mm hua naamin hadi msichana anafikisha hio age basi wapo waliojarbu waliomdanganya kweli sikatai pia waliokua na nia ya kumuoa yy mwenyewe akaichezea au waliokua na nia ya kumuoa kwa kua alikua anakula ujana basi hakuwapa nafasi
kuna vidada vinajeuri mm nna dada yangu undugu wa mbali mbali yy kaachana na bwana ake kisa mshikaji sio kijana(sharobalo) mchizi ni mfanyakaz na alimpenda kweli hata show ndogo ndogo alikua anasimamia kama simu hivi sema huyo dada sasa analalamika akimuita waende kkoo jamaa anakuja na sendo na suruali ya kitambaa
uzuri mm na jamaa tuna mahusiano mazuri hata baada ya wao kuachana na alikua amepanga future nzuri sana na dogo,,sema kwakua hua mna akili za kushikiwa na rafiki yake wameachana yuko anatoka na vijana wenzake wa chuoni actually siez kumforce kua na jamaa bt mm hua nabaki namsikitikia tu
sasa huyu mtu nae asipo olewa akiwa anasemwa atasema jamii inamuonea