Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

Bila shaka nchi ya Tanzania ina kinga kali sana

Sema ulichotaka kusema....siamini kama hujui kuwa Samia ndio sio raisi wa kuchaguliwa hapo, na huyo uliyemuacha pengine ndo anamchango mkubwa kwenye mshikamano kwa asilimia kubwa ya wananchi wa sasa, alileta elimu dunia kidogo, watu wakafunguliwa macho.
Mgombea mwenza wa mgombea urais huwa anagombea nini!?
 
Watanzania wengi hawajui kama Tanzania ndio Chanzo cha Baraka kwa mataifa yote na ndio Taifa Baba kwa kuwa ufalme wa Mungu Baba umehamia Tanzania na sio Taifa mwana tena (Israel).

Ukisoma aliyosema Yesu miaka 2000 iliyopita ndio yanayotokea sasa katika;-

Mathayo 21:43
“Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu(Israel), nao watapewa taifa lingine (Tanzania) lenye kuzaa matunda yake.”
 
Mgombea mwenza wa mgombea urais huwa anagombea nini!?
Hana anachogombea nadhani! Labda tuanzie kwenye utaratibu wa kumpata mgombea mwenza kwanza ili tujue kama ana maana hiyo unayotaka kuisema!
 
Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya nchi inayoonekana hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia sheria yake imetukinga watoto wake.

Ukipitia twakimu kwa miaka nyuma kwa nchi majirani; Mozambique, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya utanielewa kipi namanisha naposema Kinga ya nchi hii sio ya mchezo.

Kabda ya yote ngoja niwapatie tu majanga ya rejareja ambayo majirani zetu wanaishi nayo.

Msumbiji - kimbunga freddy 2023, kipindupindu 2022, kimbunga gombe 2022, kimbunga kenneth 2019.
Malawi - cyclone freddy 2023, cholera 2022, polio 2022, ukame 2018-22, kimbunga combe.

Zambia - mafuriko, ukame 2018-2022, kipindupindu 2023.
DRC - mafuriko 2022, volcano 2021, ebola 2022, kipindupindu 2022, polio 2018, vita wenyewe kwa wenyewe. Hii nchi wakazi wake wanajua kila aina ya majanga.
Burundi - mafuriko 2021, maporomoko 2020, kipindupindu 2019.
Rwanda - mafuriko 2021, upepo mkali 2021, viwavi 2017, HINI 2009
Uganda - mafuriko 2022, nzige 2019, kipindupindu 2018, ebola 2022
Kenya - mafuriko 2021, ukame 2014-23, nzige 2019, viwavi 2017, kipindupindu 2022, yelow fever 2022, dengue 2021, polio 2018. Inashangaza sana Wakenya na kingereza chote lakini bado wanahaha na kipindupindu.


Tofauti na majirani zetu enyi watanzania shuhudieni jinsi mama yetu Tanzania alivyotulinda na haya majanga.

Tanzania - alitaka kuja Jobo mwaka 2021 akapulizwa, Kenneth naye mwk 2019 alifanywa hivyo hivyo, naye jiwe akapambana na ebola na zika. Hii nchi haina mfano dunia nzima, watanzania sisi japo hatujui sisi sio wa kubezwa hata kidogo, bila shaka tuna sehemu yetu kwenye ufalme wa Mungu.

Lakini, ndugu zangu mda mwingine napatwa na mashaka vikundi na usalama mkubwa uliopo kwenye amani ya nchi yetu. Ukitazama kenya, Mozambique, uganda, rwanda, congo, burundi hali ni tafrani wao kwa wao wanafanyiana unyama. Na siku zote ndugu wakigombana kuna adui anayewachonganisha kwa kutumia sababu za siasa, malighafi au dini ili apate maslahi yake. Sasa mbona huyo adui hajatugombanisha mpaka leo watanzania ana mpango gani na sisi, au akishawamaliza anakuja kuishi hapa nchini kwetu.

Labda usalama huu kutoka kwa majanga makubwa ni kutokana na kuwa na nafuu ya uongozi wenye kufuata haki za kisheria. Hivyo kinga ni kama baraka, tumekuwa na nyerere, mwinyi, mkapa, Kikwete, Samia. Kama alivyobarikiwa Ibrahim wa Israel basi nasi huko nyuma kuna mwamba tunatembea na baraka zake. Inashangaza sana kasikazini hatari kusin hatari mangaribi hatari na mashariki wapo ndugu zetu na marafiki zetu wazanzibari na sisi tupo salama katikati. Tuwapende sana wazanzibari, ukiangalia kipindi hiki tunapata kipimo cha kipimo chetu, tunafurahi , watoto wetu wanatoka nje wanaruka ruka kwenye matonye ya mvua yasio na hila yoyote ile.

Ewe mama yetu Tanzania tunakushukuru sana sisi watoto wako, ingawa tunakukwangua udongo wako na kuwapa wengine tunaomba utusamee.

Picha la kutisha kutoka shambani

 
Kinga iliyonayo nchi ya Tanzania dhidi ya Majanga ni kali sana, hakuna nchi ya nchi inayoonekana hapa Afrika mashariki. Haijalishi janga liwe limetokea kiasili au limesababishwa na mwanadamu, nchi yetu kwa kutumia sheria yake imetukinga watoto wake.

Ukipitia twakimu kwa miaka nyuma kwa nchi majirani; Mozambique, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya utanielewa kipi namanisha naposema Kinga ya nchi hii sio ya mchezo.

Kabda ya yote ngoja niwapatie tu majanga ya rejareja ambayo majirani zetu wanaishi nayo.

Msumbiji - kimbunga freddy 2023, kipindupindu 2022, kimbunga gombe 2022, kimbunga kenneth 2019.
Malawi - cyclone freddy 2023, cholera 2022, polio 2022, ukame 2018-22, kimbunga combe.

Zambia - mafuriko, ukame 2018-2022, kipindupindu 2023.
DRC - mafuriko 2022, volcano 2021, ebola 2022, kipindupindu 2022, polio 2018, vita wenyewe kwa wenyewe. Hii nchi wakazi wake wanajua kila aina ya majanga.
Burundi - mafuriko 2021, maporomoko 2020, kipindupindu 2019.
Rwanda - mafuriko 2021, upepo mkali 2021, viwavi 2017, HINI 2009
Uganda - mafuriko 2022, nzige 2019, kipindupindu 2018, ebola 2022
Kenya - mafuriko 2021, ukame 2014-23, nzige 2019, viwavi 2017, kipindupindu 2022, yelow fever 2022, dengue 2021, polio 2018. Inashangaza sana Wakenya na kingereza chote lakini bado wanahaha na kipindupindu.


Tofauti na majirani zetu enyi watanzania shuhudieni jinsi mama yetu Tanzania alivyotulinda na haya majanga.

Tanzania - alitaka kuja Jobo mwaka 2021 akapulizwa, Kenneth naye mwk 2019 alifanywa hivyo hivyo, naye jiwe akapambana na ebola na zika. Hii nchi haina mfano dunia nzima, watanzania sisi japo hatujui sisi sio wa kubezwa hata kidogo, bila shaka tuna sehemu yetu kwenye ufalme wa Mungu.

Lakini, ndugu zangu mda mwingine napatwa na mashaka vikundi na usalama mkubwa uliopo kwenye amani ya nchi yetu. Ukitazama kenya, Mozambique, uganda, rwanda, congo, burundi hali ni tafrani wao kwa wao wanafanyiana unyama. Na siku zote ndugu wakigombana kuna adui anayewachonganisha kwa kutumia sababu za siasa, malighafi au dini ili apate maslahi yake. Sasa mbona huyo adui hajatugombanisha mpaka leo watanzania ana mpango gani na sisi, au akishawamaliza anakuja kuishi hapa nchini kwetu.

Labda usalama huu kutoka kwa majanga makubwa ni kutokana na kuwa na nafuu ya uongozi wenye kufuata haki za kisheria. Hivyo kinga ni kama baraka, tumekuwa na nyerere, mwinyi, mkapa, Kikwete, Samia. Kama alivyobarikiwa Ibrahim wa Israel basi nasi huko nyuma kuna mwamba tunatembea na baraka zake. Inashangaza sana kasikazini hatari kusin hatari mangaribi hatari na mashariki wapo ndugu zetu na marafiki zetu wazanzibari na sisi tupo salama katikati. Tuwapende sana wazanzibari, ukiangalia kipindi hiki tunapata kipimo cha kipimo chetu, tunafurahi , watoto wetu wanatoka nje wanaruka ruka kwenye matonye ya mvua yasio na hila yoyote ile.

Ewe mama yetu Tanzania tunakushukuru sana sisi watoto wako, ingawa tunakukwangua udongo wako na kuwapa wengine tunaomba utusamee.

Picha la kutisha kutoka shambani

Hizo ni ishara za Mwisho wa nyakati, una Heri wewe uliye yaona na kuyatafakari haya. Soma Biblia Mathayo 24.
 
Hujaimention corona, hujamuweka Magufuli kwenye list ya viongozi waliopata kuiongoza hii nchi. Hii thread yako imekaa kimkakati sana. Uliona ukiiweka corona lazima utamtaja Magu, ukaona bora uvisahau vyote kwa makusudi. WEWE NI MNAFKI!
Mpumbavu hujifanya kusahau baadhi ya matukio hata kama anayakumbuka.
 
Tz tunepata hizo shida

Refer KIPINDUPINDU
Refer Mabomu ya Mbagar na Gomz
Refer Meli kuzama(Bkb, Mv Spice)
Refer Ongezeko la Ajari
Refer Homa ya Dengue

tunapitia majanga ingawa ni INDIRECT way (mostly ni Man Made disasters)
 
NA CORONA PIA ILITOKOMEA CHINI YA JEMEDARI JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI.

Najua hautaki kumtaja Magufuli kwa sababu roho lako limejaa ufisadi mtupu.

Mungu asante kwa kutupa Magufuli, KWA HAKIKA NCHI IMEPONA KWELI KWELI.

MAJIZI na MADALALI YA CHANJO sijui yalitokomea wapi!!!?? Hatukuyaona tena tangiapo!!!
Katikati ya corona akaenda wapi?
 
Hana anachogombea nadhani! Labda tuanzie kwenye utaratibu wa kumpata mgombea mwenza kwanza ili tujue kama ana maana hiyo unayotaka kuisema!
Karatasi ya mpiga kura inakuwa na picha mbili,KANUSHA!
Zote zinatengewa chumba kimoja Cha kuweka alama ya vema au vyovyote.
Hivyo SSH alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais Kwa kura zile zile alizopata yule Rais wako na baadaye Machi 19, akaapishwa kuwa Rais Kwa kura zile zile za awali alipokuwa mgombea mwenza.

Habari hii bila shaka utakuwa ni mkuki Kwa wengi
[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom