Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Una ushahidi kazi kupayuka tu,muliropoka kwa Sabaya kawabwaga Mahakamani mmebaki na aibu.
Weka evidence hapa kwamba watu waliokufa walikufa kwa amri ya JPM,hatutaki hoja za Facebook hapa JF!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mahakama zipi za kuweza kudhibitisha uchafu wa kiongozi aliyekuwa anatumwa na rais? Tungekuwa na mahakama za haki tusingeona wawekezaji wakitaka mashauri Yao yakaamuliwe kwenye mahakama za nje.

Tungekuwa na mahakama huru na vyombo huru vya uchuguzi, kuanzia huyo magu Hadi hilo genge lake la kina sabaya, makonda nk uovu wao ungewekwa hadharani. Unasema Sabaya Kawabwaga mahakamani, kwenye mahakama hizi hizi zinazopigiwa simu Moja?!
 
JPM angekuwa kiongozi mzuri sana kama angeitenga kanda ya ziwa iwe nchi. Ajiuzulu Urais wa Tanzania na awe raisi wa hiyo nchi . Aliwapenda sana ndugu zake mwishowe wakawa wanafiki kwake. Hela walizopiga badala ya kutengeneza ajira walliishia kununua magari na kuongeza vimada. Aliwasihi wanunue viwanja chato wao wakaona ujinga. Alikuwa na vision kubwa sana kwa Kanda ya Ziwa. Angeshinda hadi tuzo ya Nobel.
 
Kwa bahati mbaya kabisa, nadhani hili huna ushahidi nalo zaidi tu kwa sasa upo ili ulinde tonge lako
 
Ukweli 100% ndani ya bandiko hili.
 
Exactly. Mambo sijui ya kutaka kuongozwa na walevi wa madaraka hayana nafasi.
 
Kwa kukusaidia tu, hapa ni kama umekuja kumsifia nguruwe msikitini. Yule alikuwa ni muhalifu aliyepata madaraka makubwa kimakosa.
Mharifu kwa waharifu!
 
Hakika
 
JPM amesahihisha au ameleta uchafu wa aina nyingine? Mbaguzi huyu, muuaji, msababisha hasara, …. Hivi watanzania akili zenu zipo wapi?
Shida yako wewe ni mdini. Kobaz zilipokubana ukadhani ni Jpm.

Kimsingi nyie watu wa Ulojo msingempenda Jpm
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…