Bila kuwa na katiba mpya itakayoondoa wabunge vilaza tutegemee migomo zaidi au pengine maandamano kama ya Kenya.

Bila kuwa na katiba mpya itakayoondoa wabunge vilaza tutegemee migomo zaidi au pengine maandamano kama ya Kenya.

Elim,utawala wa sheria,GDP na sector zote
Elimu imefanyaje?

Utawala wa sheria umefanyaje?

GDP ambayo out of sh.100 wanatumia 61 kulipa deni? GDP gani imeshindwa kuondoa njaa,kuleta maji na kusambaza umeme Vijijini?

Sekta zote zipi?

Nasisitiza hakuna faida yeyote Kwa Mwananchi kuwa na kinachoitwa Katiba Mpya,kinasaiida Wanasiasa ambao siasa ndio kazi Yao so wapumbavu ndio mtashadidia hiyo.

By the way Katiba ya Tanzania Ina provide hayo Kwa Ukubwa sana na ndio maana hakuna upuuzi hapa Tanzania ikiwemo njaa.
 
Wewe umeandika upumbavu gani kwenye mada Yako? Watu watakula Katiba Mpya?
Akili zetu bado zipo kuwaza kula, maana yake tunawaza leo hatuwazi vizazi vijavyo. Tukiacha kufikiri kwa tumbo na kufikiri kwa ubongo tutaelewa jinsi wanaojiita viongizi ni hopeless...
 
Akili zetu bado zipo kuwaza kula, maana yake tunawaza leo hatuwazi vizazi vijavyo. Tukiacha kufikiri kwa tumbo na kufikiri kwa ubongo tutaelewa jinsi wanaojiita viongizi ni hopeless...
Vizazi vikavyo havitakila? Isipokuwa na uhakika wa kula utafanya maendeleo yapi?
 
Katiba mpya ni takwa la CHADEMA ili waingie ikulu na kupukutisha hazina. Katiba iliyopo inatosha kwa sasa. Labda ikiwapendeza wabunge wafanye kitu mama aongezewe muda kwasababu ndo hitaji la wananchi wengi kwa wakati huu.
Pumbavu wewe.Ndiyo upeo wako wa fikra ulipogotea?
 
Kilichopo kinauza K mnato na kubeti. 😭😭
Kenyata aliwahi kumwambia Mwalimu umetawala Maiti so Watanganyika /Watz ni maiti hawezwezi kufanya chochote hawana sifa za ushujaa ni watu wasio na msimamo kubwa zaidi ni WANAFIK.Lakini kitu kimoja Wgyptian walikuwa kama hivi Watz walikuwa wanawaogoapa Polisi sana sana ilipofika right time waliweza so viongozi dont estimate binadamu dakika sufuri tu wanabadilisha kila kitu mgomo wa wa Kkoo iko unaweza kugeuka ikiwa ni kitu kizuto chenye ncha kali mukaja kujutaaa.
 
Huwezi kuwa na katiba mpya ikaweza kufanyakazi chini ya watu walewale,sheria zilezile,tabia zilezile,mihimili ileile,nk lazima kubadili tabia za wasimamizi wake ili kupata matokeo chanya vinginevyo ni upuuzi mtupu!!
 
Hivi una Elimu gani? tungeanzia hapo kwanza isije ikawa nakulaumu kumbe fikra zako zimekosa weledi.
Elimu siyo kipimo cha uelewa au uwezo wa akili ingekuwa hivyo maprofesa wote Tz wangeonesha mafanikio chanya ila kuna watu hawakusoma kabisaaa na wana akili na mafanikio kuliko hao wenye elimu kama wewe
 
Kenyata aliwahi kumwambia Mwalimu umetawala Maiti so Watanganyika /Watz ni maiti hawezwezi kufanya chochote hawana sifa za ushujaa ni watu wasio na msimamo kubwa zaidi ni WANAFIK.Lakini kitu kimoja Wgyptian walikuwa kama hivi Watz walikuwa wanawaogoapa Polisi sana sana ilipofika right time waliweza so viongozi dont estimate binadamu dakika sufuri tu wanabadilisha kila kitu mgomo wa wa Kkoo iko unaweza kugeuka ikiwa ni kitu kizuto chenye ncha kali mukaja kujutaaa.
Hakuna mgomo wenye maslahi ya kibiashara au kisiasa ndani ya TZ utakaoleta mabadiliko kwani waTZ wengi ni WANAFIKI na mgomo unaweza kuleta matokeo chanya ni wa kijamii usio na makundi utakaolenga matatizo ya jiamii kama huduma mbovu za afya,mahakama,maji,bunge,ufisadi,matumizi mabya ya fedha za serikali,nk
 
Elimu siyo kipimo cha uelewa au uwezo wa akili ingekuwa hivyo maprofesa wote Tz wangeonesha mafanikio chanya ila kuna watu hawakusoma kabisaaa na wana akili na mafanikio kuliko hao wenye elimu kama wewe
Siku zote ukibishana na wajinga huwezi kupata suluhu, akili na fikra zenu bado zina lock, zinahitajika kufunguliwa, wewe kuwa Mwana CCM haina maana kukubaliana na kila ujinga na upuuzi unaofanywa na wachumia tumbo mlionao au na wewe umeahidiwa uteuzi?
 
Ila hii pipo inaudhi sana. Kwakweli Mungu ashuhulike na huyu mtu wake. Hata amtie kiharusitu maana amedharau sana watanzania
Kama ni hivyo walipe wabunge hilo deni ndiyo tutakuwa na uhakika wa kutogonhewa kulipa hilo deni,hivi mbunge atalipaje de i la serikali wakati halipo kodi bali mwananchi mdiye analipa sasa huko siyo kigongewa ili alipe kodi
 
Hakuna mgomo wenye maslahi ya kibiashara au kisiasa ndani ya TZ utakaoleta mabadiliko kwani waTZ wengi ni WANAFIKI na mgomo unaweza kuleta matokeo chanya ni wa kijamii usio na makundi utakaolenga matatizo ya jiamii kama huduma mbovu za afya,mahakama,maji,bunge,ufisadi,matumizi mabya ya fedha za serikali,nk
Wanafiki wa kwanza ni ninyi Wanachama wa kijani, Wafanyabiashara wameamua kugoma kwa ajili ya kuishinikiza serikali iondoe tozo ambazo hazina kichwa wala miguu, kisha mnatokea majuha kama ninyi kuja kudharau juhudi za watafuta haki. Hii Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na siasa safi, Siasa safi ndio itakayoleta sera rafiki kwa mfanyabiashara, mkulima na mfanyakazi ili waweze kuona mafanikio kwa kile wanachokifanya, sasa kama nchi tukiwa na watu wenye fikra mgando kama zako bado tutakuwa na safari ndefu mno ya kujikwamua.
 
Hii sio wiki nzuri kwa nchi zetu za Afrika Mashariki hasa Tanzania na Kenya. Wakati Kenya wanaandamana kihuni kupinga kupitishwa kwa sheria mpya ya fedha huku Tanzania kuna mgomo wa wafanyabiashara. Hawa wafanyabiashara wana hoja kadhaa za msingi ingawa pia wanazo hoja zingine za kipumbavu. Baada ya kutazama kwa kina huu mgomo nimeona tatizo kuu ni BUNGE LA TANZANIA kupitisha sheria za hovyo mno. Kinachoendelea kwa sasa ni kulipishana kodi juu ya kodi. Sina haja ya kuelezea watu wanalipa kodi kiasi gani kwasababu kuna nyuzi nyingi humu zimeelezea. Kimsingi HAZILIPIKI.

Hatutaweza kuwabadili wabunge ghafla bila kubadili kifungu cha katiba kinachoruhusu hata mwendawazimu kuingia bungeni kisa anajua kusoma na kuandika. Ukitazama bunge utaona ni wabunge wachache sana wanaoweza kuchambua muswada uliopelekwa bungeni. Wengi wao wakisimama ni kuomba serikali iwajengee daraja au zahanati jimboni. Hivi kwenye ulimwengu wa kidigitali hata barabara iliyopo maporini si inaonekana tu? Utakuta ni muda wa kujadili muswada wa sheria ya elimu mbunge anasimama kuomba serikali ijenge barabara ya kijijini kwake.

Ninashauri sana serikali pia ishtuke kuwa hata hawa polisi tulio nao ni polisi wa kizazi kipya ambao hawajui mambo ya "Zidumu fikra za mwenyekiti".. hawa wa sasa nao wanataka maisha mazuri na sio kuishi kwa dhiki makambini. Ipo siku nao watasapoti wananchi. Mwaka 2008 kuna jamaa alipost yuko na watoto wake wenye umri kama miaka 4 hadi 8 wakiwa wamevaa gwanda za CHADEMA. Wale watoto kwa sasa ni watu wazima kwahiyo kama walikuzwa na baba mpinzani tayari hapo ni shida.
Tanzania haiwezi kuwa kama kenya hata siku moja, ujinga wa watanzania haufikii hata ⅓ ya akili za wana kenya 🇰🇪
 
My poor, miserable, hopeless, headless chicken country.
 
Wanafiki wa kwanza ni ninyi Wanachama wa kijani, Wafanyabiashara wameamua kugoma kwa ajili ya kuishinikiza serikali iondoe tozo ambazo hazina kichwa wala miguu, kisha mnatokea majuha kama ninyi kuja kudharau juhudi za watafuta haki. Hii Nchi haiwezi kuendelea bila kuwa na siasa safi, Siasa safi ndio itakayoleta sera rafiki kwa mfanyabiashara, mkulima na mfanyakazi ili waweze kuona mafanikio kwa kile wanachokifanya, sasa kama nchi tukiwa na watu wenye fikra mgando kama zako bado tutakuwa na safari ndefu mno ya kujikwamua.
Wewe kwa akili yako umekaa ukajiona uko sahihi kabisa kwa migomo ya kijinga kama hiyo ya kodi?

Huwezi ukafikia mapinduzi ya kibiashara au siasa kabla ya mapinduzi ya kijamii i.e:maendeleo ya sekta za afya,elimu,ustaarabu,n.k. huo ni ukichachaa kama ulionao wewe kodi lazima ilipwe bali matumizi mabaya ya kodi lazima yadhobitiwe bila hivyo mtakuwa mnawaza ujinga
 
Back
Top Bottom