Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Uzi wa mtu aliebet utaujua tu



By the way

Madrid kapita
 
Unawapoteza wenzio wenzio wachaniwe mikeka!
 
Katika mafanikio ya PSG 2017/2018 Huwezi kumtoa Neymar watu wakakuelewa,PSG kupoteza mechi ya kwanza ilikuwa ni uzembe wa defense kujiamini kupita kiasi na kufanya makosa ya kijinga.Neymar ni kweli hakucheza vizuri mechi ya kwanza,ila siyo Guarantee kwamba hata Leo atacheza hivyo hivyo,Wachezaji wote wakubwa duniani siyo kila mechi huwa wanacheza vizuri,Siyo CR7 wala Messi wote kuna mechi huwa wanacheza vyongo utadhani hawapo uwanjani.Neymar bado ni mchezaji wa kutegemewa PSG.Tizama statistics zake hapo chini then unambie unaweza vipi kusema asipkuwepo timu ina uhakika wa kushinda.Labda tuongee kinazi.
https://www.whoscored.com/Players/50835/Show/Neymar

Usiwe mbishi kila kitu, takwimu ndio nini? Mbona Di maria kamwacha mbali tu uyo mayai.
20180306_194058.png
20180306_194025.png
 
Back
Top Bottom