Huyu ana tabia ya kusema uwongo hafai!The only Magufuli mwingine ni Kassim Majaliwa. Ikmpendeza Mungu aje ashike hii nchi atuvushe tena kwenye matope haya tuliojizamisha wenyew
Hivi nyie watanzania mna akili kweli?!Sentensi ya mwisho inakuhusu! Sijui kama umesoma mpaka mwisho
Una ushahidi kazi kupayuka tu,muliropoka kwa Sabaya kawabwaga Mahakamani mmebaki na aibu.JPM amesahihisha au ameleta uchafu wa aina nyingine? Mbaguzi huyu, muuaji, msababisha hasara, …. Hivi watanzania akili zenu zipo wapi?
Wewe una akili umezitoa wapi,tuoneshe ulicholifanyia taifa hili kumzidi JPM.Hivi nyie watanzania mna akili kweli?!
Achane na huyu shabiki maandazi,hajielewi!Nimekuuliza swali, hivi sisi watanzania ni wa kuwa na mgao wa umeme kweli karine hii?
Hii unayoisema ndiyo failure ya JPM kipindi cha uongozi wake. Halishidwa kabisa kuwekeza kwenye mifumo ambayo ingekuwa endelevu. Pia tofautisheni nidhamu ya kufanya kazi na uoga wa kufukuzwa kazi. Kazi upimwa kwa tija na siyo kuwahi na kukaa ofisini. Uanzishwaji na usimamizi wa mirada alifanya ndiyo, lakini uongo ulikuwa mwingi na takwimu za miradi mingi zilipikwa. Pesa iliyokopwa na kutumika vilevile ilikuwa kubwa japo kwa uongo wa serikali yake tuliaminishwa ni mapato ya ndani. Aina ya njia alizozitumia kukusanya mapato pia ziliaribu uchumi na serikali zitakazofuata zitaendelea kuuguza vidonda.Hata kama staandika matarajio yako, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,
Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi
Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza
Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao
Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu,
JPM alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia
Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,
Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tulivyokopa matrilioni na bado miradi ya kimkakati inasuasua
Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha
Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM wa pili ili akabiliane na wezi, waongo, wazembe, chawa n.k
wa kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!
Kuandika kwenyewe tu kunakushinda, utakuwa na uchungu wapi wa kuwakomboa wajinga wengi waliojaa nchi hii?Hii unayoisema ndiyo failure ya JPM kipindi cha uongozi wake. Halishidwa kabisa kuwekeza kwenye mifumo ambayo ingekuwa endelevu. Pia tofautisheni nidhamu ya kufanya kazi na uoga wa kufukuzwa kazi. Kazi upimwa kwa tija na siyo kuwahi na kukaa ofisini. Uanzishwaji na usimamizi wa mirada alifanya ndiyo, lakini uongo ulikuwa mwingi na takwimu za miradi mingi zilipikwa. Pesa iliyokopwa na kutumika vilevile ilikuwa kubwa japo kwa uongo wa serikali yake tuliaminishwa ni mapato ya ndani. Aina ya njia alizozitumia kukusanya mapato pia ziliaribu uchumi na serikali zitakazofuata zitaendelea kuuguza vidonda.
Tatizo kubwa la nchi yetu ni uongozi hasa wa chama cha mapinduzi ambao wanajali kwanza maslahi binafsi. Hawana uchungu na rasilimali za nchi na wananchi wake. JPM aligeuza utumishi wa umma kama tawi la chama, na sasa inawalazimu vijana wajikombe kwa matumaini ya kupata ajira au teuzi.
Kama kuna kosa jingine kubwa alilolifanya ni kuuwa na watu kupotea, kugandamiza haki za binadamu na demokrasia. Yeye na genge lake dhambi hii itaendelea kuwatafuna milele.
Mimi pia niweke wazi Nina element za ki JPM japo Kuna mambo sikukubaliana nae.....Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM.
Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi.
Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza.
Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao.
Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu.
JPM alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu.
Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,
Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??
Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?
Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!
Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!
Nchi iliyojaa wajinga namna hii, yeyote mwenye akili timamu atakayeongoza tena, atafanya kama unavyomlaumu JPMHii unayoisema ndiyo failure ya JPM kipindi cha uongozi wake. Halishidwa kabisa kuwekeza kwenye mifumo ambayo ingekuwa endelevu. Pia tofautisheni nidhamu ya kufanya kazi na uoga wa kufukuzwa kazi. Kazi upimwa kwa tija na siyo kuwahi na kukaa ofisini. Uanzishwaji na usimamizi wa mirada alifanya ndiyo, lakini uongo ulikuwa mwingi na takwimu za miradi mingi zilipikwa. Pesa iliyokopwa na kutumika vilevile ilikuwa kubwa japo kwa uongo wa serikali yake tuliaminishwa ni mapato ya ndani. Aina ya njia alizozitumia kukusanya mapato pia ziliaribu uchumi na serikali zitakazofuata zitaendelea kuuguza vidonda.
Tatizo kubwa la nchi yetu ni uongozi hasa wa chama cha mapinduzi ambao wanajali kwanza maslahi binafsi. Hawana uchungu na rasilimali za nchi na wananchi wake. JPM aligeuza utumishi wa umma kama tawi la chama, na sasa inawalazimu vijana wajikombe kwa matumaini ya kupata ajira au teuzi.
Kama kuna kosa jingine kubwa alilolifanya ni kuuwa na watu kupotea, kugandamiza haki za binadamu na demokrasia. Yeye na genge lake dhambi hii itaendelea kuwatafuna milele.
NEver, never, never again. Km unataka mtu mshamba katili mfuate aliko, km yule hawezi tokea hapa kwetuHata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,
Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi
Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza
Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao
Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!
JPM alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu
Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,
Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??
Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu??
Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!
Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!
Ulichoandika kimenifurahisha, ila itoshe kusema, wewe ni binadamu mwenye sifa zote za kufaNEver, never, never again. Km unataka mtu mshamba katili mfuate aliko, km yule hawezi tokea hapa kwetu