Bila Marekani na washirika wake, Tanzania kisiasa tungekuwa kama North Korea

Bila Marekani na washirika wake, Tanzania kisiasa tungekuwa kama North Korea

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Ni dhahiri shahiri kuwa hakuna kitu Sisiemu wanaogopa kama Marekani na nchi za Ulaya.

Kwa haya yanayoendelea ikiwemo wizi wa kura na kuua wapinzani ni wazi kuwa ingekuwa ni amri yao CCM ingekuwa imeshafuta upinzani.

The only reason they are not doing it (kufuta upinzani) it's because wanaogopa "wahisani" na nchi wanazoziita za "kibeberu" kama Marekani na nchi za Umoja wa Ulaya.

Soma pia: Mbinu za wizi wa kura zinazotumiwa na CCM zabainika; ni hizi hapa

Na ndo maana hata baada ya kiongozi Fulani kusema kuwa Serikali ya Tanzania inawasaka na kutafuta wa Alphabet Community serikali ilijitokeza kupinga kauli yake.

Kim.png

Tukumbuke tu Marekani for the last 20 years imetoa Dola Bilioni 7 kama msaada (sio mikopo) hapo sijataja Ujerumani, Ufaransa, Ubelgiji etc.

Kukosa pesa na misaada kutoka nje ndo kitu pekee kinachofanya "demokrasia" iwepo Tanzania.

Siku Marekani na washirika wake wakianguka kiuchumi mjue na sisi wananchi wa kawaida tutafanywa kuwa watumwa wa watawala.

Tanzania itakuwa ni North Korea ya Kim Jong Un 2.O !
 
China doesn't follow the US political model and her citizens are arguably doing fine than most of their Western counterparts.

Much as I loathe CCM, I can't be blinded by hate to the point a fail to grasp nuances of other political models aside from those of the West.

By the way, even America is not doing so well in democracy. Various studies conducted by reputable organisations shows that America is slowly mutating into a dystopian techno-state.

What the Democratic Bureaucrats did to Donald Trump has exposed a charade of America's Democracy sold to third world states.​
 
Hili jeshi letu na lenyewe goigoi kwelikweli, kwann halitaki kushika hatamu walau sote pamoja na ma ccm tuonje shubiri kwa angalau vipindi vi2 tu vya uongozi (miaka 10)??!!.

Unataka utawala wa kijeshi kwenye nchi yako mkuu?

Au sijakuelewa mkuu?
 
Hili jeshi letu na lenyewe goigoi kwelikweli, kwann halitaki kushika hatamu walau sote pamoja na ma ccm tuonje shubiri kwa angalau vipindi vi2 tu vya uongozi (miaka 10)??!!.
Mbona mpaka sasa nchi ipo chini ya mabeyo? Yule mimacho ni kikaragosi tu aso na maamuzi
 
China doesn't follow the US political model and her citizens are arguably doing fine than most of their Western counterparts.

Much as I loathe CCM, I can't be blinded by hate to the point a fail to grasp nuances of other political models aside from those of the West.​

You are praising China because it is not as transparent as the United States which is an open book.

Once you understand what the Chinese govt is doing to the Uyghur Muslims as we speak and how Mao's economic model killed Millions of innocent civilians you will understnd how ruthless the Chinese are.

Anything to do with China is usually exploitative and brutal.
 
Nadhani hivi sasa huyu mzanzibari amejihakikishia kupata misaada toka kwa wajomba zake ndiyo maana anaibaka demokrasia bila wasiwasi wala woga.

Wajomba zake gani?
 
Sasa hivi tunasogea kwa Mchina na Mrusi - hawa ni wafadhiri wazuri sana wa Serikali za kidikteta duniani.

Wale tunaweza tukawa tunapigana wenyewe kwa wenyewe wakaja wakatuuzia silaha wakachukua kibunda chao wakaondoka.

Ukiona mtawala anajihusisha sana na hao jamaa wawili muogope sana
 
Wale tunaweza tukawa tunapigana wenyewe kwa wenyewe wakaja wakatuuzia silaha wakachukua kibunda chao wakaondoka.

Ukiona mtawala anajihusisha sana na hao jamaa wawili muogope sana
Ndo tunako elekea.
 
You are praising China because it is not as transparent as the United States which is an open book.

Once you understand what the Chinese govt is doing to the Uyghur Muslims as we speak and how Mao's economic model killed Millions of innocent civilians you will understnd how ruthless the Chinese are.

Anything to do with China is usually exploitative and brutal.
I'm not praising anyone, just stating facts.

By the way, have you ever visited China-Xinjiang ?​
 
I'm not praising anyone, just stating facts.

By the way, have you ever visited China-Xinjiang ?​

No ive never visited.

Are trying to insinuate that i should not have an opinion on the Xi Jinjiang area?
 
Je kimaendeleo sekta zote, tanzania anamfikia huyo north korea?
 
Hili jeshi letu na lenyewe goigoi kwelikweli, kwann halitaki kushika hatamu walau sote pamoja na ma ccm tuonje shubiri kwa angalau vipindi vi2 tu vya uongozi (miaka 10)??!!.
Kigezo cha darasa la 7 kuwekwa kwa anayetaka kujiunga na jeshi hakikuwekwa kwa bahati mbaya.
 
No ive never visited.

Are trying to insinuate that i should not have an opinion on the Xi Jinjiang area?
No, I don't insinuate nothing, I just state facts. You on the other hand happens to be having a Black Belt in the art of insinuation.

You make a diabolical claim, that because Mao killed millions of Chinese then their Model must be bad compared to that of their Western counterparts.

It's similar to making an argument that the Catholic Church is inherently bad and nasty because of the Spanish Inquisition and The Crusades, which claimed many innocent lives same way, The Cultural Revolution and Great Leap Forward did.

If you use this parochial metric to measure complexity of civilization, you would end up in a fallacy of dichotomy. If the Model is not black like the rest, then the Model must be deeply flawed.

Are confidently telling me today, that America Model is impeccable, sacrosanct, beyond reproach that no innocent blood hasn't been spilled in a pursuit of building the American republic ?

I can avail you a mountain of evidence, that the American Model is also full of blood like it's Chinese counterpart.​
 
Back
Top Bottom