Rais mpya wa Kenya amesema nchi yake inakimbiliwa na wawekezji kwasababu kuna demokrasia na hivyo mustakabali wake unatabirika.
Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.
Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?
Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.
Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.
Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?
Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.