Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Acha u-ng'ombe, Wayahudi wote duniani asili yao ni Israel
We mende aliekudanganya kama Netanyahu ni myahudi ni nani?

Inamaana hata kwa macho tu hauoni kuwa wale ni wazungu waliopelekwa kule kujifanya wayahudi kwa malengo maalum ambayo kwa muda wa miaka zaidi ya 50 bado hayajafanikiwa.
 
Waisrael walikuwa na haki kulipwa na Misri maana walitumikishwa sana hapo wakiwa utumwani sijui ni kwakuwa Mama yao mdogo alitokea huko?
 
Waisrael walikuwa na haki kulipwa na Misri maana walitumikishwa sana hapo wakiwa utumwani sijui ni kwakuwa Mama yao mdogo alitokea huko?
😂😂😂
 
Huyu ni mfano wa watanzania wenzangu wasiojua wayahudi sio wakristo wenzetu na wanawauwa wakristo wa mashariki ya kati sawa sawa sawa na wanavyowauwa waislam , bad enough hata bible wamekariri , MUNGU tusaidie
 
Huyu ni mfano wa watanzania wenzangu wasiojua wayahudi sio wakristo wenzetu na wanawauwa wakristo wa mashariki ya kati sawa sawa sawa na wanavyowauwa waislam , bad enough hata bible wamekariri , MUNGU tusaidie
Wanaopinga ukweli nilioandika 85% ni wadini wanapinga na ku comment kwa misingi ya kidini.

Ukiwaambia walete facts nje ya zile za vitabu vya dini, wanachemka. Yani hawana hata 1.

So watu wa aina hiyo ni wa kuwaonea huruma na kuwapotezea tu mkuu.
 
We mtoa mada unafurahisha sana Israel ana kitu gani zaidi ya kukuzwa na hao wafalme wa nchi za kiarabu ili wakae kwenye vyeo vyao ndio wanavyo danganywa na US.


Israel kupigana na vikosi vya Hamasi na Hezbullah mpaa asaidiwe, we Huna habari Morocco kapeleka karibu wanajeshi 4000 kumsaidia Israel sijui Jordan kapeleka wangapi 😄
 
Mkuu hivi umesoma vizuri kweli nilichoandika au umekimbilia tu ku comment baada ya kuona limeandikwa neno Israel?

Mbona hiki ulichoandika hapa, ndio nilichokiandika mimi katika uzi mkuu.

Hata hili pigo la juzi ambalo Israel ilipigwa na Iran nililiandika hapa JF.
 
Miaka elfu iliyopita wewe umejuaje kama West bank ni eneo la Israel????
Alisimuliwa na mhe. Job Ndugai ambae alisema ashafika mpaka galilaya alipokuwa anaishi mke wa yesu 😂😂😂
 
Hata mimi nimeanza kuamini wale pale sio wayahudi asilia ni kweli israel.
 
Hata mimi nimeanza kuamini wale pale sio wayahudi asilia ni kweli israel.
Wale kina Netanyahu na wenzake wote waliotawala Israel toka mwaka 1948 mpaka leo ni wazungu watupu kutoka UK, USA, Ujeruman na Ulaya mashariki haswa haswa Poland, Uturuki, Ugiriki nk.

Wayahudi original hawapewi nafasi ya kutawala pale Israel. Wamefanywa kama vile wale red indians wa Marekani. Wapo lakini hawapewi nafasi ya uongozi. Wao wanaishia kupiga tu kura, kuwapigia hao wazungu waendelee kuwatawala japo hawapendi.

Israel sheria zote za magharibi kama vile kuruhusu ushoga, kutoa mimba nk zinafanya kazi nchini kwao. Lakini ile ya kupima DNA imepigwa marufuku baada ya Netanyahu kugundulika kuwa ana asili ya Poland.
 
Naam waajemi hawapendi ujinga.
 
Kama kawa muajemi anatoa mafunzo ambayo yanaleta hasara kwa adui 😂😂😂
 
Unafahamu maana ya muajemi?
Muajemi NI mtu mweusi.
Sasa soma ulicho kiandika uone sarakasi
Lete ushahidi wa ulichoandika. Mimi sitegemei vijiwe vya kahawa kujua jambo?

Lete facts tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…