Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea kimhemko zaidKikwete hana chake
Tanzania. Tofauti na kutengeneza mafisadi
Bado unatetea ujinga wako!Hakulazimika kuanzisha Chuo Kikuu kipya. Angeweza kukauka na hakuna kitu ungefanya
Naona umepanic mapema SanaNikuulize wewe Dada
Uchawa au!?Hello JK
Jina lako linatambulisha mengi. PoleBado unatetea ujinga wako!
Hayo Ni majukumu ya serikali sio Hisani!
Hata Kama asingefanya ingekuwa ni udhaifu wa serikali yake!
Umezaliwa 2000 eeh.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Of what use? Ina msàada gani inatoa products takatakaKatika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Ndizo takataka kutoka UDOMUnaona hiyo ni hisani ya JK na siyo wajibu wa serikali yake?
Dahh! Wasomi wa nchi hii mmekuwaje?
UDOM mwanzilishi wake B.W, Mkapa
Hiyo UDOM imeusaidia nini nchi so far? Hasara tu.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Lakini alianza Mkapa Kwa kutoa iliyokuwa Chimwaga na JK akajenga Chuo hicho na Hostel za Udsm.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Kwa comment hii imeonesha dhahiri kuwa wewe ni mweupe kichwani, huna hoja.Nikuulize wewe Dada
Kila Rais kuna kitu alianzisha, hivyo njoo taratibu na hiyo mbeleko ya JK.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Wewe umesaidia nn familia yako?Hiyo UDOM imeusaidia nini nchi so far? Hasara tu.