo...gosh..kwani nyie mlikuwa mnataka watoto wangapi? si mnaelewana? je kama ni mmoja?
Brother..sikatai kuwa ume experience changamoto..lakini nataka uelewe kuwa changamoto hizo zilikuwa katika personal level..hata hazistahili generalization.
Na hata hivyo tangu lini mwanaume ukakimbia changamoto?
Sikupingi mkuu. Najaribu kuweka wazi yale ambayo huwa hayaonekani lkn baadaye yanaonekana watu wakishakuwa ndani ya ndoa. Mimi mwenyewe nafurahia sana ndoa yangu tena sana tu. Lkn ukweli unabaki palepale kumuoa mwanamke mkubwa kuna changamoto nyingi especially akiwa amekuzidi umri above 5 yrs na akawa yupo abave 34. Changamoto zinakuwa kihisia na kimwili. (psychological and physical). Ni ngumu sana kuyaelewa haya hadi uwe ndani yake yakukute. Pia mwanamke akiwa mkubwa kiumri anaweza kuwa na vipaumbele ambavyo kwakweli haviendani na ww kwa wakati huo, hili nalo litakuwa changamoto maishani mwenu ktk kipindi cha miaka 5 hadi 10 ya ndoa. Swala la Gudume, simuungi mkono kwasababu mtu anayemkataa kwa kusema ametumika sana hata yy anashiriki kumtumia na kumpotezea wakati, hilo si jambo jema.
 
ila bora wadada 30+ kuliko ukutane na kaka 35+ huwa awajielewi kabisaaa..
 
Ni ngumu sana kuyaelewa haya hadi uwe ndani yake yakukute. Pia mwanamke akiwa mkubwa kiumri anaweza kuwa na vipaumbele ambavyo kwakweli haviendani na ww kwa wakati huo, hili nalo litakuwa changamoto maishani mwenu ktk kipindi cha miaka 5 hadi 10 ya ndoa
Yeah man...hapa nakusoma...kiukweli mwanamke na mwanaume of the same age...kiukweli ni kuwa mwanamke anakuwa amemzidi mwanamke upeo kwa zaidi ya miaka 5 older...Lakini boss...kama mwanaume ana miaka 21 anaoa mwanamke wa miaka 34..its obvious hapo kutakuwa na utofauti mkubwa sana wa maono.....
 
Huyu dada atakuwa na matatizo ya akili si bure leo kwa mara nyingine ananambia eti ye kaangalia wote anaona mimi ndo tunaweza oana umri wake miaka 33 choka mbaya wewe miaka 34 uje uolewe na mimi kweli una akili? mimi nina over 40 ndiyo lakini siwezI oa mwanamke ambaye amekuwa so used kiasi hicho.

Mwanaume lazima ujiulize huyu dada wakati wenzie wote wanaolewa yeye alikuwa anafanya nini?kama chuo alishamaliza zamani sana na akawa anafanya kazi yeye alitaka ale na aliwe bata leo anaona imeshakuwa jioni ndo aje aniangushie gari mimi.

Vijana nawaasa msije mkajiingiza kwnye matatizo haya kwa kuona mdada ni mrembo na ana pesa eti ndo aje amalizie siku zake kwako muda si mrefu anaingia menopause huyu dada then ndo tuzae mimi na yeye akiwa na miaka 32 nilidhani ananitania ile leo nimemcheck usoni kwa umakini anaonekana yupo serious kabisa.

USIOE MDADA AMBAYE UMRI UMEENDA. UJUE WENGI WALIMWONA HAFAI HUKO NYUMA...usidanganyike ukiona hivyo ujue hakufaa toka zaman. wanawake wenye kufaa huolewa wakiwa na miaka 20-28 usibishe. wa 30+ basi ujue alishaachika au watu walikuwa wanajigongea wanaondoka. na unaweza kuta ana mtoto au alishatoa sana mimba.

Nimeacha hata kula chakula ambacho sometime huwa ananiletea toka kwake kwa ajili ya lunch maana nisije kuta naanza kumpenda bure hasa kwa kuwa nimemwambia kuwa ni ngumu sana mimi kuoana na yeye hata mengi na umri wake ule ametafuta kabinti mimi ndo nikatafute mzee mwenzangu? no way. au ndo waswahili wanasema "GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO? sitaki nataka mtoto wa miaka kuanzia 24 mpaka 28 hayo mauzee yenu kaeni nayo wanawake wenyewe wa siku hizi mnaanza mapenzi mapema kama yule mwingine anasema alianza akiwa na miaka 16 .

Imagine mtu ana uzoefu wa miaka 16 katika game wakati mimi uzoefu wangu ni miaka 10 tu
wengi wao ni wale wakula ujana kwanza, wakiamka kumekucha umri umekimbia
 
Tatizo mdada kama huyo mpaka kufikia umri huo unaweza kukuta ni maringo yake ndio yamemfikisha hapo,yawezekana ameshakutana na watu serious wa kuhitaji kuanzisha maisha na yy lkn akajiona bado muda,kuja kushtuka jua linakaribia kuzama ataacha kuwa kin'gan'ganizi?...

Ikishafikia huko kaka hakuna jinsi hapo inabidi tu mkubaliane tu sababu hamna kingine zaidi ya kuwa ving'ang'anizi.
 
Umeona sasa! Ndio sababu Mkuu mie kwenye Post yangu ya kwanza kuchangia kwenye huu uzi nilisema sio kila mwanamke ambaye umri umekwenda basi katumika kiasi cha kwamba hana thamani kabisa ya kuwa mke..

Wanawake walio wengi ambao hawana ndoa wengi wao ni wale ambao hawakupata wapenzi walio sahihi na hiyo mara nyingi ndio huwa ni sababu sasa watu wanapowaona eti wanasema hawafai kuolewa kisa umri umekwenda kitu ambacho huwa najiuliza mara tatu tatu pasi kupata majibu.

Inatakiwa wanaume mbadilishane hizi fikra potofu aiseee la sivyo baadhi yenu watakuwa wanaambulia magarasa kila siku.
mi sijawahi kuwa hvo watu kama wanakua wamelelewa maisha ya kudekezwa hawajui maisha na challenges zake ukute hadi kuoa walikua wanabembelezwa lini wataoa......
 
Ndio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.

Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
Anadhani kila mtu alianza kukulana akiwa na miaka 12 kama yeye
 
mi sijawahi kuwa hvo watu kama wanakua wamelelewa maisha ya kudekezwa hawajui maisha na challenges zake ukute hadi kuoa walikua wanabembelezwa lini wataoa......
Hapo umesema kweli tupu mkuu na hii huwa ni sababu pia.
 
Jamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
 
Back
Top Bottom