Yaani ule msako wa goli ulivokuwa , bado Kuna mjinga aathubutu kusema walitubeba! Aisee hebu tuache utani! Taifa Stars walikuwa wamejipanga kulinda na kushtukiza... Lakini Ile haikuwa kulinda Bali kuokoa! Bila kupepesa macho Utopolo Wana beki nzuri.. Mwamnyeto na Baka, Kiungo walivhafua na kuchafuka, .. Angalau naweza kumwelewa atakayesema .. tulibahatisha ... Kwakumwagq jashonna damu!
Acheni utani aisee...Mimi hadi nilibinya pumbu baada ya jamaa kufanya sub za kikatili hasa dakika ya 68 alipoingia MAHREZ!
Acheni utani aisee...Mimi hadi nilibinya pumbu baada ya jamaa kufanya sub za kikatili hasa dakika ya 68 alipoingia MAHREZ!