Bila tawala za sasa za Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait kuondolewa madarakani, Israel itaendelea kushikilia ardhi ya Palestina kwa muda mrefu

Mwarabu hapigani na Myahudi kabisa, nani alikudanganya kuna ugomvi wa Mwarabu na Myahudi, kuna ugomvi wa Mazayuni (hawana uyahudi hata chembe) na Waarabu.
Maamuma huwezi elewa
 
Wewe si ndiye uliyeongoza sherehe humu jamvini siku Israeli iliposhambuliwa??
Alaf mwisho wa siku akajiunga na waandamanaji waliobeba mabango makubwa yameandikwa.
"Stop War in Gaza"
huku michozi ndoo nzima ikimbubijika.
Kashikiwa akili huyo.
 
Maamuma huwezi elewa
AlhamduliLlah, wewe huelewi myahudi nani, mhebrania nani, zayuni nani.

Hakuna katika utawala wa kizayuni ambae ni myahudi. Mfano kubwa lao, nyau ni mpolish, hata jina kabadili lifanane fanane na la Kiyahudi. Unajuwa jina lake la kweli?
 
AlhamduliLlah, wewe huelewi myahudi nani, mhebrania nani, zayuni nani.

Hakuna katika utawala wa kizayuni ambae ni myahudi. Mfano kubwa lao, nyau ni mpolish, hata jina kabadili lifanane fanane na la Kiyahudi. Unajuwa jina lake la kweli?
vizuri umedhihirisha umaamuma wako kwa maandishi kabisaaa
 
Yani wewe Nchi Yako maskini uwaamshe Nchi tajiri kama Saudi Arabia, Qatar,Misri, Ilimu ya madrasa inakupeleka Vibaya
Nchi haiiamshi nchi, raia wanaoamshwa, usifikiri kila raia wa nchi hizo ni tajiri.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Umeshawahi kumsikia Shah wa Iran? Yuko wapi sasa?

Umeshawahi kumsikia Mfalme farouq? Yuko wapi sasa?

Umeshawahi kumsikia As Senussi? Yuko wapi sasa?

Umeshawahi kuelewa kuwa utawala wa Jordan wa sasa ndiyo pia ukoo huo ulikuwa unaitawala Iraq?

Soma kijana kabla hujakuruouka.

Unafahamu kuwa utawala wa sasa hivi wa Saudi Arabia ni wa kizayuni?

Unafahamu kuwa biashara kubwa zote za UAE zina mkono wa mazayuni? Unajuwa kuwa mazayuni UAE wana haki kuliko raia wa nchi zingine za Kiarabu?
 
Hapana, sitaki kuufanya huu uzi kuwa tafsiri ya Qur'an, anayejiita Al Maktoum hana elimu ya Qur'an eye ana kopi na kupesti kutoka mtandaoni, anajidanya tu.

Hana tofauti na wewe likija suala la Qur'an.
 
Teh kwa hiyo tawala za nchi karibuni nane ziondolewe ili nchi moja Palestina iwe huru?? hizi ni akili za wapi?
Hapana, kwanza ziwe huru zenyewe ndiyo ziwe na kauli. Sasa hivi hizo nchi zote zinatawaliwa na mazayuni ama "directly" ama "indirectly".

Nini usichokielewa hapo?
 
Boko Haram!!!!😭😭😭
 
Sema nyie jamaa huwa mnapenda sana lawama sijui kwanini.
si mjikazee mfunge kanzu kibwebwe..
 
Hapana, kwanza ziwe huru zenyewe ndiyo ziwe na kauli. Sasa hivi hizo nchi zote zinatawaliwa na mazayuni ama "directly" ama "indirectly".

Nini usichokielewa hapo?
Wenyewe wanapoenda!
Ashki majunun
 
Boko Haram!!!!😭😭😭
Hao washajulikana ni kina nani. Walioianzisha fitna ya Boiko Haram ndiyo hao hao waliomuuwa Hanniyeh Iran na kukaa kimya kama siyo wao.

Ni fitnah tu.

"divide and rule".
 

Na wewe ndio utaongoza kwenda kuwang'oa hizo tawala? Maana uongo upe muda tu. Kule mbinguni ambako mnapenda kukusifia, kumbe sio mbinguni. Ni duniani kama tulipo sisi wengine.

Waarabu na waisrael lazima wakae pamoja. Ili amani ya kweli iwepo.

Nyinyi mnaopenda kuwasifia waarabu, kwanza wao kwa wao hawapendani, ndio waje wawapende wengine? Haipo hiyo.

Na mwisho kabisa, Mbinguni kila mtu anaenda peke yake. Haya mambo ya kuhamasisha makundi makundi ni kupotezana bila sababu
 
My take; Shambulizi la kulipiza kisasi la Iran halitaelekezwa kwa mazayuni kama wengi wanavyodhani, litaelekezwa kwa vibaraka wa mazayuni.

Iran hana sababu yoyote ya kuwashambulia moja kwa moja mazayuni kwa sasa. Mazayuni Hams na hezbollah ipo mgongoni kwao inawatosha.

Iran sasa atadeal na vibaraka wa Mazayuni. Tutegemee kufungwa njia za uchumi wa Mazayuni na vibaraka wake mdogo mdogo ka a tulivyojifunza kutoka Afghanistan, na kabla yeke, Vietnam.
 
Huyu ajuza sasa naona amwanza kudata,wamemlaumu mmarekani sasa wameanza kulaumiana wao,shenzi kabisa.

Wakati tunasema hii DP World vip, wakasema sisi wadini. Baadae wanagundua kumbe ni biashara za wale wale. Kurudi nyuma hawawezi. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Fukuto lililopo huko sasa hivi hulielewi.

Huu siyo ushabiki wa Yanga na Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…