ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
๐ฎ๐ฎMagufuli City shujaa Magufuli
๐ฎ๐ฎMagufuli City shujaa Magufuli
๐ฎ๐ฎMagufuli City shujaa Magufuli
Check your records again, BM mkapa (RIP) , yeye ndio ana influence kubwa sana katika kuanzishwa hiko chuoKatika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Magufuli City shujaa Magufuli
Exactly, tatizo vijana hawajui kufuatilia issues, wanabeba juu juu bila uhakikaCheck your records again, BM mkapa (RIP) , yeye ndio ana influence kubwa sana katika kuanzishwa hiko chuo
Exactly, tatizo vijana hawajui kufuatilia issues, wanabeba juu juu bila uhakika
Nilidhani ungeleta source kumbe unapiga porojoCheck your records again, BM mkapa (RIP) , yeye ndio ana influence kubwa sana katika kuanzishwa hiko chuo
Yaani wewe pimbi bado unabisha kuwa BW Mkapa siye aliyeanzisha UDOM? Unataka source gani wakati sisi tuliokuwa kwenye mfumo tunakujuza?Nilidhani ungeleta source kumbe unapiga porojo
Lete source kupinga mada sio taarabu.Yaani wewe pimbi bado unabisha kuwa BW Mkapa siye aliyeanzisha UDOM? Unataka source gani wakati sisi tuliokuwa kwenye mfumo tunakujuza?
๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค๐๐๐๐Uko Sahihi kabisa, Hakulazimishwa Kwa hiyo Asijimwambafahi kabisa Yule MkweleHakulazimika kuanzisha Chuo Kikuu kipya. Angeweza kukauka na hakuna kitu ungefanya