Bila kujirudi, Kassim Majaliwa atapigwa chini!

Kwa maoni yangu, huku nilipo, naisaidia serikali kuliko ningeteuliwa popote
P
Yawezekana ila Mungu akuangazie nuru za uso wake my Broo, ili upewe taasisi fulani, kwani wewe ni miongoni mwa vyombo vya thamani kwenye nchi hiyo, chombo hiki kikitumiwa kwenye uwanja mpana kitaleta manufaa kwa raia wengi zaidi na Taifa kwa ujumla, alama utakayoacha itaonekana hadi kwa walio vijijini huko Broo
 
Mkuu Emanueli misalaba , mimi hapa nilipo ni taasisi, nadhani niendelee tuu, alama zitatokea baada...
P
 
Ramli chonganishi
 
Nyoka ni nyoka awezi kuwa samaki .ccm wanalindana wakilamba asali
mimi hata sielewi nini kinaendelea kwa sasa ???nchini kama vile tuko kwenye kampeni ya 2025,wanchi wanahitaji huduma mbalimbali kama za elimu, bado watoto wetu wanakaa chini , hakuna dawa za kutosha kwenye hospitali zetu, huduma za maji safi na salama , tatizo la ajira kwa vijana bomu kubwa, mfumo kwa bei haswa bei vyakula ,nk.lakini mjadala ni sijui lissu,PM ulafi wa madaraka ndiyo umeuteka discussion ....hichi kizazi taabu kwelikwali ...na logoff sitaki makuu...
 
mbona sie wananchi wa kawaida tunampenda tu waziri mkuu wetu, nyie anawapa tabu gani?
 
Kwa mwenendo wa sasa Rais Samia pamoja na Mwinyi wanahitaji viongozi wa upinzani ili waweze kupeleka taifa mbele.
Hili ni jambo zuri ambalo mpaka sasa Kenya wametuzidi.

Uke ugaidi unao iandama Kenya bila umoja wao wangekuwa kama Somalia
 
mjinga wewe Majaliwa ndugu yetu hanaga mambo ya 'kimamama' na mauchafu kama hao ndugu zenu.

Naomba aachwe jamaa ni wa pekee.
 
mbona sie wananchi wa kawaida tunampenda tu waziri mkuu wetu, nyie anawapa tabu gani
Wakati gwiji la siasa Tanzania mzee EDO anaachia ngazi pale mjengoni Dodoma alisema nanukuu...mheshimiwa spika nimetafakari kwa kina nakagundua kuwa tatizo ni uwaziri mkuu , leo asubuhi nimeandika barua rais naachia ngazi , mwisho wa kunukuu,, akabwaga manyanga, kile kiti ni kigumu saaana , mwombeeni PM , The guy is vey smart.....nani mwajibikaji kwa wanchi, he knows kuanzia anayeshindia mihogo mpaka anakula pizza anahitaji huduma gani .......
 
Kwa mwenendo wa sasa Rais Samia pamoja na Mwinyi wanahitaji viongozi wa upinzani ili waweze kupeleka taifa mbele.
Usimwamini binadamu kiasi hicho.... Hata wapinzani hawajiachii kiasi hicho wanajua kilichopo mbele yao...... Ccm imuhitaji mpinzani!!!!!! ....... Nachojua upinzani wanafahamu mbivu na mbichi
 
Smart? Anapita bila kupingwa?
 
We ni schizophrenic. Majaliwa akiambiwa avunje serikali yake,haitakuwa kwa ajili ya Mbowe.
 
Kwani waliokuwa kwa Magufuli hawakuwa na chuki kwenye kipindi chao ?
Naona chadema sio chama Cha kuwakimboa wananchi Tena ,ni chama chakulipiza YOYOTE alikuwa awamu ya tano,SS wananchi ambao tuliokuwa tunakuamini Sasa kinatutia mashaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…