Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Mkuu
Huu uzi unakuhusu aiseh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu
Huu uzi unakuhusu aiseh!
1. Ukosefu wa ajira
2. Poor time management
3. Kutafuta attention
4. Upweke
5. Sonona
6. Kujawa na hasira au kisirani
Halafu ndo zinakuja
1. Land alienation
2. Poor infrastructure
3. Lack of good management
4. Exploitation
Etc
Kuna mmoja yuko kule kwenye jukwaa la michezo, ana hali mbaya kweli kweli. Maana amepewa mpaka zawadi ya mchongo, ili kumsaidia tu kuimarisha afya yake ya akili, lakini wapi!!
3,4 na 5 ndio zenyewe1. Ukosefu wa ajira
2. Poor time management
3. Kutafuta attention
4. Upweke
5. Sonona
6. Kujawa na hasira au kisirani
Halafu ndo zinakuja
1. Land alienation
2. Poor infrastructure
3. Lack of good management
4. Exploitation
Etc
Siku akitoka jf mtakosa raha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha..... Yule ana mental case. Eti yeye anawatoa watu mapepo na yake hajayatoa mpaka leo anaishi nayo.... Nikashangaa sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini mnasema sana mdogo wangu😅😅😅 hivi mtu unawezaje kuanzisha threads 4 au 5 per day? Full hasira au kubwata muda mwingine
Hajanitaja Kwa hiyo sio Mimi angenitana ingekuwa inshu ingine yeye kaongea kuwa yeye nikichaa na anauhitaji wa kusaidia kimawazo ili asije akafaa mapema Kwa stressAcheni kumsema mdogo wangu
Unique Flower 😆
Tatizo watu sio wakongwe humu hawaelewi, watu wameamua kutoa vinyongo vyao.Huu anatafutwa GENTAMYCINE
Yaani ungekuwa na akili ungetamka jina ila kwasababu ya kichaa chako basi umemsahau nani kakuambia tofauti na mshana nani anaweza hayo mamboo ???Ha ha ha..... Yule ana mental case. Eti yeye anawatoa watu mapepo na yake hajayatoa mpaka leo anaishi nayo.... Nikashangaa sana.🤣🤣🤣🤣
Leo hujameza dawa? Meza dawa please hali isije ikabaki hivyo hivyo.Yaani ungekuwa na akili ungetamka jina ila kwasababu ya kichaa chako basi umemsahau nani kakuambia tofauti na mshana nani anaweza hayo mamboo ???
Tatizo hizi simu mmepewa wakati wa xmass kama zawadi na mkawekewa bando ambalo linaishia mwezi wa kwanza mwishoni .
Unajua Kwa akili Yako ya kujiona utaishia kichaa kiukweli ukakosa yanayokuhusu mwenzako humu kafungwa mdomo saivi ni nyuzi za nosamahe haya shauri yako utaenda kukutana na aliyeyumba dishi kweli , mwenye mapepo yake na pia ambaye hana utani akishika jina tu Hili la hapa anajua majina Yako halisi anaanza kuonyesha funga mdomo sio kila mtu mtu
Ana bahati sana nilikuwa nashuka naye mzima mzimaHajanitaja Kwa hiyo sio Mimi angenitana ingekuwa inshu ingine yeye kaongea kuwa yeye nikichaa na anauhitaji wa kusaidia kimawazo ili asije akafaa mapema Kwa stress
Naona unataja unaoona wanafaa...😂
Kipofu hawezi mwongoza kipofu mwenzie.Ana bahati sana nilikuwa nashuka naye mzima mzima