Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.
Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.
Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
![]()
Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!
Tutambulishe basi id yako mpya mkuuPsg asiposhinda leo,na badili muelekeo wa maisha na id yangu itakuwa kama bosheni humu
Nilisema jana kuwa CR7 lazima atupie mbili ila si haba kafikisha goli 12 katika mechi 8
Naomba matokeo mkuu.2 bila PSG anavuka acha kudanganya watu
Kwenye kikosi cha kwanza ulitabiri vizuri mkuu ila Matokeo ndio yamekuangusha.Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.
Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.
Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
![]()
Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!
alikua amelewa huyu, c unaona jina lake!Naomba matokeo mkuu.
Ha ha ha ha ha kweli mkuu,jana eti Shafih Dauda nae alisema ana imani Psg wanawatoa Madrid,kweli?alikua amelewa huyu, c unaona jina lake!
Hawa hawaijui Madrid, hii timu inaweza kutoka ndio, ila sio rahisi rahisi tuHa ha ha ha ha kweli mkuu,jana eti Shafih Dauda nae alisema ana imani Psg wanawatoa Madrid,kweli?
Sure mkuu.Hawa hawaijui Madrid, hii timu inaweza kutoka ndio, ila sio rahisi rahisi tu
PSG hovyo kabisa, wamenichania mkeka.[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Shafih Dauda ni mpenzi mkubwa wa Barcelona, huwa nasikiliza uchambuzi wao wa michezo "Sports Bar" hasa linapokuja swala la ligi ya Hispania, Real Madrid hata akishinda magori mangapi coverage yake inakuwa kidogo, afungwe sasa ni balaa. Ila kama ni Blatterlona, Shafi utamsikia akiongea mpaka utasema naam, in short uchambuzi wa michezo wa vituo vingi vya habari za michezo imekaa kishabiki zadi kuliko kitaaluma.Ha ha ha ha ha kweli mkuu,jana eti Shafih Dauda nae alisema ana imani Psg wanawatoa Madrid,kweli?
Well,ila Edga Kibwana wa Clouds Fm pamoja na George Ambalike wa Magic Fm nawakubali sana uchambuzi wao,wana-base katika facts na sio opinions zao.Shafih Dauda ni mpenzi mkubwa wa Barcelona, huwa nasikiliza uchambuzi wao wa michezo "Sports Bar" hasa linapokuja swala la ligi ya Hispania, Real Madrid hata akishinda magori mangapi coverage yake inakuwa kidogo, afungwe sasa ni balaa. Ila kama ni Blatterlona, Shafi utamsikia akiongea mpaka utasema naam, in short uchambuzi wa michezo wa vituo vingi vya habari za michezo imekaa kishabiki zadi kuliko kitaaluma.