Haaaa haaa hiyo inaitwa fake shots , anafanyaga messi tu dunia hii ,, kipa aliruka akajua anadaka mpira then messi akauwahi na kuuondoa kwenye position , messi ana acceleration ya hali ya juu anakuwekea mpira ukileta tamaa ukaurukia anauwahi na kuuondoa then unabaki chini .. hii anawafanyia mabeki sana sana wale wanaopenda tacklingKaka uliona lile Goal lake la 3 dhidi ya Man City jinsi alivyomfanya kipa?
umaridadiMessi atoke nje ya Barca tuone umalidadi wake. ...
we acha kutumia hiyo Tecno yako tuone kama utaweza kuingia jf?.kwanini mnalazimisha aende timu dhaifu? unajua Pele alicheza ligi ngapi?kama kweli messi ni mwanaume mwambie ahame ligi kama cr7 na kadabra na akiweza kuperfom kama ilivo baca basi hata gaucho hamuwezi uyo ness messi
nafikiri unafahamu kuwa tiki-taka ni advanced form of total football.Kwenye swala la uchezaji sijakataa kwamba Messi sio mchezaji mzuri, Messi anauwezo wa kuamua matokeo muda wowote ule.
Sidhani kama watu wamelewa Rakitic kamanisha nn hebu tafuta iyo habari usome sio kwamba messi ni mchezaji mbaya hapana ila unapocheza nao inabd muwe makini muda wote
Ukiangalia goli nyingi za barca anafungwa counter attack timu pinzani zinatumia mapungufu ya ukabaji wao na kupiga counter attack
Unajua lengo la uholanzi kuja na mfumo wa TOTAL FOOTBALL ni ili wachezaji wote wakabe na kushambulia ili kupunguza mzigo kwa mabeki na Viungo.
Naimani umenielewa halafu soma Kwanza Rakitic alimaanisha nini
Ooh asanteumaridadi
Ooh asanteumaridadi
Mpira wa Spain ni Tactic watu wanakaba njiaOoh asante
wewe kweli hamnazoHawapo na ndio maana messi alistaafu timu ya taifa
kwani man u wakati anaichapa ilikuwa ndani ya jiji la BarcelonaMessi atoke nje ya Barca tuone umalidadi wake. ...
Ligi ya EPL haina tofauti na VPLMpira wa Spain ni Tactic watu wanakaba njia
Mpira wa kiingereza ni Physic watu wanakaba mtu na nguvu nyingi(man to man game)
Akija ligi kama ya uingereza ataperform ila atapata ugumu.
Mfano Arsenal wenger kajaribu mfumo wa pasi nyingi ila kashindwa kuchukua kikombe
Kaja D mateo na mfumo wa kupaki kabeba UEFA
Timu nyingi zinazobeba Vikombe uingereza hazina mambo mengi Pasi tano Goli mwisho wanachukua kikombe
Ligi ya EPL haina tofauti na VPLMpira wa Spain ni Tactic watu wanakaba njia
Mpira wa kiingereza ni Physic watu wanakaba mtu na nguvu nyingi(man to man game)
Akija ligi kama ya uingereza ataperform ila atapata ugumu.
Mfano Arsenal wenger kajaribu mfumo wa pasi nyingi ila kashindwa kuchukua kikombe
Kaja D mateo na mfumo wa kupaki kabeba UEFA
Timu nyingi zinazobeba Vikombe uingereza hazina mambo mengi Pasi tano Goli mwisho wanachukua kikombe
Messi vs ArsenalMessi atoke nje ya Barca tuone umalidadi wake. ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] NAOMBA HII THREAD IFUNGWE MAANA UMEMALIZA KILA KITUMessi vs Arsenal
Messi vs Man UTD
Messi vs Man City
Messi vs Chelsea
Messi vs PSG
Messi vs Bayern Munchen
Messi vs R Madrid
Huko kote kacheza na alionyesha kiwango cha hali ya juu, sasa unapotaka ahame unataka aje Acheze na Lipuli & Mbao FC ndio udhibitishe umaridadi wake?.
naona umejifanya haujaelewa nilichokuwa namaanisha........Messi vs Arsenal
Messi vs Man UTD
Messi vs Man City
Messi vs Chelsea
Messi vs PSG
Messi vs Bayern Munchen
Messi vs R Madrid
Huko kote kacheza na alionyesha kiwango cha hali ya juu, sasa unapotaka ahame unataka aje Acheze na Lipuli & Mbao FC ndio udhibitishe umaridadi wake?.
jifanye haujaelewa.kwani man u wakati anaichapa ilikuwa ndani ya jiji la Barcelona