Una kichwa kigumu balaa, nimekwambia aliyeamua hayo ndio anaeamua hatma ya tz, NI ALLAH pekee na sio ccmSasa inahusiana nini na andiko langu.kwani nani ambaye hatakufa? Nani ataishi milele kwenye Dunia hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kichwa kigumu balaa, nimekwambia aliyeamua hayo ndio anaeamua hatma ya tz, NI ALLAH pekee na sio ccmSasa inahusiana nini na andiko langu.kwani nani ambaye hatakufa? Nani ataishi milele kwenye Dunia hii?
Dada umekosa kazi za kufanya na kuanza kufanya kampeni, mnalipwa?CCM ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote akiwemo Mbowe na genge lake.
Ulipozaliwa ulijua kama utaikuta ccm? au umeijua ukubwani?Ndugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na nam
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nchi inapoteza hela kutengeneza roboti wakati Lucas ni roboti wa CCM.Ndugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia katika vyama hivyo nafikia hitimisho kuwa kama siyo uwepo
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndio lengo la wale nyumbu kuigawa Nchi hii kikabila 😀😀Ndugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na a utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😃😃😃Acha utani wako wewe kwenye mambo ya msingi.Nchi inapoteza hela kutengeneza roboti wakati Lucas ni roboti wa CCM.
Kumbe wale waliokuwa wakiimba Bungeni kuwa atake asitake atawale milele ni hao unaowaita wapinzani?Ndugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwamba hata baada ya MEMBE kuwa na mtizamo tofauti aliendelea kuwa CCM na 2020 aligombea km mgombea mwenza wa kiti cha Urais kwa ticket ya CCM.Ndugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia katika vyama hivyo nafikia hitimisho kuwa kama siyo uwepo wa CCM Madarakani basi Taifa hili lingekuwa limesambaratika na kugawanyika vipande vipande.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna anayeweza kuongoza Taifa letu zaidi ya kile kilichoandikwa na kutamkwa katika katiba yetu.Kumbe wale waliokuwa wakiimba Bungeni kuwa atake asitake atawale milele ni hao unaowaita wapinzani?
Kama hii ndio sifa ya kuwa CHAWA basi endeleeni na UCHAWA WENU.
Wewe umeshindwa nini kujikwamua kiuchumi hadi umejivua utu wako na kuwa chawa?Maendeleo yanaletwa na wewe mwenyewe mwananchi.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa wewe kujikwamua kiuchumi.
Hakuna chama chenye uwezo wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na CCM katika sanduku la kura. Hii ni kutokana na ubora wa sera na ajenda zake zenye kugusa maisha ya watu wa rika na makundi yote.Labda ulitaka kusema,bila vyombo vya Ulinzi na Usalama,CCM kingekuwa kilishaondoka madarakani kwa njia ya kura na kusambaratika kabisa!
Baba yako angejua kuwa ni tutusa hivi asingekubali kuishi kimasikini,angekutoa ndagu aondokane na umasikini.Hakuna chama chenye uwezo wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na CCM katika sanduku la kura. Hii ni kutokana na ubora wa sera na ajenda zake zenye kugusa maisha ya watu wa rika na makundi yote.
Sawa nashukuru sana na ubarikiwe kwa mawazo yako.Baba yako angejua kuwa ni tutusa hivi asingekubali kuishi kimasikini,angekutoa ndagu aondokane na umasikini.
Naunga mkono hojaNdugu zangu Watanzania,
Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia katika vyama hivyo nafikia hitimisho kuwa kama siyo uwepo watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna mahala katiba imesema watumishi wa umma wasiongezewe mishahara?Hakuna anayeweza kuongoza Taifa letu zaidi ya kile kilichoandikwa na kutamkwa katika katiba yetu.