Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

makipa bora wote waliokutana na Messi wamepata tabu halafu messi anapiga hatrick mechi kubwa kwa kupenda sifa
hatrick yake ya 1 akiwa na miaka 19 anaifunga madrid wachezaji wote uliowataja hawakuwepo uwanjani siku hiyo
 
1477069365890.jpg
MTOA POST WEWE NI HAMNAZO
 
makipa bora wote waliokutana na Messi wamepata tabu halafu messi anapiga hatrick mechi kubwa kwa kupenda sifa
hatrick yake ya 1 akiwa na miaka 19 anaifunga madrid wachezaji wote uliowataja hawakuwepo uwanjani siku hiyo
Kufunga hatrick sio sababu kwani alichukua mpira kutoka golini mpaka akaenda kufunga??

Nakumbuka alikua anapokea tuzo ya ballon dor hakuacha kumtaja Xavi kabla hajastaafu...
 
Kufunga hatrick sio sababu kwani alichukua mpira kutoka golini mpaka akaenda kufunga??

Nakumbuka alikua anapokea tuzo ya ballon dor hakuacha kumtaja Xavi kabla hajastaafu...
kumbe wewe ni 1/4
 
Kufunga hatrick sio sababu kwani alichukua mpira kutoka golini mpaka akaenda kufunga??

Nakumbuka alikua anapokea tuzo ya ballon dor hakuacha kumtaja Xavi kabla hajastaafu...
Upo ushahidi wa XAVI kushangazwa na Messi kubeba tuzo hiyo mwaka fulani....kimsingi hakukubaliana na jambo hilo.
 
Ebu fananisha mafanikio aliyonayo kupitia timu ya taifa na yale ya klabu....

Tena nikienda mbali...kucheza klabu moja karibu na zaidi ya wachezaji sita uliokua nao kisoka timu moja, ambao kimsingi ni bora(viungo) kumechangia sana yeye kuwa hapo alipo.

Ibrahimovic na CR7 ni mfano wa watu wenye mafanikio makubwa sana kwa upande...kumzidi Messi ambaye kimsingi anabebwa na mengi
Chuki tu..hamna jipya.. Muulize huyo zlatan nani mchezaji bora atakujibu..
 
Sio mesi tu, wachezaji wote wanafunga, angekua mesi peke yake, suares asingeweza kufikisha magoli 30 hata msimu mmoja
Sijakataa wengne hawafungi ila timu imeundwa kupitia Messi whenever you get the ball pass to messi...
 
Chuki tu..hamna jipya.. Muulize huyo zlatan nani mchezaji bora atakujibu..
Kila mtu anaelewa nini kinaendelea DRC....ila wewe nikikuuliza, nani raisi wa DRC? jibu lako litakuwa?

Wapo wanaoamini kuwa magu hakushinda kihalali....ukiwashtukiza kwa swali, prezdaa wa hapa ni nani, watajibu??? n.k, n.k
 
Back
Top Bottom