Bila kumuhudumia mwanamke unaachwa?

Bila kumuhudumia mwanamke unaachwa?

Labda sijui mnatoaga wapi hao wanawake.mm nkimuelewa mwanamke nakuwa nae wazi kipindi sina naonesha sasa ole wake nizipate napiga bata la kufa mtu kwan iphone 15 sh ngap.tatizo lenu wanashindwa waelewa mkipata mnaficha mkikosa ndo mnataka mvumiliwe.
Mfano nkiwa nimemaliza chuo nikawa na kademu ka chuo ukwel tulikuwa hatuendan mm mtoto wa mjini yeye ana maadili ya kinyakyusa full dini na kushinda kwa mitume na manabii..
Kumaliza mhuni nkawa sina daddy kama wengine nkasema walahi meru kijijin sirudi.
Yeye kapata kazi benk mhuni nkawa kula kulala mwaka hadi hela ya bia anantoa.asee siku nimebutua kibunda nilazama kwa madalali wa mnazimmoja miaka hiyo nkavuta rav 4 nkampa .
Nkapanga nyumba kubwa na kuhamia nae kama wife.kama sio kumzalisha mdogo wake tungekuwa mbali
Hee kumzalisha mdogo ake tena?
 
Back
Top Bottom