Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.

Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.

Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
5a9dbe2e7a422.jpeg


Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!


Pole sana mtabiri uchwara
 
Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.

Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.

Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
5a9dbe2e7a422.jpeg


Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!
Kwenye kikosi cha kwanza ulitabiri vizuri mkuu ila Matokeo ndio yamekuangusha.
 
Neymar ni average player overrated player hanaga impact yoyote ataishia kuwa kama robinho tu.

Mi wala simkubali huyu dogo ni vile anabahati tu ya upepo wa pesa kumpitia kutokana na sura ya mauzo aliyonayo .

Anajaribu kutaka kuwa ronadinho lakini hawezi kuwa .

Huu sio muda wa soka LA mbwembwe nyingi muda wa kupiga soka LA "basic" tu .

Wala asipangwe [emoji57]
 
Hii inanikumbusha utabiri wa Pele, ukitaka kuchana mikeka basi msikilize
 
Ha ha ha ha ha kweli mkuu,jana eti Shafih Dauda nae alisema ana imani Psg wanawatoa Madrid,kweli?
Shafih Dauda ni mpenzi mkubwa wa Barcelona, huwa nasikiliza uchambuzi wao wa michezo "Sports Bar" hasa linapokuja swala la ligi ya Hispania, Real Madrid hata akishinda magori mangapi coverage yake inakuwa kidogo, afungwe sasa ni balaa. Ila kama ni Blatterlona, Shafi utamsikia akiongea mpaka utasema naam, in short uchambuzi wa michezo wa vituo vingi vya habari za michezo imekaa kishabiki zadi kuliko kitaaluma.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Shafih Dauda ni mpenzi mkubwa wa Barcelona, huwa nasikiliza uchambuzi wao wa michezo "Sports Bar" hasa linapokuja swala la ligi ya Hispania, Real Madrid hata akishinda magori mangapi coverage yake inakuwa kidogo, afungwe sasa ni balaa. Ila kama ni Blatterlona, Shafi utamsikia akiongea mpaka utasema naam, in short uchambuzi wa michezo wa vituo vingi vya habari za michezo imekaa kishabiki zadi kuliko kitaaluma.
Well,ila Edga Kibwana wa Clouds Fm pamoja na George Ambalike wa Magic Fm nawakubali sana uchambuzi wao,wana-base katika facts na sio opinions zao.
Huwa hawako kishabiki kabisa,much credit to them.
 
Back
Top Bottom