Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Aliwahi kuhojiwa Ivan Rakitic Mchezaji wa Barcelona mzaliwa wa Croatia akakiri hakuna kazi ngumu kama kucheza na Wachezaji aina ya Messi,Neymar na Suarez

Ugumu wake wachezaji wa aina hiyo siyo wakabaji ivyo inabidi uzibe yale mapengo yao ili timu isilemewe na timu pinzani hivyo inakubidi uzunguke uwanja mzima kuziba yale mapengo yao..

Naimani hata Messi akisifiwa anaweza kukataa na badala yake akaelekeza sifa kwa wachezaji wenzake.

Hivyo tunavyompa sifa Messi tukumbuke hao wachezaji..
 
Ukweli mtupu....kabla INIESTA, XAVI walibeba mafanikio ya Messi
 
Aliwahi kuhojiwa Ivan Rakitic Mchezaji wa Barcelona mzaliwa wa Croatia akakiri hakuna kazi ngumu kama kucheza na Wachezaji aina ya Messi,Neymar na Suarez

Ugumu wake wachezaji wa aina hiyo siyo wakabaji ivyo inabidi uzibe yale mapengo yao ili timu isilemewe na timu pinzani hivyo inakubidi uzunguke uwanja mzima kuziba yale mapengo yao..

Naimani hata Messi akisifiwa anaweza kukataa na badala yake akaelekeza sifa kwa wachezaji wenzake.

Hivyo tunavyompa sifa Messi tukumbuke hao wachezaji..
Nini maana ya team sasa? kumbuka tunaishi kwa kutegemeana!
 
Nini maana ya team sasa? kumbuka tunaishi kwa kutegemeana!
Nakubiliana na wewe ndugu ila baadhi ya watu wanaamini ukiwa na wachezaji dizaini ya Messi kazi inakua rahisi.
 
Kwani timu inaundwa na wachezaji wangapi??

Vipi kule Argentina hao akina xavi wapo?

Ebu fananisha mafanikio aliyonayo kupitia timu ya taifa na yale ya klabu....

Tena nikienda mbali...kucheza klabu moja karibu na zaidi ya wachezaji sita uliokua nao kisoka timu moja, ambao kimsingi ni bora(viungo) kumechangia sana yeye kuwa hapo alipo.

Ibrahimovic na CR7 ni mfano wa watu wenye mafanikio makubwa sana kwa upande...kumzidi Messi ambaye kimsingi anabebwa na mengi

Kwani timu inaundwa na wachezaji wangapi??

Vipi kule Argentina hao akina xavi wapo?
 
Mafanikio ya timu hupatikana kwa ushirikiano, hata hivi asipokuwepo mesi matokeo hua sio mazuri. Na akicheza messi peke ake pia hayatakua mazuri
 
Ebu fananisha mafanikio aliyonayo kupitia timu ya taifa na yale ya klabu....

Tena nikienda mbali...kucheza klabu moja karibu na zaidi ya wachezaji sita uliokua nao kisoka timu moja, ambao kimsingi ni bora(viungo) kumechangia sana yeye kuwa hapo alipo.

Ibrahimovic na CR7 ni mfano wa watu wenye mafanikio makubwa sana kwa upande...kumzidi Messi ambaye kimsingi anabebwa na mengi
we nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
 
we nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
Ni maoni yake ndugu...msimu uliopita messi alikaa nje sana ila bado Neymar na Suarez walisaidia timu mpaka ikabeba kikombe cha laliga.

Ushindi unakua mgumu kwa sababu timu imeundwa kupitia Messi
 
Soka haikupendi.....pengine jaribu mdako au lede.
we nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
 
kila mtu huwa naona jinsi barca inavyopwaya kama messi hayupo alafu leo unaleta hoja kuwa sijui akina inesta yawezekana ni kweli messi anawategemea wachezaji uliowataja lakini sio sana kama ambavyo wao wanamtegemea messi hvyo ukitaka kuweka hitimisho hao wachezaji ndio wanamtegemea messi kuzidi yy anavyowategemea.
pili insu ya kukaba utakuwa unasimsingia messi ni tofauti na ma forward wengine kama Ibra,CR7 messi anakaba na mara nyingi huwa anatoka na mpira nyuma kabisa kutokana na uwezo wake wa kupiga chenga hiyo ina mpa advantage tofauti na wenzake
 
Mafanikio ya timu hupatikana kwa ushirikiano, hata hivi asipokuwepo mesi matokeo hua sio mazuri. Na akicheza messi peke ake pia hayatakua mazuri
Tatizo timu imeundwa kupitia Messi mfano unaeza kuta Neymar/Suarez wako kwenye nafasi nzuri ya kufunga ila wanampa pasi Messi

Napenda teamwork
 
we nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
[emoji115] "....bishana mpaka kufa...." na wewe ni wa slogan hiyo nadhani.
 
Ebu fananisha mafanikio aliyonayo kupitia timu ya taifa na yale ya klabu....

Tena nikienda mbali...kucheza klabu moja karibu na zaidi ya wachezaji sita uliokua nao kisoka timu moja, ambao kimsingi ni bora(viungo) kumechangia sana yeye kuwa hapo alipo.

Ibrahimovic na CR7 ni mfano wa watu wenye mafanikio makubwa sana kwa upande...kumzidi Messi ambaye kimsingi anabebwa na mengi
haters
 
kila mtu huwa naona jinsi barca inavyopwaya kama messi hayupo alafu leo unaleta hoja kuwa sijui akina inesta yawezekana ni kweli messi anawategemea wachezaji uliowataja lakini sio sana kama ambavyo wao wanamtegemea messi hvyo ukitaka kuweka hitimisho hao wachezaji ndio wanamtegemea messi kuzidi yy anavyowategemea.
pili insu ya kukaba utakuwa unasimsingia messi ni tofauti na ma forward wengine kama Ibra,CR7 messi anakaba na mara nyingi huwa anatoka na mpira nyuma kabisa kutokana na uwezo wake wa kupiga chenga hiyo ina mpa advantage tofauti na wenzake
kuna watu hawaangalii mpira ila wanasubiri matokeo wabishane
Messi akiwa uwanjani ndio anaamua matokeo
 
kila mtu huwa naona jinsi barca inavyopwaya kama messi hayupo alafu leo unaleta hoja kuwa sijui akina inesta yawezekana ni kweli messi anawategemea wachezaji uliowataja lakini sio sana kama ambavyo wao wanamtegemea messi hvyo ukitaka kuweka hitimisho hao wachezaji ndio wanamtegemea messi kuzidi yy anavyowategemea.
pili insu ya kukaba utakuwa unasimsingia messi ni tofauti na ma forward wengine kama Ibra,CR7 messi anakaba na mara nyingi huwa anatoka na mpira nyuma kabisa kutokana na uwezo wake wa kupiga chenga hiyo ina mpa advantage tofauti na wenzake
Nakubiliana na Wewe ila Rakitic mwenyewe alikiri kucheza na wachezaji type iyo lazima uwe na extrapower
 
Back
Top Bottom