ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Elimu imefanyaje?Elim,utawala wa sheria,GDP na sector zote
Akili zetu bado zipo kuwaza kula, maana yake tunawaza leo hatuwazi vizazi vijavyo. Tukiacha kufikiri kwa tumbo na kufikiri kwa ubongo tutaelewa jinsi wanaojiita viongizi ni hopeless...Wewe umeandika upumbavu gani kwenye mada Yako? Watu watakula Katiba Mpya?
Vizazi vikavyo havitakila? Isipokuwa na uhakika wa kula utafanya maendeleo yapi?Akili zetu bado zipo kuwaza kula, maana yake tunawaza leo hatuwazi vizazi vijavyo. Tukiacha kufikiri kwa tumbo na kufikiri kwa ubongo tutaelewa jinsi wanaojiita viongizi ni hopeless...
Pumbavu wewe.Ndiyo upeo wako wa fikra ulipogotea?Katiba mpya ni takwa la CHADEMA ili waingie ikulu na kupukutisha hazina. Katiba iliyopo inatosha kwa sasa. Labda ikiwapendeza wabunge wafanye kitu mama aongezewe muda kwasababu ndo hitaji la wananchi wengi kwa wakati huu.
Hivi umeahidiwa uteuzi? mbona unakuwa maku sana wewe zwazwa.Kenya Kuna Katiba Mpya kabisa,migomo imeisha? Acheni ujinga basi
Wewe hujaahidiwa chochote,haya nieleze faida ya Katiba MpyaHivi umeahidiwa uteuzi? mbona unakuwa maku sana wewe zwazwa.
Hivi una Elimu gani? tungeanzia hapo kwanza isije ikawa nakulaumu kumbe fikra zako zimekosa weledi.Wewe hujaahidiwa chochote,haya nieleze faida ya Katiba Mpya
Kenyata aliwahi kumwambia Mwalimu umetawala Maiti so Watanganyika /Watz ni maiti hawezwezi kufanya chochote hawana sifa za ushujaa ni watu wasio na msimamo kubwa zaidi ni WANAFIK.Lakini kitu kimoja Wgyptian walikuwa kama hivi Watz walikuwa wanawaogoapa Polisi sana sana ilipofika right time waliweza so viongozi dont estimate binadamu dakika sufuri tu wanabadilisha kila kitu mgomo wa wa Kkoo iko unaweza kugeuka ikiwa ni kitu kizuto chenye ncha kali mukaja kujutaaa.Kilichopo kinauza K mnato na kubeti. 😭😭
Elimu siyo kipimo cha uelewa au uwezo wa akili ingekuwa hivyo maprofesa wote Tz wangeonesha mafanikio chanya ila kuna watu hawakusoma kabisaaa na wana akili na mafanikio kuliko hao wenye elimu kama weweHivi una Elimu gani? tungeanzia hapo kwanza isije ikawa nakulaumu kumbe fikra zako zimekosa weledi.
Ila hii pipo inaudhi sana. Kwakweli Mungu ashuhulike na huyu mtu wake. Hata amtie kiharusitu maana amedharau sana watanzania
View: https://x.com/jambotv_/status/1805932264779342120?s=46&t=6y80PVDI9VnnPNcrRsTBsg sikilizeni waziri wenu Mwigulu Matai anaongea bungeni
Hakuna mgomo wenye maslahi ya kibiashara au kisiasa ndani ya TZ utakaoleta mabadiliko kwani waTZ wengi ni WANAFIKI na mgomo unaweza kuleta matokeo chanya ni wa kijamii usio na makundi utakaolenga matatizo ya jiamii kama huduma mbovu za afya,mahakama,maji,bunge,ufisadi,matumizi mabya ya fedha za serikali,nkKenyata aliwahi kumwambia Mwalimu umetawala Maiti so Watanganyika /Watz ni maiti hawezwezi kufanya chochote hawana sifa za ushujaa ni watu wasio na msimamo kubwa zaidi ni WANAFIK.Lakini kitu kimoja Wgyptian walikuwa kama hivi Watz walikuwa wanawaogoapa Polisi sana sana ilipofika right time waliweza so viongozi dont estimate binadamu dakika sufuri tu wanabadilisha kila kitu mgomo wa wa Kkoo iko unaweza kugeuka ikiwa ni kitu kizuto chenye ncha kali mukaja kujutaaa.
Siku zote ukibishana na wajinga huwezi kupata suluhu, akili na fikra zenu bado zina lock, zinahitajika kufunguliwa, wewe kuwa Mwana CCM haina maana kukubaliana na kila ujinga na upuuzi unaofanywa na wachumia tumbo mlionao au na wewe umeahidiwa uteuzi?Elimu siyo kipimo cha uelewa au uwezo wa akili ingekuwa hivyo maprofesa wote Tz wangeonesha mafanikio chanya ila kuna watu hawakusoma kabisaaa na wana akili na mafanikio kuliko hao wenye elimu kama wewe
Kama ni hivyo walipe wabunge hilo deni ndiyo tutakuwa na uhakika wa kutogonhewa kulipa hilo deni,hivi mbunge atalipaje de i la serikali wakati halipo kodi bali mwananchi mdiye analipa sasa huko siyo kigongewa ili alipe kodiIla hii pipo inaudhi sana. Kwakweli Mungu ashuhulike na huyu mtu wake. Hata amtie kiharusitu maana amedharau sana watanzania
Wanafiki wa kwanza ni ninyi Wanachama wa kijani, Wafanyabiashara wameamua kugoma kwa ajili ya kuishinikiza serikali iondoe tozo ambazo hazina kichwa wala miguu, kisha mnatokea majuha kama ninyi kuja kudharau juhudi za watafuta haki. Hii Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na siasa safi, Siasa safi ndio itakayoleta sera rafiki kwa mfanyabiashara, mkulima na mfanyakazi ili waweze kuona mafanikio kwa kile wanachokifanya, sasa kama nchi tukiwa na watu wenye fikra mgando kama zako bado tutakuwa na safari ndefu mno ya kujikwamua.Hakuna mgomo wenye maslahi ya kibiashara au kisiasa ndani ya TZ utakaoleta mabadiliko kwani waTZ wengi ni WANAFIKI na mgomo unaweza kuleta matokeo chanya ni wa kijamii usio na makundi utakaolenga matatizo ya jiamii kama huduma mbovu za afya,mahakama,maji,bunge,ufisadi,matumizi mabya ya fedha za serikali,nk
Tanzania haiwezi kuwa kama kenya hata siku moja, ujinga wa watanzania haufikii hata ⅓ ya akili za wana kenya 🇰🇪Hii sio wiki nzuri kwa nchi zetu za Afrika Mashariki hasa Tanzania na Kenya. Wakati Kenya wanaandamana kihuni kupinga kupitishwa kwa sheria mpya ya fedha huku Tanzania kuna mgomo wa wafanyabiashara. Hawa wafanyabiashara wana hoja kadhaa za msingi ingawa pia wanazo hoja zingine za kipumbavu. Baada ya kutazama kwa kina huu mgomo nimeona tatizo kuu ni BUNGE LA TANZANIA kupitisha sheria za hovyo mno. Kinachoendelea kwa sasa ni kulipishana kodi juu ya kodi. Sina haja ya kuelezea watu wanalipa kodi kiasi gani kwasababu kuna nyuzi nyingi humu zimeelezea. Kimsingi HAZILIPIKI.
Hatutaweza kuwabadili wabunge ghafla bila kubadili kifungu cha katiba kinachoruhusu hata mwendawazimu kuingia bungeni kisa anajua kusoma na kuandika. Ukitazama bunge utaona ni wabunge wachache sana wanaoweza kuchambua muswada uliopelekwa bungeni. Wengi wao wakisimama ni kuomba serikali iwajengee daraja au zahanati jimboni. Hivi kwenye ulimwengu wa kidigitali hata barabara iliyopo maporini si inaonekana tu? Utakuta ni muda wa kujadili muswada wa sheria ya elimu mbunge anasimama kuomba serikali ijenge barabara ya kijijini kwake.
Ninashauri sana serikali pia ishtuke kuwa hata hawa polisi tulio nao ni polisi wa kizazi kipya ambao hawajui mambo ya "Zidumu fikra za mwenyekiti".. hawa wa sasa nao wanataka maisha mazuri na sio kuishi kwa dhiki makambini. Ipo siku nao watasapoti wananchi. Mwaka 2008 kuna jamaa alipost yuko na watoto wake wenye umri kama miaka 4 hadi 8 wakiwa wamevaa gwanda za CHADEMA. Wale watoto kwa sasa ni watu wazima kwahiyo kama walikuzwa na baba mpinzani tayari hapo ni shida.
Wewe kwa akili yako umekaa ukajiona uko sahihi kabisa kwa migomo ya kijinga kama hiyo ya kodi?Wanafiki wa kwanza ni ninyi Wanachama wa kijani, Wafanyabiashara wameamua kugoma kwa ajili ya kuishinikiza serikali iondoe tozo ambazo hazina kichwa wala miguu, kisha mnatokea majuha kama ninyi kuja kudharau juhudi za watafuta haki. Hii Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na siasa safi, Siasa safi ndio itakayoleta sera rafiki kwa mfanyabiashara, mkulima na mfanyakazi ili waweze kuona mafanikio kwa kile wanachokifanya, sasa kama nchi tukiwa na watu wenye fikra mgando kama zako bado tutakuwa na safari ndefu mno ya kujikwamua.