Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Lile dude huwa nalikubali sana aiseeAlitengeneza Ammywave kutoka Switch Records
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile dude huwa nalikubali sana aiseeAlitengeneza Ammywave kutoka Switch Records
Ile beat ilikuwa ya Tuffy,Beat atengeneze s2kizzy ila Kamix laizerrrrrr
Binafsi sidhani kama atajatoa beat Kali kama tetema
Jamaa pale alitengeneza beatAlitengeneza Ammywave kutoka Switch Records
Alitisha sana kijana.Jamaa pale alitengeneza beat
SanaAlitisha sana kijana.
Beat imeshibaAlitisha sana kijana.
Wajitahidi tuwafahamu sasa,,,Kwanza hagongi beat kali kumshinda Franken na Duke
Hata kumfikia Owe bado
Wakina Uno wanakunyongea beat nzito unaweza kudhani kama ndio proffesional yao kumbe ni rappers tu
Huu mtindo wa kuwarekodia mastaa bure umemsaidia sana kupata jina. Maana wasanii wadogo na walipo nje wanapagawa sana na hits alizotengeneza.Kwa sasa s2kizzy anakimbiza
Ila kazi zake ni nzuri piaHuu mtindo wa kuwarekodia mastaa bure umemsaidia sana kupata jina. Maana wasanii wadogo na walipo nje wanapagawa sana na hits alizotengeneza.
Ukijitahidi kusikiliza vitu conscious utawafahamu tuWajitahidi tuwafahamu sasa,,,
Weusi walizinguana na Nahreel kwakupenda mbeleko S2keez japo sio producer mwenye viwango kwangu ila na wasanii wawe wanalipaKuna wahuni wanamsumbua kaona awasanue wanataka kufanya nae kazi wamlipe 4.5M view kwan shida ipo wapi?
Hivi huyu ni producer au beat maker tu
Ova
Ni haki yakeAnasemajeeeeeee one song per tshs 4.5m [emoji91]
Wao ndiyo wajitahidi waohitaji masoko, the end is what justifies the means.Ukijitahidi kusikiliza vitu conscious utawafahamu tu
Huyo ni beat maker tu hata mixing hawez kufanyaHivi huyu ni producer au beat maker tu
Ova