Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.hahaaa!! nakusalimu dada
Ni kweli kabisaHeheheheh...wanawake wana tabu sn dunia ya leo
Ni kweli kabisa
Kuoa mtu mzima ni ukosefu wa Akili.Wewe ujaona siku hizi kila mdada mjini yupo busy na diet na mazoezi...
Yaani mimi huwa nacheka mdada unamjua huyu umri ni mkubwa ila anakuambia nina 26 unabaki unacheka yote haya yanatokana na hawa wanaowanyanyapaa!!
Kwanza mdada mkubwa ndiyo mzuri anajua nini maana ya maisha.....atakaa kwenye ndoa vizuri sababu kachelewa kuipata....
Ni kweli kiongozi bila hvyo tutakuwa tunatukanwa na kudhalilishwa dailyMuwe makini
Umeandika kwa uchungu sana ila ndio hivyo maisha lzm yaendeleeJamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
hahaha ntakuja kukupepea...huu usingle mama + 35yrs bila mume Wala mchumba unatufanya tubuni njia Mpya yakujipa faraja......Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.
Ukiwaambia we single mother au una zaidi ya miaka 35 huna ndoa basi kwao ndio burdaani na ukicheza cheza wanakuweka kwenye kundi la wapweke sababu ndio maneno yao eti wadada wa jf tumejawa na upweke. Khaaaa
Mdogo wangu unazidi kunifanya nipaliwe ujue.hahaha ntakuja kukupepea...huu usingle mama + 35yrs bila mume Wala mchumba unatufanya tubuni njia Mpya yakujipa faraja......
Nimezipata mdogo wangu sasa nikizimia huku wewe uko masafa ya mbali huko nani atanipepea. Uwe unapunguza vichekesho bwana japokuwa wanaume wa humu ndio raha yao hiyo.
Ukiwaambia we single mother au una zaidi ya miaka 35 huna ndoa basi kwao ndio burdaani na ukicheza cheza wanakuweka kwenye kundi la wapweke sababu ndio maneno yao eti wadada wa jf tumejawa na upweke. Khaaaa
habari wanazopenda kuzisikia wavulana wa jf hahaha.Mdogo wangu unazidi kunifanya nipaliwe ujue.
Koh koh koh koh koh koh. Hahahaaaa.
Aiseeeee!,Imenibidi nicheke tuu kwahiyo kuna wanaoleta thread humu ili kuwajua single mama na walio over 30?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]habari wanazopenda kuzisikia wavulana wa jf hahaha.
Jiwe gizan huwa halimuachi mtu salamaWe nawe saa zingne unaongeaga ujinga
Tatzo alikuwa used sanaSasa Mkuu kama kwa kipindi chote hicho hakupata wa kumuoa afanyeje sasa zaidi ya kuwa na imani ipo siku itatokea mbali na umri kusonga.
Au Mkuu una maoni gani na wenye hiyo age hivyo wajikatie tamaa kabisa ya kutokuolewa ama? Hebu tusaidiane kwa hili.