The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Tazama comment hiiπKaribu Afrika.
Jana wakati kichwa cha treni yetu ya SGR inafanya majaribio nilishtuka kuona imefungwa kiatu cha mtoto. Ndio nilipowauliza wazee wakanipa majibu.
Huwezi kubreak even bila kuweka kiatu cha mtoto kwenye gari ya biashara wataalam wanasema.
Karibu Afrika.
Jana wakati kichwa cha treni yetu ya SGR inafanya majaribio nilishtuka kuona imefungwa kiatu cha mtoto. Ndio nilipowauliza wazee wakanipa majibu.
Huwezi kubreak even bila kuweka kiatu cha mtoto kwenye gari ya biashara wataalam wanasema.
Hayo mambo yanafanywa na mpaka kwenye viwanda vya watu matajiri duniani kama pale kwa dangote sembuse wewe hata laki 6 hunaImani za kijinga
Unajua Hela inabuniwa wapi kabla ya kutengenezwa!!?Akili za kijinga jinga hizi ndo zinarudisha Watanzania wengi nyuma!
Ujinga tu.Karibu Afrika.
Jana wakati kichwa cha treni yetu ya SGR inafanya majaribio nilishtuka kuona imefungwa kiatu cha mtoto. Ndio nilipowauliza wazee wakanipa majibu.
Huwezi kubreak even bila kuweka kiatu cha mtoto kwenye gari ya biashara wataalam wanasema.
Traffic wakipiga tochi wanaona gari imesimama kumbe inatembea spidi 100.
Gereji kwa mwaka utakuwa unaenda mara moja kwa mwaka.
Noma sana