Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

hahaaa!! nakusalimu dada
Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.

Ukiwaambia we single mother au una zaidi ya miaka 35 huna ndoa basi kwao ndio burdaani na ukicheza cheza wanakuweka kwenye kundi la wapweke sababu ndio maneno yao eti wadada wa jf tumejawa na upweke. Khaaaa
 
Ukimchukua ndipo utatimiza unabii wa Wahenga " GANDA LA MUWA LA JANA 'GUDUME'KAONA KIVUNO"
 
Wewe ujaona siku hizi kila mdada mjini yupo busy na diet na mazoezi...

Yaani mimi huwa nacheka mdada unamjua huyu umri ni mkubwa ila anakuambia nina 26 unabaki unacheka yote haya yanatokana na hawa wanaowanyanyapaa!!

Kwanza mdada mkubwa ndiyo mzuri anajua nini maana ya maisha.....atakaa kwenye ndoa vizuri sababu kachelewa kuipata....
Kuoa mtu mzima ni ukosefu wa Akili.
 
Jamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
Umeandika kwa uchungu sana ila ndio hivyo maisha lzm yaendelee
 
Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.

Ukiwaambia we single mother au una zaidi ya miaka 35 huna ndoa basi kwao ndio burdaani na ukicheza cheza wanakuweka kwenye kundi la wapweke sababu ndio maneno yao eti wadada wa jf tumejawa na upweke. Khaaaa
hahaha ntakuja kukupepea...huu usingle mama + 35yrs bila mume Wala mchumba unatufanya tubuni njia Mpya yakujipa faraja......
 
Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.

Ukiwaambia we single mother au una zaidi ya miaka 35 huna ndoa basi kwao ndio burdaani na ukicheza cheza wanakuweka kwenye kundi la wapweke sababu ndio maneno yao eti wadada wa jf tumejawa na upweke. Khaaaa

Aiseeeee!,Imenibidi nicheke tuu kwahiyo kuna wanaoleta thread humu ili kuwajua single mama na walio over 30?
 
Aiseeeee!,Imenibidi nicheke tuu kwahiyo kuna wanaoleta thread humu ili kuwajua single mama na walio over 30?

Cheka tu swahiba. Ndio zao hizo na shida iliyopo sisi wanawake tusichangie tukawa upande wa pili basi lazima tuambiwe ndio wahusika wakuu kwamba jiwe limetupata kumbe la.

Kuna visa saa nyingine yaani acha kabisa.
 
Diamond yupo na Zari.
Umri unaweza usiwe kigezo sana kama "mke ana akili"...papuchi ni ile ile hata kama imetumika sana
 
Sasa Mkuu kama kwa kipindi chote hicho hakupata wa kumuoa afanyeje sasa zaidi ya kuwa na imani ipo siku itatokea mbali na umri kusonga.

Au Mkuu una maoni gani na wenye hiyo age hivyo wajikatie tamaa kabisa ya kutokuolewa ama? Hebu tusaidiane kwa hili.
Tatzo alikuwa used sana
 
Back
Top Bottom