😅😅😅ccm uwez9 wao umeishia kwenye tozoMaendeleo hayana chama, CCM watatufikisha nchi ya akidi tuwe wazalendo ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅ccm uwez9 wao umeishia kwenye tozoMaendeleo hayana chama, CCM watatufikisha nchi ya akidi tuwe wazalendo ndugu zangu
Kila wakiamka wanawaza tozo tu. Hivi sasa wanatamani tozo za data. Duuh!😅😅😅ccm uwez9 wao umeishia kwenye tozo
Wamesahau kuwa wanakata kwenye vochaKila wakiamka wanawaza tozo tu. Hivi sasa wanatamani tozo za data. Duuh!
Hiyo ni laana kubwa sanaHii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
😅😅😅mwengeHii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
Amka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Tawala ikiendelea kutawala tutaweza endelea mkuuHii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
Haaaaaa haaaaaHii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
Nani kakwambia UN imepelekea na demokrasia? Au hata historia hufahamuNi kweli bila demokrasia kwa hapa EA hatutamfikia kenya. UN yote ipo Kenya
Ndicho tunachohitaji badala ya Tisheti Khanga na Kofia za CCM.misingi imara
Chawa katika ubora wake rubbishAmka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Tuache kudumisha mila?Hii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
Kweli wangekuja Kama mvua wangehangaika na tozo?Umeongea kiuchawa zaid
NdiooooooAmka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
NCHI hii ina LAANA sio Bora inawezekana ilipata Uhuru wake kwa UshirikinaHii nchi haitaweza kuendelea milele kama bado tutaendelea kukimbiza mwenge( UCHAWI) hii ndiyo laana ya nchi hii inapoanzia..
Uwekezaji na demokrasia havina uhusiano wowote, hapa unatufunga kamba.Rais mpya wa Kenya amesema nchi yake inakimbiliwa na waekezji kwasababu kuna demokrasia na hivyo mustakabali wake unatabilika.
Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.
View attachment 2363937
Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?
Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.
Ni Kweli huku hapatabiriki Kwa sasa,Rais mpya wa Kenya amesema nchi yake inakimbiliwa na waekezji kwasababu kuna demokrasia na hivyo mustakabali wake unatabilika.
Uchaguzi uliyopita umeithubitishia dunia kwamba Kenya Ina misingi imara ya kidemokrasia na hivyo haitayumbishwa na yeyote.
View attachment 2363937
Hapa Tanzania kwa katiba ya sasa ambayo imeweka nguvu na mamlaka makubwa kwa mtu (Rais), mwekezaji gani atakuja kuwekeza?
Tutaendelea kutegemea tozo kama chanzo cha mapato mpaka hapo tutakapopata katiba bora.
Mwenge ni njia ya kupumbaza Akili watanzania Ile njia ya kutembea na Moto ni uchawi hata kwenye biblia kitabu cha mambo ya walawi kimekatazaTuache kudumisha mila?