allyngaruma
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 124
- 127
Sio BM ni JK husipotoshe watu.Ni BM bro. Fanya utafiti upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio BM ni JK husipotoshe watu.Ni BM bro. Fanya utafiti upya
Kuwa straight basi acha bias. Mbona wengine unasema hisani Yao na sio wajibu wa serikali au kwa kuwa anatoka kule kule?Unaona hiyo ni hisani ya JK na siyo wajibu wa serikali yake?
Dahh! Wasomi wa nchi hii mmekuwaje?
UDOM mwanzilishi wake B.W, Mkapa
Mikopo kausha damuWewe umesaidia nn familia yako?
Kila kikubwa unachokiona Tanzania leo hii, ni plan za Kikwete, hata reli na bwawa la Steigler yote hayo ni mambo ya Kikwete.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
TakbiirKila kikubwa unachokiona Tanzania leo hii, ni plan za Kikwete, hata reli na bwawa la Steigler yote hayo ni mambo ya Kikwete.
Tanzania bado hatujapata Rais kwa Kikwete na hatutapata.
Ignore him. Siku zote mjinga anakushusha kwenye level zake ili akushambulie vizuri. Hana hoja zaidi ya mipasho na kejeli.He kumbe mleta mada ni bwege. Basi ndo maana unaandika utumbo
Pongezi sanaKila kikubwa unachokiona Tanzania leo hii, ni plan za Kikwete, hata reli na bwawa la Steigler yote hayo ni mambo ya Kikwete.
Tanzania bado hatujapata Rais kwa Kikwete na hatutapata.
UDOM 3 wanafunzi uwatoe wapi hao wacheza kamari?UDOM imejengwa kifisadi hatari, gharama za UDOM kiuhalisia leo tungekuwa na UDOM 3 sehemu tofauti nchini!.
Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Mtu mweusi anasubiri mtu afe. Ndo ampe sifa zake za kinafiki makaburiniUmaskini unamlazimisha mtu kuwa chawa.
Hizo ndiyo akili za mende. Anakula vya kwenye kabati halafu anaishi kwenye karo la maji machafu. Embezzler unasifia ujingaJK kafanya mengi Ila kashindwa kujenga barabara ya kwenda kwao ukitokea Dar. Kipindi nanunua gari langu la kwanza nilikua NATUMIA lisaa limoja toka Dar Hadi Chalinze kwa kina Kukwete. Leo hii kutoka Dar Ilala Hadi Chalinze sio chini ya masaa matatu muda wa asubuhi, ikifika alasiri Ni zaidi ya masaa sita. Hapo ukute hakuna ajali.
Magufuli kakaa ikulu kidogo tu kajenga Hadi eapoti kule kwao na Ile Mfugale tower.
Mama kaingia juzi juzi tu wazanzibara wako huku Hadi wakuu wa wilaya na wakuu wa taasisi mbali mbali kutoka kisiwa Cha unguja
Uchafu kwako, kwa mende that is the right place. Kama harufu ya puchi wenye upwiru wanaona inanukia.Hizo ndiyo akili za mende. Anakula vya kwenye kabati halafu anaishi kwenye karo la maji machafu. Embezzler unasifia ujinga
Hii ni taarifa ina mapungufu. Ukweli ni huu hapa.Katika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#