Bila huruma ya Algeria Taifa Stars isingefuzu, tuipongeze Algeria sio Taifa Stars

Sema usikike au kaa kimya usidharaulike, mambo mengine ukizungumza hata mtoto mdogo anajua huyu ka mkubwa amezidiwa na hana point ya kujitetea kwa hiyo kinachozungumzwa akaishia kukudharau kimya kimya. Bado hujachelewa futa aibu ndogondogo kama hizi
 
Hakuna lolote ENDELEENI kuleta SIASA kwenye Mpira Kwenye Michezo ya Fainal TAIFA STARS itatolewa alfajiri ya saa 10
 
Sema usikike au kaa kimya usidharaulike, mambo mengine ukizungumza hata mtoto mdogo anajua huyu ka mkubwa amezidiwa na hana point ya kujitetea kwa hiyo kinachozungumzwa akaishia kukudharau kimya kimya. Bado hujachelewa futa aibu ndogondogo kama hizi
Hilo nililosema linajulikana hata na watoto wadogo
 
Kukubali kubebwa nao ni ushujaa,wengine hata kubebeka hawawezi wanatafuna mbeleko kama panya.
 
tukubali tu kwamba waarabu walishindwa kutufunga. walishindwa, though walitamani kutufunga na walipambana sana. na kwa kutokutufunga jana kocha wao kakalia kuti kavu.
 
Ukikaa kimya hakuna mtu ata kuhoji kuliko kuongea pumba
 
Algeria wangekuwa wanataka "matokeo" , tungekufa nyingi tu,ndio ukweli.
 
Hakuna lolote ENDELEENI kuleta SIASA kwenye Mpira Kwenye Michezo ya Fainal TAIFA STARS itatolewa alfajiri ya saa 10
Mkuu, kwa kawaida siasa ipo kila mahali ingawaje inakwenda kwa mipaka yake kuzingatia kutovunja Sheria.

mchezo wa soka huwa unaamuliwa kwa matokeo ya aina tatu.
1. Timu kushinda.
2. Timu zote kutoa sare.
3. Timu kufungwa.
lolote linaweza kutoa kwa Taifa stars anaye mkabili baadaye. Tutegemee moja wapo ya matokeo hayo.
 
Huu ni ukweli mchungu
 
wale waarabu wametusaidia sana, sasa sijajua kama ndiyo mambo ya dipi wedi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…