agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
kafanye uchunguzi.Wewe naona ndo hujielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kafanye uchunguzi.Wewe naona ndo hujielewi
una umri gani binti?Jamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
Umri wangu unaujua niache niringe sasa hiviJidanganye umri unaenda huo.
AFU ANAKUJA kumsimanga dada wa watu......hyo atakua ana sababu zake huez kaa kuandika UPUPU wa aina hii
simuelewi sababu hata post yake ameandika kichuki ni kama anamsimanga vile...eti miaka yote alikua wapi...wakat kila siku unalala nae.....mi kanikera dadaangu aliolewa na miaka35 na alikua mchamungu mzuri sana
Haujielewi kabisa, wee mwenyewe umeshazeeka na hao wa 24 yrs watakukimbia tuu
Muwage na aibu kidogo sometimes munapokuwa munawananga wanawake.
Na muanzage kuangalia kuanzia majumbani kwenu. Mashangazi zenu wanazeekea kwenu na mitoto kibao baba tofauti.
Achageni wanawake single wapumue.
Ww gudume kumbe ni mkubwa hivo,nilijuaga ww ni mtoto sana.kumbe mbaba umeniacha more than 10 yrs
Over 40?????? Kumbe na wewe ni over used. Wewe huna tofauti na hao unaowasema wamemla huyo mdada, na wewe huna jipya gudume.
Nawaza uko over 40
1.hujaoa ujana ulikula na nani?
2, ukute ndo hivyo tena kibamia Maneno tuu.
Wewe ni wa kuombea kama magu anavyodai
Mijitu mengine haaaa haaa haaaa ati msioe 30+ wadada . Jomba wewe sio mwanaume.
Watu wameoa wanawake 30+ na wana watoto zaidi ya watano ndani ya muda wao wa ndoa na wanaendelea kutunza familia vyema tu bila ya kokoro. Ulionao ww ni ujinga dhahir na wala hautaki touch umwehu.... Ila samahani maana ni maoni na ni hisia zako.
Haaa haaaaa...mkuu umefikishwa kwenye huu uziUnaoa mwanamke miaka 30+ !!? Kwann ujitwike zigo la kulea bibi kizee?
Mugabe kamzidi Grace Mugabe (mkewe) miaka 42. Tafsiri yake ni kwamba kama Grace alikuwa na miaka 20 wakati anaolewa basi Mugabe alikuwa na umri wa miaka (42+20).
Wewe bado hata hustahili kuoa. Unawahi wapi. Endelea kusoma kama unasoma na kama umeajiriwa piga pqpuchi mpya kila weekend