Bila Katiba Mpya hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania, Kenya waula

Bila Katiba Mpya hakuna mwekezaji atakuja kuwekeza Tanzania, Kenya waula

Uwekezaji kwenye hii nchi ni mgumu sana, hata yale mabilioni ya IFAD kwaajili ya miradi ya ufugaji wa samaki kupitia vizimba yako kwenye hati hati ya KULIWA na mchwa waliomzunguka Mama.
 
Amka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu


Ni kweli bila demokrasia kwa hapa EA hatutamfikia kenya. UN yote ipo Kenya
 
Amka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Chawa katika ubora wake rubbish
 
Amka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Ndioooooo
 
Kiroho Tanzania ilipaswa kuwa marekani ya Afrika ila sera za kipuuzi za kijamaa zimeidumaza. Hakuna mwekezaji anayeweza kuwa jasiri kuweka mtaji kwenye nchi isiyotabirika. Imagine ile administration ya JIWE!!
 
Rais mpya wa Kenya amesema nchi yake inakimbiliwa na waekezji kwasababu kuna demokrasia na hivyo mustakabali wake unatabilika.

Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.

View attachment 2363937

Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?

Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.
Uwekezaji na demokrasia havina uhusiano wowote, hapa unatufunga kamba.

Uwekezaji unahitaji mazingira mazuri ya kufanya biashara.
Mazingira mazuri ni sera nzuri za kibiashara, sera Kodi, Sera za fedha, uhakika wa soko la ndani na nje.

Qatar, UAE, Oman, Saudia, hata Rwanda hamna demokrasia kama yetu.
Ila wana mazingira mazuri ya uwekezaji.

Rwanda in a day (wao wanajinasibu 3hrs) unapata all the necessary docs za kampuni kufunguliwa, kupata leseni na tax docx ili ufungue akaunti ya bank.

Wazungu wasiwadanye sana mkadhani kila kitu ni demokrasia.

Na kuna mazingira ya vita (hostile environment) pia utawakuta hao hao wawekezaji.

Congo DR, mazingira ya vita, bado utawakuta Barrick na kampuni kibao za madini.

Wanajua kwenye vita na hali tete, wanavuna kila kitu bila kulipa Kodi stahiki na bila kuwa na ufuatiliaji.

Mnapoandika kwenye wall, vema kuwa na broad unaweka hoja yako kwenye context ipi??
 
Rais mpya wa Kenya amesema nchi yake inakimbiliwa na waekezji kwasababu kuna demokrasia na hivyo mustakabali wake unatabilika.

Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.

View attachment 2363937

Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?

Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.
Ni Kweli huku hapatabiriki Kwa sasa,

Wasubiri moto wa KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi ukolee, vikipatikana ndo waje kuwekeza.

Muda huo CCM kitakuwa chama Cha upinzani kama TADEA na NLD.😃😃
 
Back
Top Bottom