Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Jamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
una umri gani binti?
 
Over 40?????? Kumbe na wewe ni over used. Wewe huna tofauti na hao unaowasema wamemla huyo mdada, na wewe huna jipya gudume.

Nawaza uko over 40

1.hujaoa ujana ulikula na nani?
2, ukute ndo hivyo tena kibamia Maneno tuu.

Wewe ni wa kuombea kama magu anavyodai
 
Aisee..




Naona wakati wa hizi nyuzi umerudi tena.. KE wa Jf mna kazi...poleni.
 
Mijitu mengine haaaa haaa haaaa ati msioe 30+ wadada . Jomba wewe sio mwanaume.
Watu wameoa wanawake 30+ na wana watoto zaidi ya watano ndani ya muda wao wa ndoa na wanaendelea kutunza familia vyema tu bila ya kokoro. Ulionao ww ni ujinga dhahir na wala hautaki touch umwehu.... Ila samahani maana ni maoni na ni hisia zako.
 
Kama anajua kupanua miguu muoe tu umri ni kigezo cha wazee wa zamani, tena huyo mzoefu hatakusumbua
 
Kama hii ni sumu basi niya mamba. Ewe dada usikate tamaa, kwani tunashuhudia ndoa ngapi za 30+. Cha muhimu punguzeni Maringo, vibomu na kuchagua sana
 
Nani kakushika tu makalio kwako kuja kusoma? Kilaza wewe. Una haki ya kutokusoma na kuto comment unazeekea nyumban nini na wewe?
AFU ANAKUJA kumsimanga dada wa watu......hyo atakua ana sababu zake huez kaa kuandika UPUPU wa aina hii
 
Mcha Mungu ila alikuwa havutii kuwa mke mwema. Mbona wapo sana tu. 35? Yeaaah wapo wanakutana na wa aina yao. Mbona kawaida lakini binafsi sioi above 28 sioi hata kama kabak peke yake dunia nzima.dada yako alichagua chagua sasa amefikia hatua akachaguliwa yeye.... Ujanani alikuwa wapi?

simuelewi sababu hata post yake ameandika kichuki ni kama anamsimanga vile...eti miaka yote alikua wapi...wakat kila siku unalala nae.....mi kanikera dadaangu aliolewa na miaka35 na alikua mchamungu mzuri sana
 
Kwa sasa nakula wenye miaka 20-28. Hawawez nikimbia hata ningekuwa 60 pesa ninayo na ni handsome nicheck hapo kwenye avatar yangu... Bonge la bazaz... Mi sioi vikongwe...mengi mwenyewe kaoa bint mwenye joto lake...mimi ndo nikaoe mtu yupo jioni.

Haujielewi kabisa, wee mwenyewe umeshazeeka na hao wa 24 yrs watakukimbia tuu
 
Ukoo wangu wote wanaolewa mapema tu. 22-26 wameolewa. Nyie kaeni mpaka mnazalia home kwenu halaf mje kututaka sisi kuwaoa.tumeshawashtukia. Sioi kikongwe

Muwage na aibu kidogo sometimes munapokuwa munawananga wanawake.

Na muanzage kuangalia kuanzia majumbani kwenu. Mashangazi zenu wanazeekea kwenu na mitoto kibao baba tofauti.

Achageni wanawake single wapumue.
 
Mi mkubwa kwa umri tu sema akili yangu ,mambo yangu bado ya kitoto... Ndo maana sijataka kumwoa mtu mziiiiiiima. Umri wangu natakiwa nioe bint wa miaka 20-28. Basi. Sasa huyu wa 33 hapana.... Mi nina umri mkubwa sema tu maisha mazuri naonekana kama nina 20s

Ww gudume kumbe ni mkubwa hivo,nilijuaga ww ni mtoto sana.kumbe mbaba umeniacha more than 10 yrs
 
luckyline mbona jana tu nmetoka kusema kuwa mimi ni kibamia? Wala siyo siri. Na ndo maana nataka mtoto mdogo. Mambo ya kuambiwa niingize mguu mi siyawezi... Na ukome kunitangaza eti mimi mzee... Mi bado nadai kabisa tena miaka 100 mbele nipo fit karikit

Over 40?????? Kumbe na wewe ni over used. Wewe huna tofauti na hao unaowasema wamemla huyo mdada, na wewe huna jipya gudume.

Nawaza uko over 40

1.hujaoa ujana ulikula na nani?
2, ukute ndo hivyo tena kibamia Maneno tuu.

Wewe ni wa kuombea kama magu anavyodai
 
Dada usi paniki hivyo.... Kila shetan na mbuyu wake na wewe utapata mume. Mi sijakuzibia riziki unataka mpaka kunimwagia maji yenye ukoko? Hatugomban.... Wewe umefikisha mingap sasa? Mwaka jana ulisema upo 30s .... Ila acheni kuviharibi vivulana vidogo... Sawa eeehh. Haya yaishe. Ngoja niwaambie wadogo zangu wakuoe....

Mijitu mengine haaaa haaa haaaa ati msioe 30+ wadada . Jomba wewe sio mwanaume.
Watu wameoa wanawake 30+ na wana watoto zaidi ya watano ndani ya muda wao wa ndoa na wanaendelea kutunza familia vyema tu bila ya kokoro. Ulionao ww ni ujinga dhahir na wala hautaki touch umwehu.... Ila samahani maana ni maoni na ni hisia zako.
 
ngoja tumuulize aliyekuzaa aliolewa na umri gani,maana isije ikawa nae alikuwa na 40 kama wewe ndo maana kazaa Toto taahira wewe
 
Unaoa mwanamke miaka 30+ !!? Kwann ujitwike zigo la kulea bibi kizee?

Mugabe kamzidi Grace Mugabe (mkewe) miaka 42. Tafsiri yake ni kwamba kama Grace alikuwa na miaka 20 wakati anaolewa basi Mugabe alikuwa na umri wa miaka (42+20).

Wewe bado hata hustahili kuoa. Unawahi wapi. Endelea kusoma kama unasoma na kama umeajiriwa piga pqpuchi mpya kila weekend
 
Unaoa mwanamke miaka 30+ !!? Kwann ujitwike zigo la kulea bibi kizee?

Mugabe kamzidi Grace Mugabe (mkewe) miaka 42. Tafsiri yake ni kwamba kama Grace alikuwa na miaka 20 wakati anaolewa basi Mugabe alikuwa na umri wa miaka (42+20).

Wewe bado hata hustahili kuoa. Unawahi wapi. Endelea kusoma kama unasoma na kama umeajiriwa piga pqpuchi mpya kila weekend
Haaa haaaaa...mkuu umefikishwa kwenye huu uzi
 
Ila huu ni umaskini ndo maana unawaza hivo....
Diamond pamoja na pesa zake alioa kikongwe chenye watoto watatu,
Dogo janja kaacha shule akiwa form two kaoa kikongwe cha bongo movie.
Rais wa Ufaransa ana miaka 42 ila mke wake 63.
Ukipata pesa utaacha kuwaza huo ujinga
 
Back
Top Bottom