Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Kwa kukusaidia tu. Israel imetanuka mpaka karibu nchi zote unazosema. Hawako fiscally Lakin mentally. Wanaojua wamenielewa. Popote alipo mmarekan au muingereza yupo myahud. So kila sehem wamepachika system zao na ndio kinachowasaidia usalama. We huon Houth wanapiga meli za Israel mmarekan na muingereza wanaingilia. Hii dunia inaendeshwa na Babylonian system ambazo nyingi zimewekwa na Hao Jews mkuu. Usiumize sana kichwa we tafuta future ya watoto wako Mzee.
Yaani asiumize kichwa unamaanisha na yeye anapambana na hao Jews, USA na NATO??😀😀


Iko wazi kua Jews, USA na NATO ni wakala wa shetani katika kufanikisha kile alichomuahidi MWENYEZIMUNGU kua atahakikisha anawapotosha binadamu wake na ndio maana USHOGA unapigiwa chapuo na hao Jews, USA na NATO huo ni mfano mmoja ulio wazi kabisa

Na watu wa MUNGU nao watapambana mpaka siku ya mwisho ili watu wajue ukweli na uongo

That's all about.
 
Bado uliyoandika yanaonesha upeo mdogo wa kufikiri kichwani kwako. Yani upeo mdogo wa kuamini kuwa kila anaepingana na Israel ni muislam. Upeo wako mdogo unashindwa kufahamu kuwa serikali ya Afrika Kusini iliyoifungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbali inaongozwa na wakristo 99%.

Upeo wako mdogo umekufanya ushindwe kujua kwamba kuna watu kama kina hayati Desmond Tutu walikuwa wanaijua bibla zaidi ya vile uijuavyo wewe myahudi wa kimatumbi, lakini kwa sababu ya haki na uhalisia wa kile kinachoendelea Palestina aliamua kusimama upande wa wapalestina na kuweka mihemko yake ya kidini pembeni. Hata huko Marekani kuna maseneta wazungu tena wakristo ambao hawapendezewi na kile kinachoendelea na Israel huko Palestina. Sasa hayo mambo ya dini katika swala nyeti kama hili yanatoka wapi wakati Palestina kwenyewe kuna waarab na wayahudi wakristo, halikadhalika Israel kuna waarab pia ambao ni wasrael na pia waislamu. Hivyo kuingiza dini hapa ni kukosa hoja ya msingi.


Kuna mambo ukitanguliza mihemko ya dini mbele basi hauwezi kuona ukatili, mateso na mauaji wanayopitia wale wasiokuwa wa dini yako. Hivyo sio kila anae support Israel ni mkristo au anaepingana nayo ni muislamu, huu unakua ni ujinga na upeo mdogo wa kufikiri.

Tukija katika swala sijui hilo la waarab kuwauwa watu weusi sijui liliingiaje, maana kama kuuwa watawala wote waliuwa wakiwemo wazungu.

1. Chief Mkwawa aliuwawa na nani?
2. Kinjekitile aliuwawa na nani?
3. Milambo aliuwawa na nani?
4. Wadai uhuru katika nchi zote za kusini mwa Afrika waliuwawa na kina nani?
5. Red Indians huko Amerika waliuwawa na nani?

Australia ilikuwa na wazawa kabla ya waingereza kuvamia nchi yao, unajua walichofanyiwa?

Tukija kwenye vitabu vya dini ulivyosema, naona unarudi kule kule nilipokwambia hapo juu. Kwamba mipaka ya nchi haipatikani kupitia hadithi za biblia wala msahafu. Hiyo misahafu na biblia imeandikwa na watu tu kama wewe. Na sio kila mtu ana amini katika biblia au msahafu, hivyo kuleta habari za msahafu kwa watu wasiamini msahafu ni kupoteza muda bure, hivyo hivyo kuleta habari za biblia kwa watu wasiamini biblia ni kupoteza muda bure.

Umoja wa Mataifa ambao hauendeshi sheria zake kupitia mihemko ya kidini, wameshaweka wazi kuwa hao jamaa ni wavamizi. Sasa wewe mfia dini ni nani mpaka uje na habari zako za vitabu?

Kiuhalisia vitabu vyote vya dini vimejaa sintofahamu ambayo mtu mwenye akili hawezi kuingia kichwa kichwa kuamini kila kilichoandikwa katika vitabu hivyo.

Vitabu vinasema eti Yesu alikuwa myahudi, lakini wayahudi wenyewe wanakataa kuwa katika kabila lao au nchi yao hajawahi kuzaliwa au kutokea mtu anaeitwa Yesu. Yani mtu aje awambie majirani zako kwamba Mo Dewji ni mjomba wako na anaishi kwako, wakati wewe mwenyewe huyo Mo Dawji familia yenu nzima hamumjui, haishi nae nae wala haujawahi kumuona. Sasa kiuhalisia kati yako wewe mwenye familia husika ambae unakataa kuwa Mo Dewji sio ndugu yenu na huyo mtu anaesimulia nani atakaetakiwa kuaminiwa?

Wazungu wenye mission zao wanalazimisha kuwa Yesu alikuwepo na aliishi Israel, waisral wenyewe wanakataa kuwa huyo Yesu hakuwahi kuwepo katika nchi yao. Sasa wewe mmatumbi uliemezeshwa matango pori, leo unataka kujifanya unajua zaidi ya wayahudi wenyewe 😂😂😂😂
Huyo jamaa umeshamahinda tayari,ndio maana analeta mipasho na sio hoja

Anakupotezea muda tu
 
Israeli haiko kihivyo kama unavyoaminishwa na wavaa vipedo na misuli wenzako. Israeli inapigania sovereign yake.Huko Westbank, ni maeneo ya Israel kwa zaidi ya miaka elfu 3 iliyopita. Kabla ya hata jina Palestine kuwepo kwenye uso wa Dunia. Ikitokea Israeli imechukua eneo la mtu kama ilivyo Golan heights, inakuwa ni sababu ya usalama wake.
Mbona Idd Amin alipoidai Kagera mkakataa? Ila Israel akidai ndio halali? Kingine nani alikudanganya Israel ni makazi yao? Walitokea Iraq huko na Syria, walikuta nchi ina wakazi, wakaua kila mtu ili kuteka ardhi.
 
Yaani asiumize kichwa unamaanisha na yeye anapambana na hao Jews, USA na NATO??😀😀


Iko wazi kua Jews, USA na NATO ni wakala wa shetani katika kufanikisha kile alichomuahidi MWENYEZIMUNGU kua atahakikisha anawapotosha binadamu wake na ndio maana USHOGA unapigiwa chapuo na hao Jews, USA na NATO huo ni mfano mmoja ulio wazi kabisa

Na watu wa MUNGU nao watapambana mpaka siku ya mwisho ili watu wajue ukweli na uongo

That's all about.
Ushoga upo uarabuni tangu Zaman chief na ndio maana ya onyo la sodoma na gomora. Spish ya kiarabu ni laana tangu enzi.
 
Ushoga upo uarabuni tangu Zaman chief na ndio maana ya onyo la sodoma na gomora. Spish ya kiarabu ni laana tangu enzi.
Kwahiyo huu unaopigiwa chapuo na USA, NATO na Israel ni wa Aina ipi??

Huo uliohalalishwa kanisani
 
Kwahiyo huu unaopigiwa chapuo na USA, NATO na Israel ni wa Aina ipi??

Huo uliohalalishwa kanisani
Kwa mkristo yeyote anajua kanisa maana yake ni mimi. Yaan sio jengo ni wewe. So Bwana akija hatalihukumu jengo. Utahukumiwa wewe kwa kutoishi maagizo ya Mungu. Mzungu kuwa muwazi haimaanishi yule Askari kule Zanzibar alikuwa hafanyi.
 
Kuikataa Israeli kuwa ina miliki west Bank, ni kukataa kweli iliyopo kwenye Biblia. Israeli uanzilishi wake na hata jina linaanzia kwenye Biblia 🤔
2 Samuel 5:4-5
"4 David was thirty years old when he became king, and he reigned forty years. 5 In Hebron he reigned over Judah seven years and six months, and in Jerusalem he reigned over all Israel and Judah thirty-three years."
....
Huyo mfalme David, kwenye Biblia, kitabu cha Samuel, aliyetawala Hebron, West Bank na Jerusalem, Israeli. Hakuwa mpalestina bali ni myahudi. Hiyo ni zaidi ya miaka elfu 3 iliyopita. Kipindi hicho hata neno Palestina halikuwepo hata kwenye misamiati ya kipindi hicho!
Our slogan :
Because we are Christians, Believing in Bible, we stand with Israel. 🇮🇱
Aisee!
 
Ushoga upo uarabuni tangu Zaman chief na ndio maana ya onyo la sodoma na gomora. Spish ya kiarabu ni laana tangu enzi.

Dodoma iko Hiyo mnayosema ni Israeli ya leo
 
Ushoga upo uarabuni tangu Zaman chief na ndio maana ya onyo la sodoma na gomora. Spish ya kiarabu ni laana tangu enzi.
Ibrahim alikosea mnooo kuzini na Hajir yule dada wa kazi mmisri maana matokeo yake ndo akazaliwa wakala wa shetani yaani ishmael ambaye ni baba wa magaidi na na kupitia kizaz chake akazaliwa mleta dini ya mashetani na kwa kweli hiyo dini haitak kuishi vizuri na wakristo, wahindu, wabudha.

Huko alipo Ibrahim atakuwa anajutia sana kumpiga miti hajir.
 
Uzi ungekua mzuri kama tungeweka pembeni interests na imani zetu, let the facts speak for themselves.
 
Ibrahim alikosea mnooo kuzini na Hajir yule dada wa kazi mmisri maana matokeo yake ndo akazaliwa wakala wa shetani yaani ishmael ambaye ni baba wa magaidi na na kupitia kizaz chake akazaliwa mleta dini ya mashetani na kwa kweli hiyo dini haitak kuishi vizuri na wakristo, wahindu, wabudha.

Huko alipo Ibrahim atakuwa anajutia sana kumpiga miti hajir.


View: https://www.youtube.com/watch?v=qDkkCp4xzMk
 
Ibrahim alikosea mnooo kuzini na Hajir yule dada wa kazi mmisri maana matokeo yake ndo akazaliwa wakala wa shetani yaani ishmael ambaye ni baba wa magaidi na na kupitia kizaz chake akazaliwa mleta dini ya mashetani na kwa kweli hiyo dini haitak kuishi vizuri na wakristo, wahindu, wabudha.

Huko alipo Ibrahim atakuwa anajutia sana kumpiga miti hajir.

Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).

Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia. Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).
 
Netanyau na genge lake ni wazungu kutoka UK. waliletwa mashariki ya kati na UK wakishirikiana na Marekani kwa ajili ya mipango maalum.

Hebu muangalie Netanyau anajifanya myahudi, na Macron mzungu uniambie totauti zao ziko wapi?
Acha u-ng'ombe, Wayahudi wote duniani asili yao ni Israel
 
Yaani asiumize kichwa unamaanisha na yeye anapambana na hao Jews, USA na NATO??😀😀


Iko wazi kua Jews, USA na NATO ni wakala wa shetani katika kufanikisha kile alichomuahidi MWENYEZIMUNGU kua atahakikisha anawapotosha binadamu wake na ndio maana USHOGA unapigiwa chapuo na hao Jews, USA na NATO huo ni mfano mmoja ulio wazi kabisa

Na watu wa MUNGU nao watapambana mpaka siku ya mwisho ili watu wajue ukweli na uongo

That's all about.
Kama hajakuelewa hapo, basi mpuuze, maana atakuwa na lengo la kubisha sio kujifunza.
 
Huyo jamaa umeshamahinda tayari,ndio maana analeta mipasho na sio hoja

Anakupotezea muda tu
Hili nililiona kitambo mkuu, ndomaana sikutaka kuendelea kujadiliana nae. Maana yeye ametanguliza imani ya dini na mimi nimetanguliza fact na uhalisia.
 
Uzi ungekua mzuri kama tungeweka pembeni interests na imani zetu, let the facts speak for themselves.
Uzi ulianza vizur bila kuhusisha dini, lakini ghafla waisrael wa bonyokwa na waarab wa unguja wakarukia na kujaribu kuharibu maana nzima ya uzi.
 
Back
Top Bottom