Shining Light
JF-Expert Member
- Jan 8, 2024
- 406
- 523
we dont care about them kama hao wanawake hawana uvumilivu kwa uchumi wa waume zao, let them quit isiwe taabuIkiwa hutokuwa mwaminifu kwa Mke wako,
Kuna uwezekano mdogo atakuacha.
Ikiwa utaonyesha uaminifu kwa mke wako,
Lakini utashindwa kumhudumia kiuchumi,
Kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha.
Wanawake wengi wanaweza kusamehe ukosefu wa uaminifu.
Wanawake wachache wanaweza kuvumilia hali ya kiuchumi.
Nini mtazamo wako katika hili?
Na ndiyo ukweliIkiwa hutokuwa mwaminifu kwa Mke wako,
Kuna uwezekano mdogo atakuacha.
Ikiwa utaonyesha uaminifu kwa mke wako,
Lakini utashindwa kumhudumia kiuchumi,
Kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha.
Wanawake wengi wanaweza kusamehe ukosefu wa uaminifu.
Wanawake wachache wanaweza kuvumilia hali ya kiuchumi.
Nini mtazamo wako katika hili?
Kumuheshimu mwanaume asiekuhudumia ni zaidi ya ugaidi.usitake kumla usiemhudumia πππ
utakula ulipo peleka mboga
ugaidi usio samehekaKumuheshimu mwanaume asiekuhudumia ni zaidi ya ugaidi.
Kumuheshimu mwanaume asiekuhudumia ni zaidi ya ugaidi.
Watakuja kutuita majina mabaya, ila ukweli pesa ni muhimu azitoe. π€£usitake kumla usiemhudumia πππ
utakula ulipo peleka mboga
Na je usipo mpelekea moto au mashine ipaswavyo?Ikiwa hutokuwa mwaminifu kwa Mke wako,
Kuna uwezekano mdogo atakuacha.
Ikiwa utaonyesha uaminifu kwa mke wako,
Lakini utashindwa kumhudumia kiuchumi,
Kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha.
Wanawake wengi wanaweza kusamehe ukosefu wa uaminifu.
Wanawake wachache wanaweza kuvumilia hali ya kiuchumi.
Nini mtazamo wako katika hili?
Nitendee mimi basi, nikuonyeshe namna watu wanakulaga wachuyaMwanamke Umtendea Ukarimu Sana Hata Kama Huna Lengo La Mahusiano, Wanatengeneza Namna Ya Kukutunuku Huwa Najiuliza Kwanini Inakuwa Hivyo.
UtavumiliwaNa je usipo mpelekea moto au mashine ipaswavyo?
Nitendee mimi basi, nikuonyeshe namna watu wanakulaga wachuya
Hutawashwa kweli?Utavumiliwa