ugalimaharage
Member
- Aug 29, 2017
- 43
- 27
Inadaiwa hata hio idea ya window iliibwa kwa bwana Steve jobsAbrahamovich nafaham umafia wake na Rafiki yake Putin. Bill Gates sifahamu chochote mi nilidhani amepitia njia za kawaida tu bila makandokando yoyote, kwani ana tuhuma gani?
Uongo mwingine huu hapa. Bill Gates akishirikiana na Paul Allen na wengine walitengeneza OS ya computer (windows), Steve Jobs, akishirikiana na Steve Wozniak na wengine walitengeneza Computer (Mackintosh).Inadaiwa hata hio idea ya window iliibwa kwa bwana Steve jobs
Kwamba waislam masikini wanaupenda sana umasikini kiasi cha kutotaka kuzifuata hizo njia?Sasa umebadili wimbo, siyo "umafia" tena?
Kijana hakuna utajiri wa namna hizo, utajiri ni mawazo yako tu.
AlhamduliLlah Uislam unafundisha namna kuwa utajiri, wanaofata njia hizo wanatajirika tu, hakuna cha kuwazuwia.
Kwanza ni lazima uelewe, kuwa tajiri siyo kuwa na pesa zisizokuwa na kazi.
Uko sahihi mkuu. Utajiri ni TABIAKwamba waislam masikini wanaupenda sana umasikini kiasi cha kutotaka kuzifuata hizo njia?
Watu wa dini bado mnaishi zama za kitumwa sana.
Hapa sasa wewe unazungumzia Umaskini,Kwanza ni lazima uelewe, kuwa tajiri siyo kuwa na pesa zisizokuwa na kazi.
Mrembo, wewe kutomuona au kusikia akifanya hivyo haimaanishi hafanyi. Hayo ni mambo ya siriniSijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
Alimtoaje kafara kwenye mbio za magari ?Yeye si ana utajiri wa maagano? Tuachane na hao wenye miungu yao. Umesahau alivyomtoa mwanawe kafara kwenye mbio za magari?
Sasa kama umafia wa matajiri umekua ni siri hivyo, Nyinyi mmejuaje takwimu za matajiri ambao ni mafia ?Nani kakuambia umafia wa matajiri utausikia direct??
...umafia wa watu wenye fedha nyingi upo very technical!!!
Utaishia kusikia za juu juu tu, na mengine ya kimafia huwezi kuyasikia popote hata kama mhusika ni mtu wako wa karibu kiasi gani, iwe ni mtu wa smile kila wakati, moyo wa huruma n.k!!
Aisee..AlhamduliLlah Uislam unafundisha namna kuwa utajiri, wanaofata njia hizo wanatajirika tu, hakuna cha kuwazuwia.
Wewe umepata utajiri kiasi gani kwa kutumia hii mbinu?Qur'an 2:261. Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua. 261
Mavitabu ya somo gani?sie usiku tuna choma nyama na kuhangaika na pombe na upuuzi mwingine...yeye kitambo yupo chumbani na mavitabu yake.
Huyo bibi ametawaliwa na udini + ujingaAnavyo lala kwake anavyo kula na kuzagamuana na kusali kutambika kwake vyote unapita nae kwenye hzo njia..? Usiwe shahidi wa binadamu yeyote ambaye sio wewe mwenyewe
Cha ajabu,huo muda wa kujua mavitabu yake hatuna,.....na ndio sababu twakosa maarifa.Mavitabu ya somo gani?
Majungu,fitna,chuki,wivu na maneno mkumboWeeeeee nenda kaulize wafanyakazi wake anavyowanyoosha
Waliotengeneza program za macrosoft za Bill Gates ni Indian mathematics professors na Gates kwa ajiri 40% wahindi so ni mjanja mjanja tuUongo mwingine huu hapa. Bill Gates akishirikiana na Paul Allen na wengine walitengeneza OS ya computer (windows), Steve Jobs, akishirikiana na Steve Wozniak na wengine walitengeneza Computer (Mackintosh).